WAYNE Rooney anahitaji kuwa nahodha wa Manchester United kuelekea kusaka ubingwa, lakini amesisitiza kuwa ataheshimu maamuzi ya kocha mkuu Louis Van Gaal kwa yeyote atakayemchagua.
July 26, 2014
WAYNE ROONEY AVUNJA UKIMYA, AUTAKA UNAHODHA MANCHESTER UNITED
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
LAHM: NILIPANGA KUSTAAFU KABLA YA KUTWAA UBINGWA WA KOMBE LA DUNIA 2014
LAHM: NILIPANGA KUSTAAFU KABLA YA KUTWAA UBINGWA WA KOMBE LA DUNIA 2014
PHILIPP Lahm amefichua siri kuwa alipanga kustaafu soka la kimataifa siku nyingi kabla ya kutwaa kombe la dunia akiwa nahodha wa Ujeru... 21:12
PHILIPP Lahm amefichua siri kuwa alipanga kustaafu soka la kimataifa siku nyingi kabla ya kutwaa kombe la dunia akiwa nahodha wa Ujerumani.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
REINA ATHIBITISHA KUPENDA KUENDELEA KUICHEZEA LIVERPOOL
REINA ATHIBITISHA KUPENDA KUENDELEA KUICHEZEA LIVERPOOL
MLINDA mlango wa Liverpool, Pepe Reina amejitia kitanzi mwenyewe katika klabu hiyo, licha ya kudai anapenda kustaafu soka la kimataifa... 21:11
MLINDA mlango wa Liverpool, Pepe Reina amejitia kitanzi mwenyewe katika klabu hiyo, licha ya kudai anapenda kustaafu soka la kimataifa nchini Hispania.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
ASERNE WENGER AFICHUA SIRI YA KUOKOA KIWANGO CHA AARON RAMSEY
ASERNE WENGER AFICHUA SIRI YA KUOKOA KIWANGO CHA AARON RAMSEY
BOSI wa Asernal, Mfaransa, Aserne Wenger amefichua siri kuwa alikaa kwa kirefu na Aaron Ramsey kwa lengo la kuzungumza naye ili kunusu... 21:11
BOSI wa Asernal, Mfaransa, Aserne Wenger amefichua siri kuwa alikaa kwa kirefu na Aaron Ramsey kwa lengo la kuzungumza naye ili kunusuru kiwango cha nyota huyo wa Wales.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MKURUGENZI AC MILAN ASEMA KWA ASILIMIA 99.9% MARIO BALOTELLI HANG'OI MGUU!
MKURUGENZI AC MILAN ASEMA KWA ASILIMIA 99.9% MARIO BALOTELLI HANG'OI MGUU!
+3 Ana furaha katika rangi nyekundu na nyeusi: Mario Balotelli anaonekana kama vile ataondoka katika klabu ya AC Milan majira ... 21:10
Ana furaha katika rangi nyekundu na nyeusi: Mario Balotelli anaonekana kama vile ataondoka katika klabu ya AC Milan majira haya ya kiangazi.DHAMIRA ya Arsenal kutaka kumsajili Mario Balotelli inaonekana kufa , baada ya Mkurugenzi wa AC Milan,
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Nick Minaj Aanika utamu wake katika Cover la Wimbo wake mpya “Anaconda’
Nick Minaj Aanika utamu wake katika Cover la Wimbo wake mpya “Anaconda’
Nicki Minaj ni miongini mwa wasanii wa kike ambao hupenda kutengeneza attention na kiki kubwa kabla kazi yake kutoka na kuingia mitaani. 21:08SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
SHILOLE APANGA KUGOMBEA UBUNGE IGUNGA 2015!
SHILOLE APANGA KUGOMBEA UBUNGE IGUNGA 2015!
Shilole si mgeni katika kuota vitu vikubwa. Kutoka kwenye ndoto yake ya kufanya kolabo na Jennifer Lopez, awamu hii ameenda mbali zaidi. ... 21:07SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MSANII MAARUFU WA INJILI BAHATI BUKUKU APATA AJALI TAARIFA KAMILI IKO HAPA
MSANII MAARUFU WA INJILI BAHATI BUKUKU APATA AJALI TAARIFA KAMILI IKO HAPA
Habari zilizotufikia hivi punde zinasema kwamba, mwimbaji maarufu wa nyimbo za injili hapa nchini, Bahati Bukuku amenusurika kifo baad... 21:06
Habari zilizotufikia hivi punde zinasema kwamba, mwimbaji maarufu wa nyimbo za injili hapa nchini, Bahati Bukuku amenusurika kifo baada ya gari
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
DAVINA ACHEZEA KICHAPO KIKALI KUTOKA KWA MUMEWE ...KISA WIVU WA MAPENZI
DAVINA ACHEZEA KICHAPO KIKALI KUTOKA KWA MUMEWE ...KISA WIVU WA MAPENZI
Staa wa sinema za Kibongo, Halima Yahya ‘Davina’ anadaiwa kupewa kipigo kikali na mumewe, muda mfupi baada ya kukutwa akiongea kimahaba n... 21:06
Staa wa sinema za Kibongo, Halima Yahya ‘Davina’ anadaiwa kupewa kipigo kikali na mumewe, muda mfupi baada ya kukutwa akiongea kimahaba na simu iliyodaiwa kupigwa na mwanaume mwingine.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MSANII WA BONGO FLEVA BARNABA ADAIWA KUMLA URODA BEKI 3 WA WEMA SEPETU
MSANII WA BONGO FLEVA BARNABA ADAIWA KUMLA URODA BEKI 3 WA WEMA SEPETU
July 25 Barnaba ametangaza kuwa ndiyo siku atakayotoa video yake ya Wahaladee ambayo imetengezwa kwenye ardhi mbili ya Tanzania na 21:05SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MATOKEO YA PICHA CHAFU FACEBOOK HAYA HAPA
MATOKEO YA PICHA CHAFU FACEBOOK HAYA HAPA
Tafiti zinaonesha kuna idadi kubwa ya watu wanaotumia Facebook hubofya zaidi picha au video zinazoonesha matukio yanayoendana na ngon... 21:04SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
DIDA AFUNGUKA SABABU YA KUPIGWA CHINI NA BWANA AKE, SOMA HAPA
DIDA AFUNGUKA SABABU YA KUPIGWA CHINI NA BWANA AKE, SOMA HAPA
Dida Shaibu, mtangazaji wa kipindi cha Mitikisiko ya Pwani amefunguka Exclusively kupitia Sunrise ya 100.5 Times Fm inayoongozwa na Fadhil... 21:04Dida Shaibu, mtangazaji wa kipindi cha Mitikisiko ya Pwani amefunguka Exclusively kupitia Sunrise ya 100.5 Times Fm inayoongozwa na Fadhili Haule na kueleza chanzo cha ndoa yake na Ezden ‘The Rocker’ Jumanne kuvunjika. Ndoa iliyodumu kwa muda wa mwaka mmoja tu.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Video mpya ya Barnaba aliyoonekana na mke wake ndio hii.
Video mpya ya Barnaba aliyoonekana na mke wake ndio hii.
Hii single inaitwa ‘Wahaladee’ ambayo ni miezi kadhaa imepita tangu utoke rasmi kwenye Radio lakini July 25 2014 Watanzania wameletewa vi... 08:32SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Unaweza ku-enjoy na hizi movie kwa weekend hii ndefu.
Unaweza ku-enjoy na hizi movie kwa weekend hii ndefu.
Weekend hii inaweza kuwa ndefu kama sikukuu ikiwa ni Jumatatu. Zaidi ya ku enjoy muda wako na familia unaweza pia kwenda kuangalia movie ... 08:31SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Post za Instagram: walichopost Ali Kiba, Jokate, Diamond, Nay wa Mitego, Master J na wengine
Post za Instagram: walichopost Ali Kiba, Jokate, Diamond, Nay wa Mitego, Master J na wengine
Instagram ni mtandao mwingine wa kijamii unaozidi kupata Wanachama wapya kila siku kutokana na aina yake ya kupost pichaz ambapo umekua u... 08:30SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
HUYU NDIO MWANAFUNZI WA CHUO HUKO KENYA, ANAESAMBAZA VIRUSI KWA MAKUSUDI...TAYARI 31, BADO 45 ATIMIZE LENGO
HUYU NDIO MWANAFUNZI WA CHUO HUKO KENYA, ANAESAMBAZA VIRUSI KWA MAKUSUDI...TAYARI 31, BADO 45 ATIMIZE LENGO
Some men were thrown into shock after a Kisii lady named, Millicent B Motende, bragged on facebook that she has infected 31 men with the ... 08:27SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
LINAH AFANYA COLABO NA MSANII MKUBWA NJE
LINAH AFANYA COLABO NA MSANII MKUBWA NJE
Linah amepata nafasi ya kufanya kazi na rapper ambaye pia ni mtayarishaji mkubwa wa muziki na mshindi wa Grammy kutoka Marekani, David... 08:26
Linah amepata nafasi ya kufanya kazi na
rapper ambaye pia ni mtayarishaji mkubwa
wa muziki na mshindi wa Grammy kutoka
Marekani, David Banner.
David Banner na Linah walikutana studio na
watayarishaji wengine akiwemo P-Funk
Majani, Lamar, Nahreel na Ematheboy na
kwa pamoja watayarishaji hao
walitengeneza mdundo.
Akiongea na Bongo5, Lamar ameeleza
rapper ambaye pia ni mtayarishaji mkubwa
wa muziki na mshindi wa Grammy kutoka
Marekani, David Banner.
David Banner na Linah walikutana studio na
watayarishaji wengine akiwemo P-Funk
Majani, Lamar, Nahreel na Ematheboy na
kwa pamoja watayarishaji hao
walitengeneza mdundo.
Akiongea na Bongo5, Lamar ameeleza
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MATOKEO YA USAILI JULY 2014, IDARA YA UHAMIAJI WAPEANA KAZI KIUNDUGU ZAIDI, ASILIMIA SITINI YA WALIOPITA NI NDUGU WA WAFANYAKAZI TAZAMA ORODHA HAPA
MATOKEO YA USAILI JULY 2014, IDARA YA UHAMIAJI WAPEANA KAZI KIUNDUGU ZAIDI, ASILIMIA SITINI YA WALIOPITA NI NDUGU WA WAFANYAKAZI TAZAMA ORODHA HAPA
Matokeo ya Usaili wa nafasi za kazi Uhamiaji yaliyotolewa katika magazeti Julai, 2014 yameonesha kuwa katika Idara hiyo watanzania wengin... 08:21
Matokeo ya Usaili wa nafasi za kazi Uhamiaji yaliyotolewa katika magazeti Julai, 2014 yameonesha kuwa katika Idara hiyo watanzania wengine mbali ya watoto au ndugu wa wafanyakazi wa Idara hiyo hawawezi kupata ajiya ndani ya Idara hiyo ya Serikali kirahisi. Majina ya wengi walioitwa kazini ni
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
JE WAJUA HII? MWIMBWJI WA INJILI UPENDO NKONE, ANUSURIKA KULAANIWA
JE WAJUA HII? MWIMBWJI WA INJILI UPENDO NKONE, ANUSURIKA KULAANIWA
UKISIKILIZA wimbo wake wa Hapa Nilipo, Usinipite Bwana, Usifurahi Juu Yangu na Upendo wa Yesu, hakika utagundua kwamba kuna kitu Mungu a... 08:19SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
OZIL, MERTESACKER, PODOLSKI HATARINI KUKOSA MECHI YA UFUNGUZI LIGI KUU ENGLAND
OZIL, MERTESACKER, PODOLSKI HATARINI KUKOSA MECHI YA UFUNGUZI LIGI KUU ENGLAND
+12 Arsene Wenger akipozi katika picha na nyota wa New York Red Bulls, Thierry Henry (wa pili kushoto). 08:17
Arsene Wenger akipozi katika picha na nyota wa New York Red Bulls, Thierry Henry (wa pili kushoto).
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
NYOTA WAPYA WALIOTUA LIVERPOOL WAMTOA JASHO RAHEEM STERLING
NYOTA WAPYA WALIOTUA LIVERPOOL WAMTOA JASHO RAHEEM STERLING
+9 Tumelianzisha tena! Raheem Sterling anajua wazi kuwa anatakiwa kujithibitsha mwenyewe kuwa ni bora. 08:16
Tumelianzisha tena! Raheem Sterling anajua wazi kuwa anatakiwa kujithibitsha mwenyewe kuwa ni bora.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
ATHARI ZA PICHA ZA NUSU UCHI NA TATTOO ZINAZOZAGAA MITANDAONI...!
ATHARI ZA PICHA ZA NUSU UCHI NA TATTOO ZINAZOZAGAA MITANDAONI...!
suala la msingi leo ni ‘mapicha’ na tattoo tunazochora mwilini na kuzitupia mtandaoni kila kukicha. Turudi kulekule kwenye uhuru wa kufan... 08:12suala la msingi leo ni ‘mapicha’ na tattoo tunazochora mwilini na kuzitupia mtandaoni kila kukicha. Turudi kulekule kwenye uhuru wa kufanya kile unachojisikia, lakini usiku ukienda kulala jiulize mwisho wake nini?
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
HATIMAYE PENNY AMWEKA HADHARANI MCHUMBA WAKE, TAZAMA PICHA HAPA...!
HATIMAYE PENNY AMWEKA HADHARANI MCHUMBA WAKE, TAZAMA PICHA HAPA...!
Mtangazaji wa 93.7 EFM Radio, Penny Mungilwa , ameposti picha kwenye ukurasa wake wa Instagram akiwa na pete inayosemekana amevishwa na 08:09
Mtangazaji wa 93.7 EFM Radio, Penny Mungilwa , ameposti picha kwenye ukurasa wake wa Instagram akiwa na pete inayosemekana amevishwa na
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MABAKI YA NDEGE ALGERIA AH5017 YAONEKANA NCHINI MALI.
MABAKI YA NDEGE ALGERIA AH5017 YAONEKANA NCHINI MALI.
Mabaki ya Ndege ya Algeria baada ya kuanguka jangwani na Abiria wote na wahudumu wa ndege ya Air Algerie AH5017 kupoteza maisha. 08:09SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
DAWA YENYE UHAKIKA YA KUTIBU UGONJWA WA UKIMWI YAGUNDULIWA, SOMA HABARI HII NZURI HAPA
DAWA YENYE UHAKIKA YA KUTIBU UGONJWA WA UKIMWI YAGUNDULIWA, SOMA HABARI HII NZURI HAPA
Watafiti wakitoa sampuli za damu kutoka kwa sokwe mtu katika utafiti wa Ukimwi huko Gabon. Picha ya Mtandao 08:07SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Subscribe to:
Posts (Atom)