August 17, 2016

PICHA ZA WATOTO WA MASTAA WA BONGO

Kila mtoto anapozaliwa huanza kumuangalia mzazi wake kama ni role model wake, lakini baadaye wengi huanza kubadili mawazo yao. Mastaa... thumbnail 1 summary

Kila mtoto anapozaliwa huanza kumuangalia mzazi wake kama ni role model wake, lakini baadaye wengi huanza kubadili mawazo yao.
Mastaa wa Bongo wameanza kuwatengenezea mazingira watoto wao ya kutembelea nyota za wazazi wao ili watengeneze hela kuanzia sasa mpaka hapo baadaye.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Kundi la Original Comedy Matatani Kwa Kuvaa Sare za Jeshi la Polisi Kwenye Sherehe ya Masanja Mkandamizaji

katika siku za hivi karibuni, kumejitokeza tabia kwa baadhi ya watu wakiwemo wasanii watu wengine mmoja mmoja kutumia mavazi yanayofana... thumbnail 1 summary
katika siku za hivi karibuni, kumejitokeza tabia kwa baadhi ya watu wakiwemo wasanii watu wengine mmoja mmoja kutumia mavazi yanayofanana na sare za Majeshi ya Ulinzi na usalama hapa nchini likiwemo Jeshi la Polisi katika shughuli zao za kisanii au katika kazi mbalimbali,

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Marufuku kutumia mafuta ya Transfoma kukaangia Chipsi - Profesa Muhongo

Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo amepiga marufuku matumizi ya mafuta ya transfoma kwa ajili ya kukaangia chips na kut... thumbnail 1 summary
Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo amepiga marufuku matumizi ya mafuta ya transfoma kwa ajili ya kukaangia chips na kutengeneza mikorogo.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Mradi wa kuwaandikia watu nyimbo unanifanya niishi bila stress – Linex

Msanii wa muziki, Linex Sunday Mteja amesema mradi wake wa kuwaandikia watu nyimbo ndiyo mradi pekee kwenye muziki wake ambao unampatia pes... thumbnail 1 summary
Msanii wa muziki, Linex Sunday Mteja amesema mradi wake wa kuwaandikia watu nyimbo ndiyo mradi pekee kwenye muziki wake ambao unampatia pesa za uhakika.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Manji ajiuzulu Yanga, asitisha mpango wa kuikodi

Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji ametangaza kujiuzulu kwenye nafasi yake hiyo ndani ya klabu hiyo Maamuzi hayo ya kushtukiza ya mwenyekit... thumbnail 1 summary
Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji ametangaza kujiuzulu kwenye nafasi yake hiyo ndani ya klabu hiyo
Maamuzi hayo ya kushtukiza ya mwenyekiti huyo yamekuja ikiwa ni siku

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Mzee Yusuf kuwekeza kwenye kilimo na ufugaji baada ya kuachana na muziki

Baada ya hivi karibuni Mzee Yusuf kutangaza kuachana na kufanya muziki, ameweka wazi kuwa kilimo na ufugaji ndiyo kimbilio lake. thumbnail 1 summary
Baada ya hivi karibuni Mzee Yusuf kutangaza kuachana na kufanya muziki, ameweka wazi kuwa kilimo na ufugaji ndiyo kimbilio lake.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Harmonize: Nivae dela ndio mseme simkopi Diamond?

Shutuma kuwa amekuwa akimuiga bosi wake Diamond, zimemchosha Harmonize na sasa ameamua kujibu. Baada ya video ya wimbo Inde alioshirikish... thumbnail 1 summary
Shutuma kuwa amekuwa akimuiga bosi wake Diamond, zimemchosha Harmonize na sasa ameamua kujibu.
Baada ya video ya wimbo Inde alioshirikishwa na Dully Sykes kutoka, mashabiki ndio wamezidi kuendelea kusisitiza kuwa msanii huyo anamuiga kwa kiasi kikubwa Diamond.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Nay wa Mitego adai Mr Ttouch anamchukulia kama mtoto aliyefikia umri wa kuondoka nyumbani

Rapper Nay wa Mitego amefunguka na kuzungumza madai ya kugombana na kuachana na mtayarishaji wake mahiri wa studio yake ya Free Nation, Mr ... thumbnail 1 summary
Rapper Nay wa Mitego amefunguka na kuzungumza madai ya kugombana na kuachana na mtayarishaji wake mahiri wa studio yake ya Free Nation, Mr Ttouch.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Justin Beiber’s and Selena Gomez Instagram feud

All apologetic songs dedicated to his ex Selena seem to be pointless after all. Justin Bieber feud with Selena only because of a Girl! ... thumbnail 1 summary
All apologetic songs dedicated to his ex Selena seem to be pointless after all.
Justin Bieber feud with Selena only because of a Girl! Sofia Richie who is

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Nimeshakuwa sasa, kiukweli nina kiu ya mume – Johari

Msanii wa filamu, Johari Chagula amefunguka kwa kusema kuwa kwa sasa ana kiu yakumpata mume sahihi ambaye ataingia naye kwenye maisha ya ... thumbnail 1 summary
Msanii wa filamu, Johari Chagula amefunguka kwa kusema kuwa kwa sasa ana kiu yakumpata mume sahihi ambaye ataingia naye kwenye maisha ya ndoa.
Johari

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Ni muda wa kuisubiri P-Square mpya

Hatimaye maombi na dua za mashabiki wa kundi la P-Square yamekamilika baada ya ujumbe wa Paul Okoye kuonyesha kurudi upya kwa kundi hilo. thumbnail 1 summary
Hatimaye maombi na dua za mashabiki wa kundi la P-Square yamekamilika baada ya ujumbe wa Paul Okoye kuonyesha kurudi upya kwa kundi hilo.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

ONGEZA UREMBO WA NGOZI KWA KUTUMIA CHUMVI

\ Je, unafahamu kuwa chumvi inaweza kutumika kama scrub na kukuacha ukiwa na ngozi nyororo na ya kuvutia? thumbnail 1 summary
\Je, unafahamu kuwa chumvi inaweza kutumika kama scrub na kukuacha ukiwa na ngozi nyororo na ya kuvutia?

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Dully Sykes adai awali alipanga kumshirikisha Diamond kwenye Inde

Dully Sykes amedai kuwa awali alipanga kumshirikisha Diamond kwenye wimbo wake Inde aliofanya na msanii wa WCB, Harmonize. thumbnail 1 summary
Dully Sykes amedai kuwa awali alipanga kumshirikisha Diamond kwenye wimbo wake Inde aliofanya na msanii wa WCB, Harmonize.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Obama kukamilisha ahadi ya kulifunga gereza la Guantanamo Bay

Marekani imetangaza kuwahamisha wafungwa 15 waliokuwa kwenye gereza la Guantanamo Bay nchini Cuba na kupelekwa Emirates. thumbnail 1 summary
Marekani imetangaza kuwahamisha wafungwa 15 waliokuwa kwenye gereza la Guantanamo Bay nchini Cuba na kupelekwa Emirates.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Wizkid kutumbuiza kwenye Fiesta ya Mwanza Jumamosi hii

Staa wa Nigeria, Wizkid, amethibitishwa kuwa atatumbuiza kwenye show ya Fiesta, Mwanza mwishoni mwa wiki hii. Clouds FM wamethibitisha ... thumbnail 1 summary
Staa wa Nigeria, Wizkid, amethibitishwa kuwa atatumbuiza kwenye show ya Fiesta, Mwanza mwishoni mwa wiki hii.
Clouds FM wamethibitisha kumdondosha hitmaker huyo wa ‘Shabba’ Jumamosi, August 20.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

RAFIKI WA KIKE WA MCHUMBA WANGU ANA SHIDA..JE NIMSAIDIE?

Waadau habari za wkend.... jana meshindwa kumjibu mdada ambae ni rafiki wa karibu na girlfriend wangu,alinipigia simu na kuniomba nimsa... thumbnail 1 summary
Waadau habari za wkend....
jana meshindwa kumjibu mdada ambae ni rafiki wa karibu na girlfriend wangu,alinipigia simu na kuniomba nimsaidie kiasi flani cha fedha amtoe kuna rafiki yake yupo polisi.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Hizi ni nyimbo za mastaa wakubwa zilizoandikwa na Drake

Drake ni mmoja kati ya rapper wenye uwezo mkubwa duniani japo mara kadhaa baadhi ya wasanii wenzake wamekuwa wakimkejeli kwa madai kuwa h... thumbnail 1 summary
Drake ni mmoja kati ya rapper wenye uwezo mkubwa duniani japo mara kadhaa baadhi ya wasanii wenzake wamekuwa wakimkejeli kwa madai kuwa hawezi kuandika mashairi

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Lukas Podolski atangaza kustaafu kuichezea timu ya taifa Ujerumani

Mshambuliaji wa timu ya Taifa ya Ujerumani na klabu ya Galatasaray Lukas Podolski ametangaza rasmi kustaafu kuichezea timu yake ya taifa. thumbnail 1 summary
Mshambuliaji wa timu ya Taifa ya Ujerumani na klabu ya Galatasaray Lukas Podolski ametangaza rasmi kustaafu kuichezea timu yake ya taifa.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Madada wa The Kardashians wakanusha kauli ya The Game kuwa ‘alipita’ na 3 kati yao

Madada wa The Kardashians wanadai kuwa rapper The Game anadanganya anaposema kuwa amewahi kulala na watatu kati yao kwenye wimbo wake mpya,... thumbnail 1 summary
Madada wa The Kardashians wanadai kuwa rapper The Game anadanganya anaposema kuwa amewahi kulala na watatu kati yao kwenye wimbo wake mpya, Sauce.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW: