Mhe Mwakyembe amkaanga Lowassa kuhusu kadhia ya Richmond na kusema kuwa asikwepe maana tume ya Bunge ilimkuta na hatia na ikabidi ajiuzulu Uwaziri Mkuu.
August 30, 2015
Harrison Mwakyembe Adai Mgombea Urais Edward Lowassa Alihusika Kwenye Ufisadi wa Richmond
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Tanzania imeshikilia nafasi ya 10 katika orodha ya Nchi za Afrika zenye Uchumi Mkubwa
Tanzania imeshikilia nafasi ya 10 katika orodha ya Nchi za Afrika zenye Uchumi Mkubwa
The African continent has always been referred to as “The Sleeping Giant.” Such a terminology usually points at the great potential Afric... 13:17
The African continent has always been referred to as “The Sleeping Giant.” Such a terminology usually points at the great potential Africa has. It is well endowed with resources of all kinds. This applies to natural as well as human resources.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Edward Lowassa Avunja Rekodi ya Umati wa Watu Jangwani
Edward Lowassa Avunja Rekodi ya Umati wa Watu Jangwani
Mkutano wa Ukawa wa Kuzindua Kampeni za Uchaguzi 2015 umemalizika huku wakiacha rekodi mpya ya 13:16
Mkutano wa Ukawa wa Kuzindua Kampeni za Uchaguzi 2015 umemalizika huku wakiacha rekodi mpya ya
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
LOWASSA Amesikia Vilio vya Watanzania Kuhusu Babu Seya na Mashehe wa Kiislam Walioko Jela...
LOWASSA Amesikia Vilio vya Watanzania Kuhusu Babu Seya na Mashehe wa Kiislam Walioko Jela...
Leo Jagwani Katika Uzinduzi wa Kampeni za Ukawa Lowassa Amewagusa Wengi baada ya Kuzungumzia Suala la Babu Seya ambaye yupo jela amefungw... 13:16
Leo Jagwani Katika Uzinduzi wa Kampeni za Ukawa Lowassa Amewagusa Wengi baada ya Kuzungumzia Suala la Babu Seya ambaye yupo jela amefungwa kifungo cha Maisha yeye na mtoto wake ..Lowassa Amesema kuwa amesikia kilio
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Madai Mtoto si wa Diamond, Zari Aitwa Kwao Uganda
Madai Mtoto si wa Diamond, Zari Aitwa Kwao Uganda
KIMENUKA! Baada ya madai kwamba mtoto Latifah ‘Tiffah’ si damu ya Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ huku shemeji wa zamani wa Zarinah ... 13:15
KIMENUKA! Baada ya madai kwamba mtoto Latifah ‘Tiffah’ si damu ya Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ huku shemeji wa zamani wa Zarinah Hassan ‘Zari’ (mama Tiffah), King Lawrence naye kusema mtoto huyo ni wake, kuna taarifa mpya zinazodai kuwa, Zari ameitwa kwao, Uganda ili akamalize
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Pichaz 22 kutoka Jangwani kwenye uzinduzi wa kampeni za UKAWA….
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Kilichoikuta Chelsea vs Crystal Palace hiki hapa
Kilichoikuta Chelsea vs Crystal Palace hiki hapa
Ligi kuu ya Uingereza maarufu kama Barclays Premier League imeendelea leo katika viwanja mbalimbali nchini humo. 13:09
Ligi kuu ya Uingereza maarufu kama Barclays Premier League imeendelea leo katika viwanja mbalimbali nchini humo.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Full time ya Liverpool vs West Ham nimekuwekea hapa
Full time ya Liverpool vs West Ham nimekuwekea hapa
Baada ya kuanza ligi vizuri kwa kushinda mechi mbili za mwanzo na kutoa sare moja, klabu ya Liverpool leo imeanza kuonja joto ya jiwe kat... 13:09
Baada ya kuanza ligi vizuri kwa kushinda mechi mbili za mwanzo na kutoa sare moja, klabu ya Liverpool leo imeanza kuonja joto ya jiwe katika Barclays premier league.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Nimekusogezea matokeo ya Arsenal vs Newcastle na Man City vs Watford
Nimekusogezea matokeo ya Arsenal vs Newcastle na Man City vs Watford
Ikiwa imeshinda mechi tatu mfululizo katika msimu mpya wa ligi kuu ya Uingereza, klabu ya Manchester City leo imeendelea kuilinda rekodi ... 13:08
Ikiwa imeshinda mechi tatu mfululizo katika msimu mpya wa ligi kuu ya Uingereza, klabu ya Manchester City leo imeendelea kuilinda rekodi yake ya kushinda kwa 100% katika mfululizo wa mechi BPL.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MWAKYEMBE AMSHAMBULIA LOWASSA KUHUSU SAKATA LA RICHMOND .... MWIGULU NCHEMBA NAYE ADAI LOWASSA NI MPIGA DILI TANGU KIJANA
MWAKYEMBE AMSHAMBULIA LOWASSA KUHUSU SAKATA LA RICHMOND .... MWIGULU NCHEMBA NAYE ADAI LOWASSA NI MPIGA DILI TANGU KIJANA
Mwakyembe Akihutibia Umati Aliyekuwa mwenyekiti wakamati teule ya bunge ya kuchunguza kashfa ya mkataba tata wa Richmond iliyomuo... 09:11
Mwakyembe Akihutibia Umati
Aliyekuwa mwenyekiti wakamati teule ya bunge ya kuchunguza kashfa ya mkataba tata wa Richmond iliyomuondoa madarakani aliyekuwa waziri mkuu Mh Edward Lowassa, Mh Harrsion Mwakyembe amewahakikishia watanzania kuwa
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
TCRA YATOA ONYO KALI KWA TBC 1 KWA KUZIKWEPA HABARI ZA UKAWA NA KUPENDELEA CCM
TCRA YATOA ONYO KALI KWA TBC 1 KWA KUZIKWEPA HABARI ZA UKAWA NA KUPENDELEA CCM
MAMLAKA ya mawasiliano nchini (TCRA) imekipa onyo kali kituo TBC1 kwa kosa la kubagua kusoma taarifa zinazohusiana na UKAWA. 09:10SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Subscribe to:
Posts (Atom)