February 10, 2014
JE NI SAHIHI KUMUOA X-GIRFRIEND WA RAFIKI YAKO WA KARIBU??
JE NI SAHIHI KUMUOA X-GIRFRIEND WA RAFIKI YAKO WA KARIBU??
Nilitokea kumpenda sana binti mmoja lakini sikuwa na uwezo wa kuingia kwenye uhusiano naye kipindi hicho na najua alijua kuwa na... 16:56SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MFAHAMU MSANII WA BONGO BEN POL
MFAHAMU MSANII WA BONGO BEN POL
Benard Michael Paul Mnyang’anga au unaweza kumuita ben pol alizaliwa september 8, mwaka 1989. Kwasasa ben pol ndiyo mfalme wa muziki wa 16:56SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
BABY MADAH AHUSISHA UCHAWI KUPIGWA CHINI RECORD LABEL YAKE "CANDY CANDY"
BABY MADAH AHUSISHA UCHAWI KUPIGWA CHINI RECORD LABEL YAKE "CANDY CANDY"
Mwanamuziki na muigizaji baby Joseph madaha amefunguka na kusema kuwa kweli ameamini uchawi na kupigana juju vipo kwenye gemu kw... 16:27SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
JE WAMFAHAMU VIZURI KING MAJUTO?? SOMA HAPA KUJUA MAMBO MENGI KUHUSU KING MAJUTO NA IDADI YA MOVIE ALIZOCHEZA
Amri Athuman’ King Majuto’ alizaliwa mwaka 1948 jijini Tanga na kusoma shule Msambwini, Tanga, alianza kuigiza 1958 akiwa na umri wa miaka 9 akiigiza katika majukwaa Mzee Majuto maarufu kama King Majato ni mtunzi, muigizaji,mwandishi wa mswada.
Na ndiye muigizaji wa kwanza kuandaa kazi zake katika mikanda na kuuza akiwa na Tanzania Film Company ( TFC) Kwa sasa King Majuto ni mwigizaji mwenye mashabiki wengi kutokana maonyesho mbalimbali, vichekesho vyake aliyoshiriki nchi mbalimbali.
BONYEZA HAPA KU LIKE PAGE YETU
NA HIZI NDIZO MOVIE ALIZOCHEZA KING MAJUTO, PIA UNAWEZA KUBONYEZA KILA JINA LA MOVIE NA UKANUNUA ONLINE.
- Ndoa ya Utata |
- Daladala |
- Nimekuchoka |
- Mbegu |
- Zebra |
- Shikamoo Mzee |
- Tabia |
- Utani |
- Tikisa |
- Trouble Maker |
- Gundu |
- Kizungunguzu |
- Shoe Shine |
- Street Girl |
- Faithful |
- Mtego wa Panya |
- Boss |
- Back with Tears |
- Sikukuu ya Wajinga |
- Nyumba Nne |
- Chips Kuku |
- Kitu Bomba |
- Ndoto ya Tamaa |
- Lakuchumpa |
- ATM |
- Bishoo |
- Tupo Wangapi |
- Moto Bati |
- Varangati |
- Out Side |
- Pusi na Paku |
- Juu kwa Juu |
- Swagger |
- Oh Mama |
- Jazba |
- Mke wa Mtu Sumu |
- Mbugila |
- Kidumu |
- Mkali Mo |
- Mpela Mpela |
- Utanibeba |
- Babatan |
- Mjomba |
- Msela wa Manzese |
- Karaha |
- Mpango Sio Matumizi |
- Mume Bwege |
- Shuga Mammy |
- Embe Dodo |
- Nakwenda Kwa Mwanangu |
- Seaman |
- Naja Leo Naondoka Leo Tanga |
- Mgeni Njoo |
- Kuwadi |
- Kulipa Tabu |
- Uso wa Mbuzi |
- Machimbo |
- Fundi Feni |
- Mwizi wa Kuku |
- Mtu Mzima Hovyo |
- Vituko Show Vol. 10 |
- Bettery Low |
- Brothers |
- Alosto |
- Back from New York |
- Kipofu |
- Koziman Vol 21 |
- After Money |
- Talaka Yangu |
- Gereji |
- Welcome Back |
- Mshamba |
- Pedeshee |
- Waiter |
- Inye Plus |
- Inye Gwedegwede |
- Inye Vol.1 |
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
SAMUEL ETOO PICHA ZA MAGARI YAKE YA KIFAHARI
SAMUEL ETOO PICHA ZA MAGARI YAKE YA KIFAHARI
Huyu ni Mka Cameroon anayesakata Kabumbu la kulipwa huko barani Ulaya, kwa sasa anaichezea Timu ya Chelsea, Pia Samuel ni mch... 16:23SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
AGNESS MASOGANGE NA LINEX MJEDA ETI NI WAPENZI???
AGNESS MASOGANGE NA LINEX MJEDA ETI NI WAPENZI???
Hii ni Picha ya Jana Usiku walivyokuwa wamejiachina ndani ya Gymkhana Kwenye Viwanja Vya Gymkhana na Leo Wamemaliza Kila Kitu Baada 11:43
Hii ni Picha ya Jana Usiku walivyokuwa wamejiachina ndani ya Gymkhana Kwenye Viwanja Vya Gymkhana na Leo Wamemaliza Kila Kitu Baada
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
WEMA SEPETU AWASHANGAA WANAO MPONDA JOKATE..
WEMA SEPETU AWASHANGAA WANAO MPONDA JOKATE..
Mwigizaji Wema Sepetu, amewashangaa wanaomponda Jokate Mwegelo kwa kumaliza tofauti baina yao akisema kuwa hawatendi haki na wanaingilia 11:34SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
BABY MADAHA AKIRI UCHAWI UPO BAADA YA KUPIGWA JUJU NA KUSINGIZIWA KUJIUZA
BABY MADAHA AKIRI UCHAWI UPO BAADA YA KUPIGWA JUJU NA KUSINGIZIWA KUJIUZA
Mwanamuziki na muigizaji baby Joseph madaha amefunguka na kusema kuwa kweli ameamini uchawi na kupigana juju vipo kwenye gemu kwani mam... 11:34
Mwanamuziki na muigizaji baby Joseph madaha amefunguka na kusema kuwa kweli ameamini uchawi na kupigana juju vipo kwenye gemu kwani mambo yaliyomtokea hivi karibuni haelewi hata imekauje.
Chanzo nini?
Hapo siku za nyuma baby Madaha alipatikana na dhahama ya kukumbwa na kashfa nzito sana ya kujiuza kwa dau la milioni kumi kwa jamaa mmoja hivi mitaa ya Dar es Salaam Jambo lilolopelekea yeye kupigwa chini na Record label yake ya Candy and Candy ya huko Kenya na kupokonywa gari aina ya AUDI TT aliyokuwa akitembelea huku akiharibu pia uhusiano wake na bosi wa record label hiyo - Joe kairuki ambaye pia anadaiwa kuwa mpenzi wake.
Je ni Kweli alijiuza?
Baby Madaha ambaye amerudi nchini hivi karibuni tokea Nairobi alipoenda “ku-solve” ishu yake hiyo na label hiyo anasema yani hata haelewi kitu gani kilitokea siku hiyo ingawa mpaka akaandikwa kama alienda kujiuza, anachokumbuka ni kupigiwa simu na mtu asiyemfahamu an kumwambia anataka wafanye naye kazi ya kusambaza filamu yake mpya ya Gal Bladder ambaye inatikisa soko kwa sasa.
Baada ya kufika hapo waliongea vizuri na kuondoka ghafla kabla ya kuja kusoma kesho yake kuwa alikuwa anajiuza kitu ambacho ansema hajui kimetoka wapi.
“Yani hata sielewi ilikuaje nikaenda kukutana na yule jamaa, ilikuwa ni kama muujiza hivi, mwanzo nilisita sana ila nikashangaa nimefika tu pale bila kujielewa, ni vitu vya ajabu sana” alieleza baby Madaha.
Uhusiano wake na Label hiyo ukoje sasa?
Akizungumza na bongomovies, baby amesema kwa sasa kila kitu kipo sawa kwani alipoenda Kenya waliongea vizuri na bosi wake huyo na kumaliza tofauti zao na sasa amerudi nchini kusambaza filamu yake hiyo mpya ya Gal bladder huku akijiindaa kupiga show kwenye tour yake aliyoiandaa jina la Top Up and Refill itakayofanyika mwezi ujao wa tatu.
Mwenyewe anasemaje zaidi?
Hata wafanyaje, waniroge, wanichafue, i'm a bad gal, na sibabaishi na vijimaneno vya watu hata kidogo, sitoki candy and Candy hata waloge kwa waganga wote duniani. Kama walifikiri nimeumbuka, wajue watasubiri sana. Nikitoka kenya naenda Holywood tu!
Chanzo nini?
Hapo siku za nyuma baby Madaha alipatikana na dhahama ya kukumbwa na kashfa nzito sana ya kujiuza kwa dau la milioni kumi kwa jamaa mmoja hivi mitaa ya Dar es Salaam Jambo lilolopelekea yeye kupigwa chini na Record label yake ya Candy and Candy ya huko Kenya na kupokonywa gari aina ya AUDI TT aliyokuwa akitembelea huku akiharibu pia uhusiano wake na bosi wa record label hiyo - Joe kairuki ambaye pia anadaiwa kuwa mpenzi wake.
Je ni Kweli alijiuza?
Baby Madaha ambaye amerudi nchini hivi karibuni tokea Nairobi alipoenda “ku-solve” ishu yake hiyo na label hiyo anasema yani hata haelewi kitu gani kilitokea siku hiyo ingawa mpaka akaandikwa kama alienda kujiuza, anachokumbuka ni kupigiwa simu na mtu asiyemfahamu an kumwambia anataka wafanye naye kazi ya kusambaza filamu yake mpya ya Gal Bladder ambaye inatikisa soko kwa sasa.
Baada ya kufika hapo waliongea vizuri na kuondoka ghafla kabla ya kuja kusoma kesho yake kuwa alikuwa anajiuza kitu ambacho ansema hajui kimetoka wapi.
“Yani hata sielewi ilikuaje nikaenda kukutana na yule jamaa, ilikuwa ni kama muujiza hivi, mwanzo nilisita sana ila nikashangaa nimefika tu pale bila kujielewa, ni vitu vya ajabu sana” alieleza baby Madaha.
Uhusiano wake na Label hiyo ukoje sasa?
Akizungumza na bongomovies, baby amesema kwa sasa kila kitu kipo sawa kwani alipoenda Kenya waliongea vizuri na bosi wake huyo na kumaliza tofauti zao na sasa amerudi nchini kusambaza filamu yake hiyo mpya ya Gal bladder huku akijiindaa kupiga show kwenye tour yake aliyoiandaa jina la Top Up and Refill itakayofanyika mwezi ujao wa tatu.
Mwenyewe anasemaje zaidi?
Hata wafanyaje, waniroge, wanichafue, i'm a bad gal, na sibabaishi na vijimaneno vya watu hata kidogo, sitoki candy and Candy hata waloge kwa waganga wote duniani. Kama walifikiri nimeumbuka, wajue watasubiri sana. Nikitoka kenya naenda Holywood tu!
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
JOKATE AFICHUA SIRI YA KUPATANA NA WEMA
JOKATE AFICHUA SIRI YA KUPATANA NA WEMA
THE big boss wa Kidoti, Jokate Mwegelo ambaye pia ni staa wa sinema na Bongo Fleva, amefichua... 11:33SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
ROSE MUHANDO MBARONI DAR KISA? SOMA HAPA
ROSE MUHANDO MBARONI DAR KISA? SOMA HAPA
STAA wa nyimbo za Injili Bongo, Rose Muhando yamemkuta ya kumkuta ambapo Ijumaa iliyopita alishikiliwa na Polisi wa Kituo cha ... 09:57SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MAPENZI YA RAY NA CHUCHU HANS YAZIDI KUPAMBA MOTO
MAPENZI YA RAY NA CHUCHU HANS YAZIDI KUPAMBA MOTO
MAMBO hadharani! Penzi ‘hoti’ la mastaa mahiri wa filamu za Kibongo, Chuchu Hans na Vincent Kigosi ‘Ray’ kwa sasa limekuwa kama la n... 09:56
MAMBO hadharani! Penzi ‘hoti’ la mastaa mahiri wa filamu za Kibongo, Chuchu Hans na Vincent Kigosi ‘Ray’ kwa sasa limekuwa kama la njiwa
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MASTAA WA BONGO WASHEREKEA AROBAINI YA MTOTO WA ROSE NDAUKA
MASTAA WA BONGO WASHEREKEA AROBAINI YA MTOTO WA ROSE NDAUKA
Mtoto wa star mkubwa wa filamu nchini Rose Ndauka alitimiza arobaini tangu azaliwe. Mtoto huyo anaitwa Naveen na baba yake 09:55
Mtoto wa star mkubwa wa filamu nchini Rose Ndauka alitimiza arobaini tangu azaliwe. Mtoto huyo anaitwa Naveen na baba yake
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
FAHAMU HISTORIA YA MASANJA MKANDAMIZAJI
FAHAMU HISTORIA YA MASANJA MKANDAMIZAJI
Kwa wapenzi wa sanaa ya vichekesho, jina la Masanja Mkandamizaji si geni masikioni mwao kutokana na uwezo wake wa kuwavunja mbavu 09:50Kwa wapenzi wa sanaa ya vichekesho, jina la Masanja Mkandamizaji si geni masikioni mwao kutokana na uwezo wake wa kuwavunja mbavu
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MATOKEO WALIOFUDHU KUINGIA MAISHA PLUS
MATOKEO WALIOFUDHU KUINGIA MAISHA PLUS
Kutoka kushoto ni Afisa Mtendaji wa Kampuni ya DMB ambao ni wamiliki wa Maisha Plus Masoud Ally (Kipanya) , 09:48SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
AMRUSHA MPENZI WAKE BAADA YA FUMANIZI
AMRUSHA MPENZI WAKE BAADA YA FUMANIZI
Mzee mmoja mwenye hasira kali, Deji Kamoru, amejikuta akitiwa mbaroni baada ya kumfuma binti yake Aishat 09:45SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
UZURI KUPITA KIASI WAMPONZA MREMBO KUGOMBEA UONGOZI UCHAGUZI....!
UZURI KUPITA KIASI WAMPONZA MREMBO KUGOMBEA UONGOZI UCHAGUZI....!
Msichana mrembo kutoka Iran amejikuta akikosa nafasi ya uongozi katika halmashauri ya jiji lake kwa kuambiwa kuwa yeye ni mzuri sana h... 08:31SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Subscribe to:
Posts (Atom)