Wakati
sakata la mastaa kupiga picha za chafu likiwa bado halijaondoka
vichwani mwa watu, gazeti la Ijumaa limenasa picha nyingine
zinazomwonesha binti aliyetajwa kwa jina moja la Tuma akiwa mtupu ambaye
January 16, 2014
LAANA..MTOTO WA KIGOGO ATUPIA PICHA ZA UTUPU MTANDAONI..JIONEE MWENYEWE HAPA
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
YAFAHAMU MATATIZO YA KUPIGA PICHA ZA UCHI UKIWA NA MPENZI WAKO FARAGHA...soma zaidi
YAFAHAMU MATATIZO YA KUPIGA PICHA ZA UCHI UKIWA NA MPENZI WAKO FARAGHA...soma zaidi
Baada ya kusoma na kuangalia baadhi ya blogs zinazoonesha udhalilishaji wa Dada zetu Hapa Tanzania, nikaona bo... 20:48
Baada
ya kusoma na kuangalia baadhi ya blogs zinazoonesha udhalilishaji wa
Dada zetu Hapa Tanzania, nikaona bora na mimi nioe somo kidogo,
Somo
langu si kubwa sana lakini ni la Muhimu
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
KWELI MASANJA MKANDAMIZAJI NI MBUNIFUU...!! SOMA HABARI HII KUJUA UBUNIFU WAKE
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
"UHUSIANO WA KIMAPENZI BILA NGONO NI KUONGOPEANA" ...!!MMMHHH MDAU TOA MAONI YAKO HAPA...
"UHUSIANO WA KIMAPENZI BILA NGONO NI KUONGOPEANA" ...!!MMMHHH MDAU TOA MAONI YAKO HAPA...
Muigizaji Tope Osoba wa Nigeria, amekataa kuwa na mahusiano bila ya kukutana kimwili, na kufunguka kwamba anashanga... 20:42SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
""NATAFUTA MCHUMBA WA KUNIOA"" HAYA SASA WADAU CHANGAMKENI HAPA
""NATAFUTA MCHUMBA WA KUNIOA"" HAYA SASA WADAU CHANGAMKENI HAPA
Mimi ni Msichana wa Miaka 28 , Niko Dar kwa Sasa ila Nimeishi Nje ya Nchi kwa Muda mrefu kwa sasa Nimeamua kurudi Ta... 20:38
Mimi
ni Msichana wa Miaka 28 , Niko Dar kwa Sasa ila Nimeishi Nje ya Nchi
kwa Muda mrefu kwa sasa Nimeamua kurudi Tanzania Kutafuta Maisha na
Kuolewa Huku Kama Mungu Akijalia ..Nipo Series
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
NOMAAA..!!!AUNT ZEKIEL APIGANA UKUMBINI NA MWANAMKE ALIYEWAHI KUGOMBEA NAE BWANA...SOMA HAPA KUJUA
NOMAAA..!!!AUNT ZEKIEL APIGANA UKUMBINI NA MWANAMKE ALIYEWAHI KUGOMBEA NAE BWANA...SOMA HAPA KUJUA
Aunt Ezekiel STAA wa sinema Bongo, Aunt Ezekiel amejikuta akizichapa na mwanamke aitwaye Sarah Mwakapala ambaye miak... 20:37Aunt Ezekiel |
STAA wa sinema Bongo, Aunt Ezekiel amejikuta akizichapa na mwanamke
aitwaye Sarah Mwakapala ambaye miaka mitano iliyopita waliwahi kugombea
penzi la mwanaume anayejulikana kwa jina la Mwilu Mwilola ‘Silva’.
Tukio la ugomvi huo lilichukuwa nafasi juzi katika Ukumbi wa Letasi Lounge uliopo Victoria jijini Dar ambapo kulikuwa na sherehe ya kuzaliwa ya rafiki yao aliyetambulika kwa jina la Jamila.
Ilielezwa kuwa, wakati sherehe ikiendelea, Sarah alisimama na kwenda mahali alipokaa Aunt na kuanza kumfanyia fujo huku wageni waalikwa wakishindwa kujua chanzo.
Chanzo kilichoshuhudia sekeseke hilo kilibainisha kuwa, Aunt alionekana kujishusha akimwomba Sarah kuacha mambo ya ugomvi, lakini Sarah hakukubali ndipo mtiti ulipozidi kuwa mkubwa na kusababisha wavuane mawigi yao yaliyokuwa yamewapendeza.
“Ghafla tulishangaa Sarah anainuka na kwenda kumvamia mwenzake pasipo kujua nini chanzo. Sijui wenyewe bado wana mabifu yale ya kipindi kile au vipi!” kilisema chanzo hicho.
Hata hivyo, mdau maarufu wa mastaa wa Kibongo, Nice Chande ambaye alikuwa karibu na Aunt, aliingilia ugomvi huo na kutuliza hali ya hewa kwa kumdhibiti Sarah.
“Unajua kuna watu hawajifunzi kwa wenzao kuhusiana na vifo vya siku hizi, we unakuja kumfanyia fujo mwenzako, mnapigana bila sababu yoyote. Je, ghafla mwenzio siku zake za kuishi kumbe zimeisha unapata kesi la ajabu, unaanza kujilaumu,” alisema Nice.
Baada ya hali ya hewa kutulia, paparazi wetu alimfuata Sarah kutaka kujua kulikoni amuanzishie fujo mwenzake, hakuweza kujibu chochote huku akiingia kwenye gari na kukimbilia Kituo cha Polisi Oysterbay kufungua kesi.
Taarifa zilizopatikana baadaye wakati gazeti hili linakwenda mitamboni zinadai kuwa, Aunt naye alikimbilia polisi na kukuta Sarah ameshafungua malalamiko lakini waliyamaliza palepale kituoni na msala ukaishia hapo.
Tukio la ugomvi huo lilichukuwa nafasi juzi katika Ukumbi wa Letasi Lounge uliopo Victoria jijini Dar ambapo kulikuwa na sherehe ya kuzaliwa ya rafiki yao aliyetambulika kwa jina la Jamila.
Ilielezwa kuwa, wakati sherehe ikiendelea, Sarah alisimama na kwenda mahali alipokaa Aunt na kuanza kumfanyia fujo huku wageni waalikwa wakishindwa kujua chanzo.
Chanzo kilichoshuhudia sekeseke hilo kilibainisha kuwa, Aunt alionekana kujishusha akimwomba Sarah kuacha mambo ya ugomvi, lakini Sarah hakukubali ndipo mtiti ulipozidi kuwa mkubwa na kusababisha wavuane mawigi yao yaliyokuwa yamewapendeza.
“Ghafla tulishangaa Sarah anainuka na kwenda kumvamia mwenzake pasipo kujua nini chanzo. Sijui wenyewe bado wana mabifu yale ya kipindi kile au vipi!” kilisema chanzo hicho.
Hata hivyo, mdau maarufu wa mastaa wa Kibongo, Nice Chande ambaye alikuwa karibu na Aunt, aliingilia ugomvi huo na kutuliza hali ya hewa kwa kumdhibiti Sarah.
“Unajua kuna watu hawajifunzi kwa wenzao kuhusiana na vifo vya siku hizi, we unakuja kumfanyia fujo mwenzako, mnapigana bila sababu yoyote. Je, ghafla mwenzio siku zake za kuishi kumbe zimeisha unapata kesi la ajabu, unaanza kujilaumu,” alisema Nice.
Baada ya hali ya hewa kutulia, paparazi wetu alimfuata Sarah kutaka kujua kulikoni amuanzishie fujo mwenzake, hakuweza kujibu chochote huku akiingia kwenye gari na kukimbilia Kituo cha Polisi Oysterbay kufungua kesi.
Taarifa zilizopatikana baadaye wakati gazeti hili linakwenda mitamboni zinadai kuwa, Aunt naye alikimbilia polisi na kukuta Sarah ameshafungua malalamiko lakini waliyamaliza palepale kituoni na msala ukaishia hapo.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
KUWA MAKINI...!!!JE WAJUA MAPENZI YA KWENYE SIMU SI LOLOTE WALA SI CHOCHOTE??? SOMA HAPA
KUWA MAKINI...!!!JE WAJUA MAPENZI YA KWENYE SIMU SI LOLOTE WALA SI CHOCHOTE??? SOMA HAPA
MAPENZI yanachukua nafasi kubwa sana katika maisha yetu lakini mapenzi hayahaya yanafikia hatua tya kuwad... 20:36SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
TUNDU LISSU AMTETEA MBOWE KUTOKANA NA KASHFA YA UZINZI ALIYOKUWA NAYO MBOWE...SOMA ZAIDI HAPA
TUNDU LISSU AMTETEA MBOWE KUTOKANA NA KASHFA YA UZINZI ALIYOKUWA NAYO MBOWE...SOMA ZAIDI HAPA
Mwanasheria Mkuu wa Chadema, Tundu Lissu. KATIKA kile kinachoonekana kama kumsafisha Mwenyekiti wa Taifa wa Chama Cha... 16:29Mwanasheria Mkuu wa Chadema, Tundu Lissu. |
KATIKA kile kinachoonekana kama kumsafisha Mwenyekiti wa Taifa wa
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Freeman Mbowe dhidi ya
kashfa ya uzinzi inayomuandama, Mwanasheria Mkuu wa chama hicho, Tundu
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
ARUSHA HAPAKALIKI..!!! BODABODA WAANDAMANA...WANAJESHI NA POLISI WASAMBAZWA KILA MAHALI
ARUSHA HAPAKALIKI..!!! BODABODA WAANDAMANA...WANAJESHI NA POLISI WASAMBAZWA KILA MAHALI
WAENDESHA BODABODA JIJINI ARUSHA WAAMUA KUFANYA MAANDAMANO KUTOKANA NA KUZUIWA KUEGESHA PIKIPIKI ZAO KATIKATI YA JIJI. 13:37WAENDESHA BODABODA JIJINI ARUSHA WAAMUA KUFANYA MAANDAMANO KUTOKANA NA KUZUIWA KUEGESHA PIKIPIKI ZAO KATIKATI YA JIJI. |
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
ALICHOKISEMA B12 JUU YA YEYE KUSIMAMISHWA KAZI CLOUDS MEDIA GROUP ... SOMA HAPA
ALICHOKISEMA B12 JUU YA YEYE KUSIMAMISHWA KAZI CLOUDS MEDIA GROUP ... SOMA HAPA
Hamis Mandi aka B12 mkali wa pindi la XXL ni miongoni kati ya watangazaji wa Clouds walio subirishwa kazi ya utangazaji kutokana na ... 13:34SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MZEE CHILO AWASEMA WASANII WASIOPENDA KUSHIRIKI KWENYE MATATIZO YA WENGINE ... WASANII GANI SOMA HAPA
MZEE CHILO AWASEMA WASANII WASIOPENDA KUSHIRIKI KWENYE MATATIZO YA WENGINE ... WASANII GANI SOMA HAPA
MSANII mkongwe katika tasnia ya filamu Bongo, Ahmed Ollotu ‘Mzee Chilo’ amewatolea uvivu wasanii wasiopenda kushirikiana na w... 13:33SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MASKINI RICH MAVOKO APATA PIGO .... SOMA HAPA
MASKINI RICH MAVOKO APATA PIGO .... SOMA HAPA
January 15 Rich Mavoko kupitia ukurasa wake wa instagram ametoa taarifa za kusikitisha na marafiki zake wengi wameanza kumpa po... 13:32January 15 Rich Mavoko kupitia ukurasa wake wa instagram ametoa taarifa za kusikitisha na marafiki zake wengi wameanza kumpa pole kupitia mtandao huo.
Rich Mavoko ameandika
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
BAADA YA B12 NA ADAMU MCHOMVU KUTIMULIWA CLOUDS KIJANA HUYU NDIO AMESHIKA MIKOBA YAO ... MFAHAMU
BAADA YA B12 NA ADAMU MCHOMVU KUTIMULIWA CLOUDS KIJANA HUYU NDIO AMESHIKA MIKOBA YAO ... MFAHAMU
Raymond Mshana (25), mzaliwa wa Same, Kilimanjaro. HIVI karibuni, watangazaji nyota waliojizolea umaarufu mkubwa Bongo kupitia Redio... 13:30HIVI karibuni, watangazaji nyota waliojizolea umaarufu mkubwa Bongo kupitia Redio Clouds FM, wakitangaza kipindi cha XXL, Hamisi Mandi ‘B12’ na Adam Mchomvu ‘Baba John’ walisimamishwa kazi kituoni hapo kwa muda usiojulikana.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Hadithi .... The Holly Sin - 10
Hadithi .... The Holly Sin - 10
ILIPOISHIA: GHAFLA aliona kitu kwenye siti ya nyuma kilichomshangaza sana. Akiwa ni kama haamini, alisogea taratibu huku akikichunguz... 13:27GHAFLA aliona kitu kwenye siti ya nyuma kilichomshangaza sana. Akiwa ni kama haamini, alisogea taratibu huku akikichunguza vizuri kitu hicho. Ilikuwa ni nguo ya ndani, tena ya kike ikiwa kwenye siti ya nyuma ya gari hilo la baba yake. Alipoichunguza vizuri, aligundua kuwa ilikuwa imechanwachanwa, akazidi kujiuliza maswali yaliyokosa majibu.
“Mungu wangu? Kwani nini kimetokea? Mbona sielewielewi?”
SASA ENDELEA…
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Subscribe to:
Posts (Atom)