Stori ninayotaka kukusogezea ni hii kutokea Afrika Kusini ambapo kundi la Mafikizolo wameingia location kushoot video mpya ya single yao waliyomshirikisha Diamond Platnumz.
Dj Arch Jnr ndiye Dj mdogo mwenye umri wa miaka mitatu ambaye makazi yake yapoAfrika Kusini kipaji chake kinawashangasha watu wengi kwa kucheza muziki wa aina tofauti akiwa kama DJ.