August 31, 2015

Dr. Slaa Silaha ya Maangamizi Kwa Lowassa

Wacha tusemezane kidogo...na leo tusemezane juu ya hii silaha ya maangamizi ya ndugu Lowassa. thumbnail 1 summary


Wacha tusemezane kidogo...na leo tusemezane juu ya hii silaha ya maangamizi ya ndugu Lowassa.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Hatimaye Jaji AGUSTINO RAMADHAN Atoa ya Moyoni Kuhusu Kuhama CCM

Rais wa Mahakama ya Afrika ya haki za binadamu, Jaji Agustino Ramadhani, amesema hajawahi kupatwa na wazimu wa kufikiria kuhama Chama Cha M... thumbnail 1 summary
Rais wa Mahakama ya Afrika ya haki za binadamu, Jaji Agustino Ramadhani, amesema hajawahi kupatwa na wazimu wa kufikiria kuhama Chama Cha Mapinduzi (CCM).

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Masogange: Kwa Taarifa Yenu! Siishi Kwa Makalio Yangu

Agness Masogange Kumbe! Video Queen wa Kibongo, Agness Gerald ‘Masogange’ amewabwatukia watu wanamsonga na maneno kuwa anaishi mjini kw... thumbnail 1 summary
Agness Masogange
Kumbe! Video Queen wa Kibongo, Agness Gerald ‘Masogange’ amewabwatukia watu wanamsonga na maneno kuwa anaishi mjini kwa kuyanadi makalio yake mtandaoni.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Samwel Sitta Aomba Mpambano wa Mdahalo na Lowassa ili Ukweli wa Richmond

Samweli Sita Akisalimiana na Lowassa Bungeni MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) na Mbunge wa Urambo aliyemaliza muda wake, Samuel... thumbnail 1 summary
Samweli Sita Akisalimiana na Lowassa Bungeni

MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) na Mbunge wa Urambo aliyemaliza muda wake, Samuel Sitta ametaka uandaliwe mdahalo kwenye vyombo vya habari kati yake na

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Huddah’s Private Chat Exposed: See The CRAZY Things She Discusses With Men

Huddah Monroe Socialite Huddah Monroe is without a doubt one of the most talked about celebrity in the country.  thumbnail 1 summary

Huddah Monroe
Socialite Huddah Monroe is without a doubt one of the most talked about celebrity in the country. 

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

RISPER FAITH Needs To Repent, Why is She Doing This to Kenyan Men? (PHOTOs)

RISPER FAITH needs to repent, Why is she doing this to Kenyan men? (PHOTOs) thumbnail 1 summary
RISPER FAITH needs to repent, Why is she doing this to Kenyan men? (PHOTOs)

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Kwa Hili Alilolifanya Diamond, Litamgharimu Sana Katika Safari Yake ya Kimuziki

Diamond Platnumz Diamond platnumz kaonesha wazi msimamo wake katika mgonbea anayemtaka yeye. Sipingani na maamuzi yake, ila naona kam... thumbnail 1 summary
Diamond Platnumz

Diamond platnumz kaonesha wazi msimamo wake katika mgonbea anayemtaka yeye. Sipingani na maamuzi yake, ila naona kama alikurupuka kufanya maamuzi hayo. Diamond angetambua kuwa washabiki wake wengi wanaompa support hawapo katika

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

‘Cheza kwa Madoido’ ya Yamoto Band tayari ipo hewani mtu wangu!!…(Video)

Yamoto Band  walisafiri hadi Afrika Kusini kufanikisha Video ya ngoma yao mpya ya ‘Cheza kwa Madoido’   chini ya Mtayarishaji  GodF... thumbnail 1 summary
Yamoto Band walisafiri hadi Afrika Kusini kufanikisha Video ya ngoma yao mpya ya‘Cheza kwa Madoido’ chini ya Mtayarishaji GodFather.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Huyu ni mbadala wa Javier Hernandez katika klabu ya Man United…….

Klabu ya Manchester United bado ipo katika dakika za mwisho kutafuta mbadala wa mshambuliaji wa Mexico aliyekuwa kwa mkopo wa muda mrefu ... thumbnail 1 summary
Klabu ya Manchester United bado ipo katika dakika za mwisho kutafuta mbadala wa mshambuliaji wa Mexico aliyekuwa kwa mkopo wa muda mrefu katika klabu ya Real Madrid ya Hispania Javier Hernandez Chicharito, Man United ambayo

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Hapa ninzao picha za mastaa kwenye red carpet ya tuzo za MTV Video Music Awards (VMA’s).

Stori kubwa kwenye headlines za burudani nchini  Marekani  ni tuzo za  MTV VMA’s 2015,  kwenye headlines za tuzo hizo zipo performa... thumbnail 1 summary
Stori kubwa kwenye headlines za burudani nchini Marekani ni tuzo za MTV VMA’s 2015, kwenye headlines za tuzo hizo zipo performances za wasanii waliotamba kwenye stage, mastaa waliofanikiwa kuondoka na tuzo na wale

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Kanye West atangaza nia ya kugombea Urais mwaka 2020…(Video).

Kanye West  na  Kim Kadarshian  walikua miongoni mwa mastaa waliohudhuria tuzo za MTV Video Music Awards 2015 … na siku zote watu w... thumbnail 1 summary
Kanye West na Kim Kadarshian walikua miongoni mwa mastaa waliohudhuria tuzo zaMTV Video Music Awards 2015… na siku zote watu wamezoea kupokea vituko kutoka kwa Kanye viwe vya kufurahisha ama kusikitisha usiku hauwezi kuisha bila

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Na washindi wa Tuzo za MTV VMA’s 2015 ni… Orodha yote ya washindi ninayo hapa! + (Video)

Jumapili ya tarehe  30 August 2015  ilikuwa siku kubwa na ya muhimu kwenye ulimwengu wa burudani kwani tuzo za  MTV Video Music Awa... thumbnail 1 summary
Jumapili ya tarehe 30 August 2015 ilikuwa siku kubwa na ya muhimu kwenye ulimwengu wa burudani kwani tuzo za MTV Video Music Awards 2015 zilichukua headlines kubwa sana jijini Los Angeles Marekani.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

TAZAMA MASTAA WAKIKATA MAUNO MBELE YA RAIS JK

Mwandishi wetu Acha kabisa! Baadhi ya mastaa wa sinema na muziki Bongo, wamejiachia na kujikuta wakikata mauno mbele ya Rais Dk. Jaka... thumbnail 1 summary

Mwandishi wetu
Acha kabisa! Baadhi ya mastaa wa sinema na muziki Bongo, wamejiachia na kujikuta wakikata mauno mbele ya Rais Dk. Jakaya Mrisho Kikwete aliyekuwa mgeni rasmi aliyeambatana na

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

August 30, 2015

Harrison Mwakyembe Adai Mgombea Urais Edward Lowassa Alihusika Kwenye Ufisadi wa Richmond

Mhe Mwakyembe amkaanga Lowassa kuhusu kadhia ya Richmond na kusema kuwa asikwepe maana tume ya Bunge ilimkuta na hatia na ikabidi ajiuzul... thumbnail 1 summary
Mhe Mwakyembe amkaanga Lowassa kuhusu kadhia ya Richmond na kusema kuwa asikwepe maana tume ya Bunge ilimkuta na hatia na ikabidi ajiuzulu Uwaziri Mkuu.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Tanzania imeshikilia nafasi ya 10 katika orodha ya Nchi za Afrika zenye Uchumi Mkubwa

The African continent has always been referred to as “The Sleeping Giant.” Such a terminology usually points at the great potential Afric... thumbnail 1 summary
The African continent has always been referred to as “The Sleeping Giant.” Such a terminology usually points at the great potential Africa has. It is well endowed with resources of all kinds. This applies to natural as well as human resources.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Edward Lowassa Avunja Rekodi ya Umati wa Watu Jangwani

Mkutano wa Ukawa wa Kuzindua Kampeni za Uchaguzi 2015 umemalizika huku wakiacha rekodi mpya ya thumbnail 1 summary
Mkutano wa Ukawa wa Kuzindua Kampeni za Uchaguzi 2015 umemalizika huku wakiacha rekodi mpya ya

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

LOWASSA Amesikia Vilio vya Watanzania Kuhusu Babu Seya na Mashehe wa Kiislam Walioko Jela...

Leo Jagwani Katika Uzinduzi wa Kampeni za Ukawa Lowassa Amewagusa Wengi baada ya Kuzungumzia Suala la Babu Seya ambaye yupo jela amefungw... thumbnail 1 summary
Leo Jagwani Katika Uzinduzi wa Kampeni za Ukawa Lowassa Amewagusa Wengi baada ya Kuzungumzia Suala la Babu Seya ambaye yupo jela amefungwa kifungo cha Maisha yeye na mtoto wake ..Lowassa Amesema kuwa amesikia kilio

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Madai Mtoto si wa Diamond, Zari Aitwa Kwao Uganda

KIMENUKA! Baada ya madai kwamba mtoto Latifah ‘Tiffah’ si damu ya Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ huku shemeji wa zamani wa Zarinah ... thumbnail 1 summary
KIMENUKA! Baada ya madai kwamba mtoto Latifah ‘Tiffah’ si damu ya Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ huku shemeji wa zamani wa Zarinah Hassan ‘Zari’ (mama Tiffah), King Lawrence naye kusema mtoto huyo ni wake, kuna taarifa mpya zinazodai kuwa, Zari ameitwa kwao, Uganda ili akamalize

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Kilichoikuta Chelsea vs Crystal Palace hiki hapa

Ligi kuu ya Uingereza maarufu kama Barclays Premier League imeendelea leo katika viwanja mbalimbali nchini humo. thumbnail 1 summary
Ligi kuu ya Uingereza maarufu kama Barclays Premier League imeendelea leo katika viwanja mbalimbali nchini humo.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Full time ya Liverpool vs West Ham nimekuwekea hapa

Baada ya kuanza ligi vizuri kwa kushinda mechi mbili za mwanzo na kutoa sare moja, klabu ya Liverpool leo imeanza kuonja joto ya jiwe kat... thumbnail 1 summary
Baada ya kuanza ligi vizuri kwa kushinda mechi mbili za mwanzo na kutoa sare moja, klabu ya Liverpool leo imeanza kuonja joto ya jiwe katika Barclays premier league.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Nimekusogezea matokeo ya Arsenal vs Newcastle na Man City vs Watford

Ikiwa imeshinda mechi tatu mfululizo katika msimu mpya wa ligi kuu ya Uingereza, klabu ya Manchester City leo imeendelea kuilinda rekodi ... thumbnail 1 summary
Ikiwa imeshinda mechi tatu mfululizo katika msimu mpya wa ligi kuu ya Uingereza, klabu ya Manchester City leo imeendelea kuilinda rekodi yake ya kushinda kwa 100% katika mfululizo wa mechi BPL.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

MWAKYEMBE AMSHAMBULIA LOWASSA KUHUSU SAKATA LA RICHMOND .... MWIGULU NCHEMBA NAYE ADAI LOWASSA NI MPIGA DILI TANGU KIJANA

Mwakyembe Akihutibia Umati Aliyekuwa mwenyekiti wakamati teule ya bunge ya kuchunguza kashfa ya mkataba tata wa Richmond iliyomuo... thumbnail 1 summary


Mwakyembe Akihutibia Umati

Aliyekuwa mwenyekiti wakamati teule ya bunge ya kuchunguza kashfa ya mkataba tata wa Richmond iliyomuondoa madarakani aliyekuwa waziri mkuu Mh Edward Lowassa, Mh Harrsion Mwakyembe amewahakikishia watanzania kuwa

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

TCRA YATOA ONYO KALI KWA TBC 1 KWA KUZIKWEPA HABARI ZA UKAWA NA KUPENDELEA CCM

MAMLAKA ya mawasiliano nchini (TCRA) imekipa onyo kali kituo TBC1 kwa kosa la kubagua kusoma taarifa zinazohusiana na UKAWA. thumbnail 1 summary
MAMLAKA ya mawasiliano nchini (TCRA) imekipa onyo kali kituo TBC1 kwa kosa la kubagua kusoma taarifa zinazohusiana na UKAWA.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

August 23, 2015

Top 10 ya rekodi za ada kubwa za usajili wa wachezaji kwa muda wote.

Kila mwishoni mwa msimu wa Ligi mbalimbali duniani vilabu husika huwa na utamaduni wa kuanza kufuatilia wachezaji sahii watakao ongeza ng... thumbnail 1 summary
Kila mwishoni mwa msimu wa Ligi mbalimbali duniani vilabu husika huwa na utamaduni wa kuanza kufuatilia wachezaji sahii watakao ongeza nguvu katika vilabu vyao na namna ambavyo watawapata. Siku hizi kila klabu inapomuhitaji mchezaji

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Kwa gharama kidogo kabisa unaweza kujipatia nyumba yako poa kabisa iliyojengwa kwa kontena.. (Pichaz)

Ukizungumzia ujenzi wa nyumba za kuishi watu wengi wanaanza na kufikiria kuhusu mafundi, cement, mchanga na vifaa vingine… lakini upo uje... thumbnail 1 summary
Ukizungumzia ujenzi wa nyumba za kuishi watu wengi wanaanza na kufikiria kuhusu mafundi, cement, mchanga na vifaa vingine… lakini upo ujenzi mwingine ambao mpaka unakamilika kabisa unaweza usihitaji chochote kati ya hivyo, labda akatakiwa

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Hii ni top 10 ya nyumba za kifahari zaidi zinazomilikiwa na mastaa wa soka

Wachezaji mpira wa miguu ni watu ambao wamekuwa wakimiliki fedha nyingi kutokana na kulipwa mishahara mikubwa kwa wiki, ni kitu cha kaw... thumbnail 1 summary

Wachezaji mpira wa miguu ni watu ambao wamekuwa wakimiliki fedha nyingi kutokana na kulipwa mishahara mikubwa kwa wiki, ni kitu cha kawaida kwa mchezaji mpira kulipwa pound 100,000/= kwa wiki ina maana kwa mwezi analipwa pound 400,000/= ni zaidi ya bilioni moja ya kitanzania.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

CHRISTOPHER MTIKILA,CHIPAKA NA MALISA WAENGULIWA MBIO ZA URAIS ....NEC YASEMA HAWAJATIMIZA MASHARTI,LOWASA,MAGUFULI WAPETA!!!

Wanasiasa wakongwe nchini, Christopher Mtikila na John Lifa- Chipaka wametupwa nje ya kinyang’anyiro cha kugombea kiti cha urais wa Jamhuri... thumbnail 1 summary
Wanasiasa wakongwe nchini, Christopher Mtikila na John Lifa- Chipaka wametupwa nje ya kinyang’anyiro cha kugombea kiti cha urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutokana na kushindwa kutimiza vigezo vya kisheria.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

MAMA DIAMOND PLATNUMZ AMFUNIKA ZARI KWA MBIZI KWENYE BWAWA

MAMA’KE Nasibu Abdul ‘Diamond’, Sanura Kassim ‘Sandra’ ameonesha umahiri mkubwa wa kuogelea kiasi cha kumfunika mkwe wake, Zarinah Hassan ‘... thumbnail 1 summary
MAMA’KE Nasibu Abdul ‘Diamond’, Sanura Kassim ‘Sandra’ ameonesha umahiri mkubwa wa kuogelea kiasi cha kumfunika mkwe wake, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ kwenye bwawa la kuogelea lililopo nyumbani kwa Diamond,

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

CCM Mna Maoni Gani Kuhusu Mh. Sumaye na Kukimbiwa na Mawaziri Wakuu Walio na Jina Kubwa Nchi Hii?

CCM MNA maoni gani kuhusu mh. Sumaye na kukimbiwa na mawaziri wakuu walio na jina kubwa nchi hii? thumbnail 1 summary
CCM MNA maoni gani kuhusu mh. Sumaye na kukimbiwa na mawaziri wakuu walio na jina kubwa nchi hii?

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Picha 19 za matukio mbalimbali yaliotokea Uwanja wa Taifa katika mechi kati ya Yanga Vs Azam FC.

Mtu wangu wa nguvu nimekusogezea picha za matukio mbalimbali yaliotokea ndani ya Uwanja na nje ya Uwanja wakati mabingwa wapya wa ngao ya... thumbnail 1 summary
Mtu wangu wa nguvu nimekusogezea picha za matukio mbalimbali yaliotokea ndani ya Uwanja na nje ya Uwanja wakati mabingwa wapya wa ngao ya hisani Yangawakishangilia ushindi

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Ujumbe Wa Maandishi Kutoka kwa Lowassa Kwenda Kwa Sumaye Kumkaribisha UKAWA

"Karibu Ndugu Frederick Sumaye katika mabadiliko ya kweli. Tushikamane na tusimame pamoja na wananchi kuongoza hamasa ya watanzania ... thumbnail 1 summary
"Karibu Ndugu Frederick Sumaye katika mabadiliko ya kweli. Tushikamane na tusimame pamoja na wananchi kuongoza hamasa ya watanzania wanaotaka mabadiliko kwa kuiondoa

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Kauli Ngumu Alisozisema Mh Sumaye Bila Kuogopa CCM Alipotangaza Rasmi Kujiunga na Ukawa

‪ Hakuna mtu ambaye anaweza kufunga nadhiri na chama cha siasa" thumbnail 1 summary


  • ‪ Hakuna mtu ambaye anaweza kufunga nadhiri na chama cha siasa"

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Utabiri wa TB Joshua Uko Palepale Uchaguzi 2015

Taarifa kutoka kwa watanzania walio enda TB Joshua walifika wakasema mbona ulisema Lowasaa atakuwa rais alafu akakatwa? Tb Joshua akawamb... thumbnail 1 summary
Taarifa kutoka kwa watanzania walio enda TB Joshua walifika wakasema mbona ulisema Lowasaa atakuwa rais alafu akakatwa? Tb Joshua akawambia uchaguzi umesha fanyika

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Mafuriko ya Magufuli Kuishika Dar Leo Wakati Akizindua Kampeni

John Pombe Magufuli CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kinatarajiwa kuzindua kampeni zake za urais, ubunge na udiwani nchi nzima katika viwanja... thumbnail 1 summary
John Pombe Magufuli
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kinatarajiwa kuzindua kampeni zake za urais, ubunge na udiwani nchi nzima katika viwanja vya Jangwani leo, katika mkutano utakaorushwa moja kwa moja na televisheni na redio mbalimbali nchi nzima.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Mrembo Lulu Michael Amrushia Vijembe Husna Maulid

STAA mdogo kwenye kiwanda cha filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ameonekana kumrushia vijembe hasimu wake mkubwa mlimbwende Husna Mau... thumbnail 1 summary
STAA mdogo kwenye kiwanda cha filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ameonekana kumrushia vijembe hasimu wake mkubwa mlimbwende Husna Maulid kwa kile

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

August 21, 2015

Wema Sepetu Adaiwa Kuvunja Ndoa ya Esma Platnumz na Petit Man

HALI si shwari kwenye familia ya Kampuni ya Endless Fame Productions kufuatia madai mazito yanayomgusa mkurugenzi wake, Wema Isaac Sepetu... thumbnail 1 summary
HALI si shwari kwenye familia ya Kampuni ya Endless Fame Productions kufuatia madai mazito yanayomgusa mkurugenzi wake, Wema Isaac Sepetu akihusishwa na kuvunjika kwa ndoa ya mdogo wa mkali wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ almaarufu kwa jina la Esma Platnumz aliyeolewa na Hamad Manungwa ‘Petit Man’.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Hali Tete Bunda, Viongozi CHADEMA Wajiuzulu...Kisa Ester Bulaya

SIKU chache baada ya mgombea ubunge wa Jimbo la Bunda Mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Esther Bulaya kuteuliwa ... thumbnail 1 summary
SIKU chache baada ya mgombea ubunge wa Jimbo la Bunda Mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Esther Bulaya kuteuliwa na chama hicho na kuchukua fomu ya kuwania nafasi hiyo, hali ndani ya chama hicho wilayani Bunda imekuwa tete.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Huyu Ndo Mgombea Urais wa ACT-Wazalendo baada ya Kitila Mkumbo Kukataa

Hatimaye Chama cha ACT – Wazalendo kimempitisha mwenyekiti wake, Anna Mghwira (56) kuwania urais baada ya mshauri wake, Profesa Kitila Mk... thumbnail 1 summary
Hatimaye Chama cha ACT – Wazalendo kimempitisha mwenyekiti wake, Anna Mghwira (56) kuwania urais baada ya mshauri wake, Profesa Kitila Mkumbo aliyekuwa amechukuliwa fomu kukataa kubeba jukumu hilo.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Wasanii Wazindua Kampeni Kuipigia Debe CCM na Tamasha la 'Mama Ongea na Mwanao'

WASANII ambao ni makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wameandaa Tamasha kubwa kuzunguka nchi nzima kwa pamoja na kukinadi chama hicho tawa... thumbnail 1 summary
WASANII ambao ni makada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wameandaa Tamasha kubwa kuzunguka nchi nzima kwa pamoja na kukinadi chama hicho tawala pamoja na Sera zake ili kiweze kushinda Uchaguzi Mkuu onaotarajia kufanyika Oktoba Mwaka huu (2015).

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Diamond Platnumz Noma Sana..Amdaka NEYO Nairobi na Kufanya Nae Collabo Moja Matata...Kiba Je ?

Huwa nawashangaa sana wanao semega eti Diamond ni freemanson wakati juhudi zake za kupita kiasi zinaonekana ..Unaambiwa Neyo amekuja kufa... thumbnail 1 summary
Huwa nawashangaa sana wanao semega eti Diamond ni freemanson wakati juhudi zake za kupita kiasi zinaonekana ..Unaambiwa Neyo amekuja kufanya Coke Studio na Kiba ila Diamond hapo hapo akachukua fursa bila kupoteza

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW: