MSANII Emmanuel Mbasha (32) na mume
wa Mwimbaji wa Injili, Flora Mbasha,
amefikishwa Mahakama ya Wilaya ya Ilala
akikabiliwa na mashitaka mawili likiwemo
la ubakaji.
Mshtakiwa huyo ambaye ni mfanyabiashara
na mwimbaji alisomewa mashitaka yake
mbele ya Hakimu Mkazi Wilberforce Luago.
Wakili wa Serikali Nassoro Katuga alidai
kuwa mshtakiwa alitenda makosa hayo
wa Mwimbaji wa Injili, Flora Mbasha,
amefikishwa Mahakama ya Wilaya ya Ilala
akikabiliwa na mashitaka mawili likiwemo
la ubakaji.
Mshtakiwa huyo ambaye ni mfanyabiashara
na mwimbaji alisomewa mashitaka yake
mbele ya Hakimu Mkazi Wilberforce Luago.
Wakili wa Serikali Nassoro Katuga alidai
kuwa mshtakiwa alitenda makosa hayo