Rapper mkongwe kutoka Marekani, Sean Combs maarufu kama Diddy amechora kifuani tattoo ya aliyekuwa bingwa wa dunia Mohammad Ali aliyefariki...
23:05
Rapper mkongwe kutoka Marekani, Sean Combs maarufu kama Diddy amechora kifuani tattoo ya aliyekuwa bingwa wa dunia Mohammad Ali aliyefariki Juni 4 mwaka huu.
Hillary Clinton ameshinda nafasi ya kugombea urais wa Marekani kupitia chama chake cha Democratic baada ya kujikusanyia namba za uwakilishi...
21:30
Hillary Clinton ameshinda nafasi ya kugombea urais wa Marekani kupitia chama chake cha Democratic baada ya kujikusanyia namba za uwakilishi zinazotakiwa, kwa mujibu wa
Wikiendi hii rapper, Kanye West alilazimika kuvunja show yake baada ya mashabiki kuwa wengi zaidi na kupelekea kuvunjika kwa show hiyo kuto...
19:00
Wikiendi hii rapper, Kanye West alilazimika kuvunja show yake baada ya mashabiki kuwa wengi zaidi na kupelekea kuvunjika kwa show hiyo kutokana na hofu ya usalama.
Staa wa filamu nchini Marekani, Will Smith na bingwa wa ngumi wa dunia, Lennox Lewis wameteuliwa kuwa miongoni mwa watu watakaobeba jeneza ...
19:00
Staa wa filamu nchini Marekani, Will Smith na bingwa wa ngumi wa dunia, Lennox Lewis wameteuliwa kuwa miongoni mwa watu watakaobeba jeneza la marehemu Muhammad Ali siku ya mazishi.
Rapa mwenye vituko nchini Kenya, CMB Prezzo, amesema kutokana na kuandamwa sana katika mitandao ya kijamii kutokana na aliyoyatenda kati...
17:00
Rapa mwenye vituko nchini Kenya, CMB Prezzo, amesema kutokana na kuandamwa sana katika mitandao ya kijamii kutokana na aliyoyatenda katika matukio mbalimbali kwa sasa ameamua kuachana nayo na kuja kivingine ili kuwashawishi
Nahodha na mshambuliaji wa timu ya taifa ya Ureno, Cristiano Ronaldo ameutaka uongozi wa klabu ya Real Madrid, kutofanya maamuzi ya kumuw...
17:00
Nahodha na mshambuliaji wa timu ya taifa ya Ureno, Cristiano Ronaldo ameutaka uongozi wa klabu ya Real Madrid, kutofanya maamuzi ya kumuweka sokoni James Rodriguez.
Serena Williams amekichukua kiti kilichokuwa kimekaliwa na Maria Sharapova kama mwana michezo anayelipwa fedha nyingi zaidi. Katika kipin...
15:30
Serena Williams amekichukua kiti kilichokuwa kimekaliwa na Maria Sharapova kama mwana michezo anayelipwa fedha nyingi zaidi. Katika kipindi cha miezi 12, Serena
Waigizaji wa tamthilia ya Empire, Taraji P Henson na Terrence Howard wapo nchini Afrika Kusini walikoenda kwaajili ya kupromote tamthilia...
15:00
Waigizaji wa tamthilia ya Empire, Taraji P Henson na Terrence Howard wapo nchini Afrika Kusini walikoenda kwaajili ya kupromote tamthilia hiyo inayopendwa.
Baada ya muigizaji wa Uingereza, Idris Elba kucheza filamu ya maisha ya Nelson Mandela (Mandela: Long Walk to Freedom, 2013), ni wazi kila ...
07:50
Baada ya muigizaji wa Uingereza, Idris Elba kucheza filamu ya maisha ya Nelson Mandela (Mandela: Long Walk to Freedom, 2013), ni wazi kila mtu alidhani hakutakuwa na kazi nyingi kubwa ya kiongozi huyo wa zamani wa Afrika Kusini.
June 7 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenyeMagazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hard...
07:50
June 7 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenyeMagazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook,
Joseph Osmund Mbilinyi maarufu kama Mr Two, 2 proud au Sugu ni mkongwe katika muziki wa kizazi kipya nchini na pia ni mbunge wa Mbeya Mji...
06:30
Joseph Osmund Mbilinyi maarufu kama Mr Two, 2 proud au Sugu ni mkongwe katika muziki wa kizazi kipya nchini na pia ni mbunge wa Mbeya Mjini kwa awamu ya pili sasa. Kwa jinsi ambavyo Sugu anavyoipenda Mbeya unaweza kusema ndipo
Life is not easy; some think you are made out of steel and forget that you human. How many times in your life have you ever faced a false...
02:30
Life is not easy; some think you are made out of steel and forget that you human. How many times in your life have you ever faced a false accusation? Leave the one your sibling tells your mother that you took the 10 shilling coin on the table. The
Muziki wa Afrika hususan Bongo Flava, utachukua muda mrefu sana kuanza kuchezwa barani Ulaya, kwa mujibu wa msanii wa Tanzania aishiye nchi...
00:30
Muziki wa Afrika hususan Bongo Flava, utachukua muda mrefu sana kuanza kuchezwa barani Ulaya, kwa mujibu wa msanii wa Tanzania aishiye nchini Sweden, The Dati.
Akiongea na mtangazaji wa Jembe FM ya Mwanza, Jay Jay, The Dati amesema sababu kubwa ni mfumo wa jinsi muziki unavyochezwa na vituo vya redio na TV vya Ulaya.
“Ulaya nyimbo yako ikichezwa lazima wakulipe, hawachezi bure kwahiyo muziki wako ukichezwa lazima waende kuna website wanaregister kwamba tumecheza muziki huu na huu na kila wimbo, kila dakika una malipo yake,” amesema Dati.
“Kwahiyo ni ngumu ukianza kucheza muziki wa Kitanzania, hawajui ni akina nani, hamna contract ni ngumu. Hazipati airplay, lugha pia nadhani ni kikwazo,” ameongeza.
Amesema muziki wa Marekani na kidogo wa Brazil ndio unachezwa zaidi barani Ulaya.
The Dati alitumbuiza pamoja na Diamond mwaka huu kwenye show ya Sweden
Hata hivyo The Dati amesema muziki wa Afrika una nguvu na kinachotakiwa sasa ni kupigania uweze kusambaaa zaidi.