January 27, 2016
Zile Picha za Mwanamke Aliyekutwa Shimoni Hakuwa Msukule, Ndugu Wamesimulia.. (+Audio)
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Tetesi Kubwa Tano za Usajili wa Ulaya Pamoja na Swala la Kujiuzulu Kwa Van Gaal wa Manchester United
Tetesi Kubwa Tano za Usajili wa Ulaya Pamoja na Swala la Kujiuzulu Kwa Van Gaal wa Manchester United
Barani Ukaya kwasasa ni vurugu kwenye soko la usajili wa wachezaji kila timu ikitaka kujiimarisha 10:14SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Maiti ya Kijana Mtanzania yazuiwa India Siku 27 Sasa..Kisa Kizima Hichi Hapa
Maiti ya Kijana Mtanzania yazuiwa India Siku 27 Sasa..Kisa Kizima Hichi Hapa
Jeneza Mwili wa kijana, Abel Machanga (24), aliyefariki dunia Desemba 31 10:13SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Amuua Mwenzake Kwa Kipigo Baada ya Kumkuta Akimtongoza Dada Yake
Amuua Mwenzake Kwa Kipigo Baada ya Kumkuta Akimtongoza Dada Yake
Mkazi wa kijiji cha Kalovya – Inyonga wilayani Mlele, Ramadhani Ally (20) amefariki dunia akipatiwa matibabu hospitalini baada ku... 10:12SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Spika Job Ndugai Anaweza Kulikimbia Bunge Hili, Kiatu Kinapwaya
Spika Job Ndugai Anaweza Kulikimbia Bunge Hili, Kiatu Kinapwaya
Job Ndugai Wakuu sitaki niongee kishabiki wala kwa hisia ila tu naongea kiuhalisia kupitia jukwaa hili! 10:11SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Zari: Wakiniita ‘Bi Kizee’ Huwa Najiangalia Kwenye Kioo Najiona Mrembo Sana
Zari: Wakiniita ‘Bi Kizee’ Huwa Najiangalia Kwenye Kioo Najiona Mrembo Sana
Zari Hassan Zari amekuwa akitupiwa maneno mengi ya kashfa kupitia mtandao wa ‘Instagram’ hasa kuhusu suala la umri wake kuwa ni m... 10:11SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Wastara: Nikirudi Bongo Nakuja Kivingine..Mtashangaa
Mwigizaji wa Bongo Movies Wastara Juma |
Akizungumza kwa njia ya simu akiwa huko, Wastara alisema anam shukuru Mungu kwani anaendelea vizuri na matibabu, lakini akawaahidi mashabiki wake vitu vipya kwani safari yake huko imemuo ngezea ubunifu.
“Yaani nikirudi Bongo naamini nitakuwa niko fiti na nitafanya makubwa kwa kutoa filamu kali zenye ubunifu mkubwa tofauti na zamani hivyo mashabiki wakae mkao wa kula,” alisema Wastara.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Andrew Chenge Asema Haya Kuhusu Sakata la Tegeta Escrow Baada ya Kuchaguliwa Kuwa Mwenyekiti wa Bunge
Andrew Chenge Asema Haya Kuhusu Sakata la Tegeta Escrow Baada ya Kuchaguliwa Kuwa Mwenyekiti wa Bunge
MBUNGE wa Bariadi, Andrew Chenge na wabunge wawili wa Viti Maalumu, Dk Mary Mwanjelwa na Najma Giga, wamechaguliwa kuwa Wenyeviti wa Bung... 10:09SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Bosi Amlawiti Mtumishi wa Nyumbani Mpaka Kusababisha Kifo Chake
Bosi Amlawiti Mtumishi wa Nyumbani Mpaka Kusababisha Kifo Chake
Picha si ya tukio Mtumishi wa nyumbani mwenye umri wa miaka 23, aliyekuwa akifanyakazi katika nyumba iliyo eneo la Mwika-Mrimbo,... 10:08SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumatano Ya Januari 27, Ikiwemo ya Madee Kugoma Kuchoma Gari yake
Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumatano Ya Januari 27, Ikiwemo ya Madee Kugoma Kuchoma Gari yake
Habari Zilizopo Katika Magazeti Ya Leo Jumatano Ya Januari 27, Ikiwemo ya Madee Kugoma Kuchoma Gari yake ... 10:07SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Video ya Mtoto wa Faiza Yamgusa Mange Kimambi..Amkosoa Faiza na Kumpa Ushauri Huu
Video ya Mtoto wa Faiza Yamgusa Mange Kimambi..Amkosoa Faiza na Kumpa Ushauri Huu
Mange Ameibuka na kutoa neno baada ya Video ya mtoto wa Faiza Ali akiomba Hela kwa Mh Mbunge Sugu kuzagaa mitandaoni... Amesema ... 10:06
Mange Ameibuka na kutoa neno baada ya Video ya mtoto wa Faiza Ali akiomba Hela kwa Mh Mbunge Sugu kuzagaa mitandaoni...
Amesema haya kupitia ukurasa wake wa Instagram:
"Nilikuwa nachukua break to focus on my weight loss thingy Ila this video had me in tears....... Kwa Sababu tofauti , one this baby has no business being on Instagram crying for money. Atakuja kuwa mkubwa then Watu watamwonyesha hizi video..... Ukiwa Na issue Na mwanaume unaweza kumdhalilisha Kwa njia nyingi mnoooooo bila kumwanika mtoto hivi. Ila somehow naelewa wanaume wanauzi sana unaweza jikuta unafanya hivi Kwa hasira ila kuna njia nyingi mama unaweza kumkomesha mwanaume asiekusaidia malezi especially Kama ni Mbunge.
Hata yeye tu angeweza kujirekodi akilia hivi kuwa hapewi matumizi na message ingefika vile vile........ .
Kama kuna kitu kimoja nilichojifunza kuzaa na mwanaume ambae siko nae ni kwamba usiongee lolote baya kuhusu baba wa mtoto mbele ya mtoto. It affects them. Acha mtoto ampende baba yake hata kama ni baba mbaya hata kama hakusaidii ila Jitahidi mtoto asijue haimsaidii kitu zaidi ya kumuumiza akiona wenzie wana baba zao yeye baba yake hataki kutuma hela.....
Kama vipi @faizaally_ Ongea openly sugu anakusaidia Au vipi how much etc then tutakusaidia kufikisha ujumbe mjengoni, na hata msaada wa kisheria Ili mtoto apate haki yake.
.
.
Ila pia tusimjudge sana Faiza hizi ni stress mtu unajikuta unafanya vitu Kama hivi. Especially ukiona mwanaume anauwezo ila hakusaidii. Cha Maana Faiza angeweka Wazi kabisa ni msaada gani anaoupata Kwa Sugu ili watu tumsaidie kupiga kelele. Maana hapa hatuelewi Je ni kwamba hatumi pesa kabisa au labda alituma Kidogo hazikutosha na kusuka nywele..... Ukiamua kuweka mambo wazi weka yote Wazi Ili watu waelewe na wakupe support....." Mange Kimambi
Hata yeye tu angeweza kujirekodi akilia hivi kuwa hapewi matumizi na message ingefika vile vile........ .
Kama kuna kitu kimoja nilichojifunza kuzaa na mwanaume ambae siko nae ni kwamba usiongee lolote baya kuhusu baba wa mtoto mbele ya mtoto. It affects them. Acha mtoto ampende baba yake hata kama ni baba mbaya hata kama hakusaidii ila Jitahidi mtoto asijue haimsaidii kitu zaidi ya kumuumiza akiona wenzie wana baba zao yeye baba yake hataki kutuma hela.....
Kama vipi @faizaally_ Ongea openly sugu anakusaidia Au vipi how much etc then tutakusaidia kufikisha ujumbe mjengoni, na hata msaada wa kisheria Ili mtoto apate haki yake.
.
.
Ila pia tusimjudge sana Faiza hizi ni stress mtu unajikuta unafanya vitu Kama hivi. Especially ukiona mwanaume anauwezo ila hakusaidii. Cha Maana Faiza angeweka Wazi kabisa ni msaada gani anaoupata Kwa Sugu ili watu tumsaidie kupiga kelele. Maana hapa hatuelewi Je ni kwamba hatumi pesa kabisa au labda alituma Kidogo hazikutosha na kusuka nywele..... Ukiamua kuweka mambo wazi weka yote Wazi Ili watu waelewe na wakupe support....." Mange Kimambi
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Ubandue wa Wenzio tuu, Wako Asibanduliwe? Haipo Hiyo Jamaa!
Ubandue wa Wenzio tuu, Wako Asibanduliwe? Haipo Hiyo Jamaa!
Ukitaka kula lazma uliwe, wanaokubali waseme ndio wasiokubali waseme sio.... 10:05SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Naenda Bao Moja tu, Halafu Siwezi Sirudii Tena, Nifanyaje?
Naenda Bao Moja tu, Halafu Siwezi Sirudii Tena, Nifanyaje?
Nikikutana na Malkia Elizabeth kunako sita kwa sita huwa naenda bao moja tu! Sirudii tena nini tatizo? na nifanyeje ili niendege ba... 10:04SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Serikali ya Eritrea yatoa Amri Kila Mwanaume Kuoa Wake Wawili
Serikali ya Eritrea yatoa Amri Kila Mwanaume Kuoa Wake Wawili
Wanawake wa Kieritrea Huko nchini Eritrea, serikali imetoa tangazo kuwa, LAZIMA KILA MWANAUME, AOE MKE WA PILI . Hali hii imejit... 10:03SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
CUF Kufanya Maandamano Kesho Licha ya Jesho la Polisi Kupinga....
CUF Kufanya Maandamano Kesho Licha ya Jesho la Polisi Kupinga....
VIJANA wa Chama cha Wananchi kupitia jumuiya yao (JUVI-CUF) wameweka msimamo kuwa ‘iwe iwavyo’ watafanya maandamano kesho visiwani ... 10:02SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Subscribe to:
Posts (Atom)