Hizi ni SHOT KLIP za video ambazo mastaa wa kike wa hapa bongo wameziachia huko kwenye mtandao wa INSTAGRAM kwaahili ya ma-Fans wao....Jokate Mwegelo aka Kidoti, (anaonyesha mashauzi yake nakuzugumza KIZUNGU-Mimi sijui wewe msikilize tu)..Elizabeth Michael aka Lulu (Huyu mtoto kama kawa anapenda mziki huyo-humu anaimba
May 31, 2014
Crazy Videoz U MUST WATCH: Mastaa Wetu wa Kike Huko Instagram - Jokate, Penny na Lulu
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
BRAZUKA na Top Model wa Mweusi.. Anaitwa Helen Deneen Msomi wa HAVADI
BRAZUKA na Top Model wa Mweusi.. Anaitwa Helen Deneen Msomi wa HAVADI
#TUNAVUKA MIPAKA Huyu ni moja kati ya Model ambao ni HOT sasa hivi (Dunia Nzima)...Tofauti wa wa hapa kwetu Helen Deneen ni msomi LE... 09:43
#TUNAVUKA MIPAKA
Huyu ni moja kati ya Model ambao ni HOT sasa hivi (Dunia Nzima)...Tofauti wa wa hapa kwetu Helen Deneen ni msomi LEVO YA MASTAZI kutoka katika Chuo kikuu cha Howard, Marekani. Kama ilivyo kwa ma model wengine huyu naye anajishughurisha maswala ya
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Video ya UTUPU iliyo LEAK Yamtesa Msanii Nyota Ndogo
Video ya UTUPU iliyo LEAK Yamtesa Msanii Nyota Ndogo
Mwanamuziki makubwa hapa Afrika Mashariki, Nyota Ndogo kutoka nchini Kenya amejikuta katika wakati mugumu baada ya kugundua kuwa amere... 09:41
Mwanamuziki makubwa hapa Afrika Mashariki, Nyota Ndogo kutoka nchini Kenya amejikuta katika wakati mugumu baada ya kugundua kuwa amerekodiwa video kwa siri wakati yupo chumbani anapaka mafuta huku akiwa MTUPU. Hii ilitokea baadaa kumaliza KUPAFOMU na kupelekwa CHANGING ROOM ambako ndiko video hii ilichukuliwa kwa siri.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Exclusive Photo: Panapofuka Moshi? .......Penzi la KITALE na PENNY
Exclusive Photo: Panapofuka Moshi? .......Penzi la KITALE na PENNY
Juzi niliposti picha ya KITALE (Kwasasa unaweza kumuita MKUDE SIMBA) [ ONA HAPA ] akiwa anapigwa KISS ZITO na PENNY lenye hisia kali ... 09:39
Juzi niliposti picha ya KITALE (Kwasasa unaweza kumuita MKUDE SIMBA) [ONA HAPA] akiwa anapigwa KISS ZITO na PENNY lenye hisia kali (Daah mtoto
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
JOHARI AMTUPIA CHUCHU VIJEMBE MSIBANI.
JOHARI AMTUPIA CHUCHU VIJEMBE MSIBANI.
STAA wa Bongowood, Blandina Chagula ‘Johari’ anadaiwa kumtupia vijembe kiaina msanii mwenzake, Chuchu Hans ambaye ‘anabanjuka kimalovee’ ... 09:32SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
ROSE NDAUKA AJIBU TUHUMA ZA KUPORA WAUME ZA WATU!
ROSE NDAUKA AJIBU TUHUMA ZA KUPORA WAUME ZA WATU!
Wiki iliyopita katika Exclusive Interview tuliona sehemu ya kwanza ya Rose Ndauka alivyoeleza kuwa aliwamwaga wanaume na kutulia na Mal... 09:31SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Breaking!! GEORGE TYSON WA BONGO MOVIE AFARIKI DUNIA.
Breaking!! GEORGE TYSON WA BONGO MOVIE AFARIKI DUNIA.
George Tyson enzi za uhai wake. 09:30SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Habari ya kusikitisha; Mwanafunzi wa Chuo kikuu UDSM akutwa Hosteli kitandani amekufa.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Subscribe to:
Posts (Atom)