Kama utakuwa mfuatiliaji mzuri wa mitandao ya kijamii utakuwa uliwahi kukutana na picha ya mtangazaji na pia mwongozaji wa kipindi cha Mkasi Salama Jabir akimpiga busu mmoja kati ya director wa kipindi cha mkasi
October 25, 2014
SALMA JABIR:SINA UHUSIANO WA KIMAPENZI NA DIRECTOR WANGUXXX
Kama utakuwa mfuatiliaji mzuri wa mitandao ya kijamii utakuwa uliwahi kukutana na picha ya mtangazaji na pia mwongozaji wa kipindi cha Mkasi Salama Jabir akimpiga busu mmoja kati ya director wa kipindi cha mkasi
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
HOFU YA UGONJWA WA EBOLA YATANDA MJINI MOSHI
HOFU YA UGONJWA WA EBOLA YATANDA MJINI MOSHI
Lango kuu la kuingia zahanati ya Shirimatunda likiwa na tangazo la kusitishwa kwa huduma za afya katika zahanati hiyo kwa hofu ya ku... 21:07
Lango kuu la kuingia zahanati ya Shirimatunda likiwa na tangazo la kusitishwa kwa huduma za afya katika zahanati hiyo kwa hofu ya kuwapo kwa mgonjwa wa Ebola.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
RAY C AFUNGUKA MAZITO KUHUSU CHID BENZ KUKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA.
RAY C AFUNGUKA MAZITO KUHUSU CHID BENZ KUKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA.
Baada ya msanii Chidi Benz kukamatwa na madawa ya kulevya jana jioni 24 Oct 2014 akiwa njiani kuelekea Mbeya, Ray C ambaye nae alikuwa na... 21:00SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
SIRI IMEFICHUKA: MTIFUANO KATI YA DIAMOND NA ALIKIBA KUMBE CHANZO NDIO HIKI HAPA.
SIRI IMEFICHUKA: MTIFUANO KATI YA DIAMOND NA ALIKIBA KUMBE CHANZO NDIO HIKI HAPA.
Kama umefuatilia katika wiki hii kumekuwa na vuguvugu kali linaloendelea kati ya Mahasimu hawa wawili, sasa wengi wakiwa hawajui nini ... 20:59SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Mwanamke aliyejinusuru kubakwa na kumuua mbakaji, ahukumiwa kunyongwa.
Mwanamke aliyejinusuru kubakwa na kumuua mbakaji, ahukumiwa kunyongwa.
Reyhaneh Jabbari mwenye umri wa miaka 26 amehukumiwa kunyongwa baada ya kukutwa na hatia ya kumuua mtu mmoja ambaye alifanya jaribio la k... 17:10SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
SIRI NJE NJE, SAFARI HII HAKUNA UBISHI, NI KWAMBA MISS TANZANIA ANA MIAKA 25 NA SIYO 18 KAMA ANAVYODAI YEYE, UKWELI HU HAPA
SIRI NJE NJE, SAFARI HII HAKUNA UBISHI, NI KWAMBA MISS TANZANIA ANA MIAKA 25 NA SIYO 18 KAMA ANAVYODAI YEYE, UKWELI HU HAPA
Miss Tanzania 2014, Sitti Abbas Zubeir Mtemvu. LILE sakata la Miss Tanzania 2014, Sitti Abbas Zubeir Mtemvu kudaiwa kudanganya limein... 15:41Miss Tanzania 2014, Sitti Abbas Zubeir Mtemvu.
LILE sakata la Miss Tanzania 2014, Sitti Abbas Zubeir Mtemvu kudaiwa kudanganya limeingia ukurasa mwingine kufuatia ufukunyuku wa gazeti hili kubaini kuwa, miaka 25 ndiyo sahihi kwake.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
EXCLUSIVE NEWS,UNAAMBIWA WAZIRI ARUSHIANA NA MWANAE WA KUMZAA MUDA HUU
EXCLUSIVE NEWS,UNAAMBIWA WAZIRI ARUSHIANA NA MWANAE WA KUMZAA MUDA HUU
Naibu Waziri wa zamani wa Afya, Dk. Lucy Nkya. Naibu Waziri wa zamani wa Afya na mbunge wa Morogoro Kusini Mashariki , Lucy Nkya, ... 15:40SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
FREEMASON YAZUA KIZAAZAA KWENYE ZOEZI LA CHANJO HUKO RUFIJI PWANI
FREEMASON YAZUA KIZAAZAA KWENYE ZOEZI LA CHANJO HUKO RUFIJI PWANI
Chanjo ya surua na rubella katika baadhi ya maeneo wilayani Rufiji, Mkoa wa Pwani imekumbwa na changamoto mbalimbali, ikiwamo ya baadh... 09:30
Chanjo ya surua na rubella katika baadhi ya maeneo wilayani Rufiji, Mkoa wa Pwani imekumbwa na changamoto mbalimbali, ikiwamo ya baadhi ya wananchi kugoma kuwapeleka watoto wao katika vituo vya afya kwa madai kuwa dawa hizo zinatolewa na ‘Freemason’ ili kuwafunga vizazi
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
SHAKIRA, JENIFFER LOPEZ WATUMIKA KWA UTANI WA EL CLASICO.
SHAKIRA, JENIFFER LOPEZ WATUMIKA KWA UTANI WA EL CLASICO.
Ushabiki mkubwa wa klabu kubwa mbili za Hispania, Barcelona na Real Madrid, sasa umeingia kwenye sura nyingine. Mechi ya kesho ya El C... 09:29SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MCHINA AKAMATWA HUKO PWANI BAADA YA KUMTEKA MWENZAKE, AKUTWA NA RISASI 300
MCHINA AKAMATWA HUKO PWANI BAADA YA KUMTEKA MWENZAKE, AKUTWA NA RISASI 300
JESHI la Polisi mkoani Pwani linamshikilia raia wa nchi ya China We Sheng (39) mkazi wa Mbagala jijini Dar es Salaam kwa tuhuma... 09:28
JESHI la Polisi mkoani Pwani linamshikilia raia wa nchi ya China We Sheng (39) mkazi wa Mbagala jijini Dar es Salaam kwa tuhuma za kumteka nyara Mkurugenzi wa Kiwanda cha Kutengeneza Viatu vya Plastiki (Yeboyebo), Li Cheng Weng (54) baada ya
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
HAKUNA UBISHI SITTI MTEMVU KADANGANYA UMRI
HAKUNA UBISHI SITTI MTEMVU KADANGANYA UMRI
LILE sakata la Miss Tanzania 2014, Sitti Abbas Zubeir Mtemvu kudaiwa kudanganya limeingia ukurasa mwingine kufuatia ufukunyuku wa gazeti h... 09:23SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MAMA KANUMBA: WEMA ZAA FASTA
MAMA KANUMBA: WEMA ZAA FASTA
MAMA wa aliyekuwa nguli wa sinema za Kibongo, Steven Kanumba, Flora Mtegoa amempa darasa la kuzaa haraka mwigizaji Wema Sepetu na mpenzi... 09:21
MAMA wa aliyekuwa nguli wa sinema za Kibongo, Steven Kanumba, Flora Mtegoa amempa darasa la kuzaa haraka mwigizaji Wema Sepetu na mpenzi wake, Nasibu Abdul ‘Diamond’.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
DAVINA: NATESEKA KUZUIWA KUMUONA MWANANGU
DAVINA: NATESEKA KUZUIWA KUMUONA MWANANGU
STAA wa filamu Bongo, Halima Yahaya ‘Davina’ amefunguka kuwa yuko katika mateso makali baada ya kuzuiwa kumuona mwanaye kwa takriban mie... 09:20
STAA wa filamu Bongo, Halima Yahaya ‘Davina’ amefunguka kuwa yuko katika mateso makali baada ya kuzuiwa kumuona mwanaye kwa takriban miezi mitatu na mzazi mwenzake.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
ROSE MUHANDO MGONJWA
ROSE MUHANDO MGONJWA
TUMUOMBEE! Hali ya kiafya ya staa mkubwa wa Injili Bongo, Rose Muhando siyo nzuri na amewaomba Watanzania wamuombee kwani ni mgonjwa. 09:20
TUMUOMBEE! Hali ya kiafya ya staa mkubwa wa Injili Bongo, Rose Muhando siyo nzuri na amewaomba Watanzania wamuombee kwani ni mgonjwa.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
BAADA YA KUTEMANA NA EDZEN..UNAAMBIWA DIDA NDOA TENA! AMTAMBULISHA MCHUMBA WAKE MPYA
BAADA YA KUTEMANA NA EDZEN..UNAAMBIWA DIDA NDOA TENA! AMTAMBULISHA MCHUMBA WAKE MPYA
Mtangazaji wa Kipindi wa Times FM, Khadija Shaibu ‘Dida' akimlisha keki Shemeji yake, Feisal. SIKU chache baada ya kudai hawezi kuo... 09:16Mtangazaji wa Kipindi wa Times FM, Khadija Shaibu ‘Dida' akimlisha keki Shemeji yake, Feisal.
SIKU chache baada ya kudai hawezi kuolewa kwa sasa, mtangazaji wa Kipindi cha Mitikisiko ya Pwani kupitia Radio Times FM,
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
CHID BENZ NAYE HUENDA AKAOZEA GEREZANI...NI BAADA YA KUKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA UWANJA WA NDEGE :
CHID BENZ NAYE HUENDA AKAOZEA GEREZANI...NI BAADA YA KUKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA UWANJA WA NDEGE :
Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Rashid Makwiro 'Chid Benz'. MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Rashid Makwiro 'Chid B... 09:15Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Rashid Makwiro 'Chid Benz'.
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Rashid Makwiro 'Chid Benz' amekamatwa na madawa ya kulevya aina ya heroine na bangi akiwa kwenye Uwanja wa
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
JINSI YA KUTAMBUA NA KUDHIBITI UGONJWA WA PRESHA MAPEMA.
JINSI YA KUTAMBUA NA KUDHIBITI UGONJWA WA PRESHA MAPEMA.
Presha ya Juu hutokea endapo itazidi kiasi cha140/90mmlHg na ikiwa haitibiwi huharibu mishipa ya damu katika macho, misuli ya moyo kuwa... 06:10SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MAUMIVU NA KUVIMBA KATIKA SEHEMU ZA HAJA KUBWA
MAUMIVU NA KUVIMBA KATIKA SEHEMU ZA HAJA KUBWA
Bawasiri ni mojawapo ya tatizo ambalo mara nyingi linapotokea humfanya mtu kuwa na aibu kuelezea au kwenda hospitali ili kupata tiba sah... 06:10SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
KUPONA VIDONDA VYA TUMBO FUATA MAMBO HAYA MUHIMU SANA.
KUPONA VIDONDA VYA TUMBO FUATA MAMBO HAYA MUHIMU SANA.
Watu wengi wamekuwa wakilalamika kutopona vidonda vya tumbo baada ya kutumia dawa mbalimbali sababu wamekuwa wakipatiwa dawa ambazo ha... 06:09
Watu wengi wamekuwa wakilalamika kutopona vidonda vya tumbo baada ya kutumia dawa mbalimbali sababu wamekuwa wakipatiwa dawa ambazo hazitibu kabisa tatizo hilo bali kupunguza maumivu.Baada ya kufanya utafiti kwa muda mrefu sasa suluhisho
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
NESI WA EBOLA APONA NA AKUTANA NA KUMPA HAGI RAIS OBAMA KABLA YA KURUDI NYUMBANI
NESI WA EBOLA APONA NA AKUTANA NA KUMPA HAGI RAIS OBAMA KABLA YA KURUDI NYUMBANI
Mmoja wa manesi waliopata Ebola wakati akimuuguza mgonjwa wa Ebola Thomas Eric Duncan aliyepata wakati akitokea Liberia. Nesi Nin... 06:08
Mmoja wa manesi waliopata Ebola wakati akimuuguza mgonjwa wa Ebola Thomas Eric Duncan aliyepata wakati akitokea Liberia. Nesi Nina Pham leo Ijumaa Oct 24, 2014
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Subscribe to:
Posts (Atom)