December 09, 2013

MAMBO 4 MUHIMU BAADA YA TENDO LA NDOA

Namshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunijaalia siha njema na pia kwa kunipa mwangaza wa kuandika hiki ninachokusudia. Pia niwashukuru wapenzi wa... thumbnail 1 summary

Namshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunijaalia siha njema na pia kwa kunipa mwangaza wa kuandika hiki ninachokusudia.
Pia niwashukuru wapenzi wasomaji wa safu hii ambao tumekuwa tukiwasiliana na kushauriana hili na lile katika tasnia hii adhimu ya mapenzi. Nawakaribisha sana!

Labda kwa wale wasiofahamu niwaambie tu kwamba dhana ya mapenzi ni dhana yenye wigo mpana sana na ndiyo maana hutasikia hata siku moja tumepumzika kuizungumzia.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

WAKINADADA..fahamu jinsi ya kumtongoza mwanaume unayempenda......

WANAWAKE wakiwapenda wanaume hubaki na mateso mioyoni mwao. Hii ni kwa sababu ni vigumu kumtokea mwanaume moja kwa moja kumwaga se... thumbnail 1 summary

WANAWAKE wakiwapenda wanaume hubaki na mateso mioyoni mwao. Hii ni kwa sababu ni vigumu kumtokea mwanaume moja kwa moja kumwaga sera kuwa unataka ‘akung’oe’.

Ni kweli kwamba, hata kama mwanaume akimkubali mwanamke awe mpenzi wake baada ya kutokewa, imani yake huwa hafifu kuhusu penzi la kweli la mwanamke huyo. Anaweza kumtumia kwa siku kadhaa kisha akamwacha. Huo ndiyo ukweli.
Wanawake waliowahi kuwatokea wanaume wanaweza kuwa na ushahidi mzuri zaidi juu ya hilo. Pamoja na hayo yote, bado mwanamke anabaki kuwa binadamu, mwenye hisia za upendo na kutamani baadhi ya vitu.

Anaweza kumpenda mwanaume na ni haki yake ya msingi kabisa. Kuwa katika uhusiano na mtu unayempenda kwa dhati ni jambo zuri. Moyo huridhia na kuwa huru katika uhusiano huo.
Hapa katika Let’s Talk About Love tunakupa dondoo zitakazokusaidia kumsogeza mwanaume ambaye ameuteka moyo wako na hatimaye kuwa wako moja kwa moja. Katika vipengele vilivyotangulia nilieleza kuwa, kwanza mwanamke ni vyema ajitunze na aweke mwonekano wake wenye kuvutia muda wote halafu pia nikaeleza kuhusu kumvutia mwanaume kwa mambo mbalimbali hasa mavazi na mambo anayopendelea. Sasa tunawezakuendelea.                           
               
ASIWE KWENYE UHUSIANO
Jambo lingine la kuzingatia kwa mwanaume huyo wakati wa harakati za kumweka mikononi mwako ni kuhakikisha hayupo kwenye uhusiano na mtu mwingine. Kuna baadhi ya wanawake wapo tayari kuwa na mwanaume hata kama yupo na mpenzi mwingine; hilo ni kosa na naweza kusema ni umasikini wa kufikiri.
Kama kweli umempenda, itakuwa na maana kama utaweka makazi ya moyo wako kwake milele na siyo kwa muda mfupi tu.

JISOGEZE ZAIDI
Tayari umeshakuwa na uhakika kuwa hana mtu, sasa unatakiwa kujisogeza karibu yake. Jizoeshe kumsalimia mara kwa mara na kumsifia kuwa amependeza.
Kamwe usioneshe dalili kwamba wewe ni ‘maharage ya Mbeya’, ishia kwenye kujisogeza karibu yake kwa kumsifia na kufanya mambo mengine yanayofanana na hayo na siyo zaidi ya hapo.

JENGA URAFIKI
Ukaribu wenu sasa unaweza kuwafanya marafiki wa karibu. Kama uko naye ofisi moja au mnaishi mtaa/nyumba moja ni rahisi zaidi. Kuwa rafiki yake wa kweli mwenye kujadiliana naye mambo ya msingi.
Katika urafiki wenu, kamwe usiwe mzungumzaji sana (hasa wa mambo yasiyofaa), aidha usipende kukaa naye katika mazingira yenye vificho ambayo yataweza kusababisha kuingia kwenye mtego mbaya.

ZUNGUMZIA ZAIDI MAISHA
Kuzungumzia zaidi maisha na kumshauri juu ya mambo muhimu ya maisha, kutamfanya akuone wewe ni mwanamke makini mwenye malengo mazuri katika maisha yako. Wanaume wanapenda sana wanawake ambao vichwa vyao vinafanya kazi sawasawa.
Hii inaweza kuwa sababu itakayomfanya atamani kuwa karibu yako zaidi, jambo ambalo ndiyo shabaha ya moyo wako.

HAKUNA YEYE BILA WEWE
Kwa sababu tayari ni marafiki na mnashirikiana baadhi ya mambo, tengeneza mazingira ya kuwa naye karibu zaidi. Mshirikishe kwenye mambo yako, mfanye ajione si mkamilifu bila kuwa na wewe karibu.
Hili litawezekana kwa kuishika siku yake, kumtakia siku njema na kumjulia hali yake kazini na maendeleo yake kwa ujumla. Kwa kuwa ni marafiki, kwa ndani lazima hisia za mapenzi zitaibuka juu yako na utamuweka kwenye nafasi ya kufikiri kuanzisha uhusiano na wewe.

NI WAKO TU!
Ukipitia hatua zote, bila shaka mwanaume huyo ni wako tu. Ikiwa pamoja na vyote hivyo bado haonyeshi dalili au hajafunguka kuwa unamhitaji, basi mwache, siyo riziki yako. Kwa nini ung’ang’anie usipopendwa?

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

BABY MADAHA anusurika kubakwa na machokoraa wa mombasa...

STAA wa filamu na muziki Bongo, Baby Joseph Madaha ‘Baby Madaha’ amenusurika kubakwa na vijana wa kihuni nchini Kenya maarufu kama mac... thumbnail 1 summary

STAA wa filamu na muziki Bongo, Baby Joseph Madaha ‘Baby Madaha’ amenusurika kubakwa na vijana wa kihuni nchini Kenya maarufu kama machokoraa.
Baby Joseph Madaha ‘Baby Madaha’.
Tukio hilo lilitokea hivi karibuni pande za Mombasa nchini Kenya wakati

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Bale, Ronaldo vitani

Ronaldo akiwa katika picha ya pamoja na bale  Kwa ufupi Winga h... thumbnail 1 summary


Ronaldo akiwa katika picha ya pamoja na bale 

Kwa ufupi
  • Winga huyo wa Wales alianza kuonyesha makali yake katika Ligi ya Mabingwa tangu aliposajiliwa kwa pauni 76.4 milioni Septemba, Jumatano alifunga bao moja wakati Madrid ilipotoka sare 2-2 na Juventus na kuwahakikishia vigogo hao wa Hispania kucheza 16 bora.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

Kenya yaanza njama kwa Kili Stars

Uganda imeliachia Kombe la Chalenji baada ya kuchapwa kwa penalti 3-2 na Kilimanjaro Stars kwenye Uwanja wa Manispaa y... thumbnail 1 summary

Uganda imeliachia Kombe la Chalenji baada ya kuchapwa kwa penalti 3-2 na Kilimanjaro Stars kwenye Uwanja wa Manispaa ya Mombasa.

Kwa ufupi
Kenya itacheza na Tanzania kesho katika nusu fainali ya Chalenji kwenye Uwanja wa Kenyatta, Machakos. Mechi nyingine itachezwa mjini Mombasa

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

‘Hakuna mahali pa kukanyaga’ msibani S.Africa (Mandela)

Waombolezaji wakiwa nje ya makazi ya Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Nelson Mandela huko Houghton, Johannesburg, jana... thumbnail 1 summary

Waombolezaji wakiwa nje ya makazi ya Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Nelson Mandela huko Houghton, Johannesburg, jana. Picha na AFP. 

“Kweli tuna mengi ya kujifunza, inaonekana msiba huu wa Mzee Mandela umewaunganisha zaidi Waafrika Kusini, maana wote bila kujali rangi wala kingine chochote, wanaonekana kuomboleza kwa dhati kutoka mioyoni kabisa.”

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

EVERTON MAKE DRAW AGAINST ARSENAL 1-1

Substitute Gerard Deulofeu's late strike earned Everton a draw and denied Arsenal a seven-point lead at the top of the ... thumbnail 1 summary

Gerard Deulofeu scores for Everton
Substitute Gerard Deulofeu's late strike earned Everton a draw and denied Arsenal a seven-point lead at the top of the Premier League.
The 19-year-old smashed past Wojciech Szczesny from inside the box to cancel out Mesut Ozil's close-range finish.


Wenger encouraged by Everton draw
Everton's Tim Howard had earlier denied Aaron Ramsey and Olivier Giroud, before Szczesny thwarted Kevin Mirallas.
Giroud hit the bar in injury-time, but the point moves Arsenal five clear of Liverpool at the top of the table.
Everton manager Roberto Martinez, who was relegated with Wigan on his last visit to the Emirates, praised his side's "lack of fear" in recent matches and Deulofeu's late strike spoke volumes for the Blues' character as they remain the only side with one loss in the Premier League.
Arsenal, who have now led in 13 of their 15 league matches, will be frustrated to have squandered the advantage having battled to break down their visitors with Ozil's fourth league goal of the campaign.
Their manager, Arsene Wenger described the visitors' midweek win over Manchester United as a "warning" for his side, but with the two best defences in the league on show, early chances were sparse despite spells of crisp passing.
Everton, who last won at Arsenal in 1996, enjoyed large bouts of possession and drew protestations from Wenger for the intensity of their pressing without the ball.

Tough Toffees

Everton's defeat at Manchester City in October remains their only league loss of the season. No side in the Premier League have proven harder to beat.
Sylvain Distin swiped a volley wide for the visitors, before Ross Barkley, operating behind Romelu Lukaku, fed Mirallas on a breakaway but the Belgian's effort was wasteful.
Martinez described Arsenal's attacking-play as "as good as it gets" in the run up to the fixture and late on in the opening period, Wenger's side began to showcase the guile which had earned them four consecutive wins.
Howard, seeking a fourth successive clean sheet, dived at the feet of Giroud to block after a neat Ramsey pass, before the Arsenal charges reversed roles.
This time Giroud dummied to release the Welshman, but Howard was again swift and brave to block at his feet.
The Gunners started the second period with the intensity their opponents had the first and Carzola headed tamely at Howard after a delightful interchange with Wilshere.

Influential Ozil

Mesut Ozil
  • Mesut Ozil has scored four goals and made six assists in 12 league appearances.
The intricate play was not lost on Martinez's side and Steven Pienaar collected Barkley's confident flick to warm the hands of Szczesny in Arsenal's goal.
Ramsey, whose eight goals make him the Premier League's most potent midfielder, was denied by Howard before the influential Barkley blasted straight at Szczesny at the other end.
After making four changes from the midweek win against Hull, Wenger highlighted the strength of his bench ahead of the match and the introduction of Theo Walcott, Tomas Rosicky and Mathieu Flamini backed up his confidence.
Flamini instantly shot wide, before Rosicky and Walcott combined to present Ozil with the opener.
The German, who now has four goals and six assists in his last 12 Premier League matches, volleyed high past Howard from six-yards, sparking relief amongst home supporters.
Their emotion was soon swung by Deulofeu, who had been on the field just five minutes when he collected a pass inside the area to unleash a shot past Szczesny.

Everton boss Roberto Martinez
Giroud's volley from 30 yards at the death almost offered a dramatic end to a pulsating final 10 minutes of play, but the ball cannoned back of the angle of post and crossbar to ensure the points were shared.
To see a gallery of images from Sunday's Premier League action go to the BBC Sport Facebook page.  
Arsenal manager Arsene Wenger:
"It was a good game and Everton played well. Overall it took us time to get into it and in the first 25 minutes they were stronger.
"After that we had three one against ones in the first half and that's the regret I have.
"We didn't take our chances very well and the other regret is that we gave the lead away with seven minutes to go. But credit to them, they always looked dangerous. In the end, we are disappointed to get caught but it's still a point."

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

WOSIA WA MANDELA WAZUA UTATA.......

Marehemu Nelson Mandela enzi za uhai wake. Mwandishi Wetu na Mitandao WOSIA aliowahi kuuandika hayati Nelson Rolihlahla Mandela... thumbnail 1 summary

Marehemu Nelson Mandela enzi za uhai wake. Mwandishi Wetu na Mitandao
WOSIA aliowahi kuuandika hayati Nelson Rolihlahla Mandela ‘Mzee Madiba’ au ‘Tata’ (95) enzi za uhai wake akielezea anavyotaka azikwe, ndiyo tishio kubwa lenye utata kuelekea siku ya mazishi yake, Jumapili ijayo, Ijumaa Wikienda limebaini.
Mtandao mmoja nchini humo umeukumbushia wosia huo huku familia ikianza kuonesha misimamo tofautitofauti, hali inayoashiria kuibuka kwa makundi mawili yanayokinzana.

Gari lililobeba mwili wa Nelson Mandela.
FAMILIA INAVYOTAKA
Habari za ndani zilisema kuwa familia inataka mazishi ya kiongozi huyo maarufu duniani yawe makubwa na ya kisasa kwa vile viongozi wa nchi mbalimbali duniani watahudhuria.
“Mandela ni kingozi mkubwa sana duniani, mazishi yake lazima yawe makubwa pia ya kisasa. Hawezi kuzikwa kama mwananchi wa kawaida,” ilisomeka sehemu ya taarifa hiyo.

Mmoja wa waombolezaji akigusa picha na Mandela.
Taarifa hiyo iliongeza kuwa wakati familia hasa wajukuu na watoto wake wakishikilia msimamo huo, wapo wanandugu wanaotaka azikwe kama alivyoandika katika wosia wake huo.
SERIKALI YAPANGA MAMBO BILA KUFUATA WOSIA
Habari zaidi zilisema kuwa Serikali ya Afrika Kusini inajitahidi kuupangua wosia huo kwa kuendelea na maandalizi ya mazishi kama haukuwahi kuwepo licha ya kwamba jamii ya watu nchini humo inaheshimu wosia wa marehemu.
WOSIA UNAVYOSEMA
Mzee Madiba alishauandika wosia huo kwenye karatasi moja tu ambapo aliagiza anavyotaka azikwe. Alisema kuwa akifa azikwe katika milima iliyojitenga nyumbani kwa mababu zake katika Kijiji cha Qunu, Eastern Cape huko ‘Sauzi’.

Waombolezaji wakiweka maua katika sanamu la Mandela.
ALITAKA MAZISHI YA KAWAIDA SANA
Inadaiwa wosia huo aliuandika Januari, 1996 wakati bado akiwa rais ambao ulijaa maelekezo yote juu ya mazishi yake. Aliagiza kufanyiwa mazishi ya kawaida sana yenye hadhi ya raia wa kawaida nchini humo hivyo kuyafanya kuwa makubwa na ya kifahari ni kukiuka wosia wa mzee.
KABURI ALILOLITAKA MANDELA
Katika wosia wake huo uliotolewa na rafiki yake wa karibu, Mzee Madiba aliandika kuwa akifa azikwe katika eneo la familia lenye makaburi ya ukoo wa Mandela kijijini hapo.
Pia aliagiza kuwa kaburi lake liwekewe jiwe la kawaida kama alama ya mahali lilipo ili lisije kupotea kwa mvua au mabadiliko ya tabia nchi.
 
Rais wa Afrika Kusini, Jacob Zuma.
KABURI LISISAKAFIWE
Katika tafsiri ya maneno hayo, Mzee Madiba alitaka kaburi lake liwe la kawaida sana, akimaanisha lisijengewe kama ilivyokuwa kwa makaburi ya viongozi wengine wa mfano wake barani Afrika kama, Mwalimu Julius Nyerere wa Tanzania na Kamuzu Banda (aliyekuwa Rais wa Malawi).
WOSIA WAKE ULIKUWA WA UPANDE MMOJA WA KARATASI
Magazeti ya nchini humo, South African Mail na Guardian miezi ya karibuni yaliripoti kumnukuu rafiki huyo wa siku nyingi wa familia ya Mandela akisema: “Madiba hakuwahi kukifanya kifo kuwa jambo kubwa la kufikiriwa, pia hakuwahi kutaka chochote cha fahari wakati wa kumzika.”
Cha ajabu, wosia huo wa Mandela ulitosha kwenye upande mmoja wa karatasi ya kawaida ya kuandikia licha ya kwamba mauzo ya kitabu chake cha Long Walk to Freedom na michoro yenye jina lake vilimpatia mamilioni ya fedha.

Nelson Mandela (kulia) akiwa na Mwalimu Julius Nyerere enzi za uhai wao.
FAMILIA YACHUKIZWA NA WOSIA
Wosia huo ulielezwa kuwashangaza watu wengi duniani kwani waliamini angekuwa na vitu vingi vya kuandika kulingana na uwezo wake.
Kwa mujibu wa Shirika la Utangazaji la Afrika Kusini, SABC, suala hilo la sehemu atakayozikwa Mzee Madiba liliiudhi mno familia yake akiwemo yule mjukuu wake ambaye ni chifu, Mandla Mandela aliyewahi kufikishwa kortini kwa kuhamisha makaburi hayo ya ukoo na kuyapeleka sehemu nyingine. Pia ndiye msemaji wa familia ya Mandela.
DUNIA YAMKATALIA
Baadhi ya wanaharakati ulimwenguni kote walisema wosia huo unapingana na matakwa ya dunia nzima, ambapo walitaka maziko ya mzee huyo yawe  makubwa na ya kihistoria ambayo hayajawahi kutokea.Ilifahamika kwamba dunia inataka mazishi hayo yavunje ile rekodi iliyoshikiliwa na mazishi ya Papa John Paul II aliyefariki dunia Aprili 2, 2005.
Mjukuu wa Nelson Mandela, Mandla Mandela.
SAFARI HII HAKUKIMBIZWA HOSPITALI
Mzee Madiba ambaye alitimiza umri wa miaka 95 Julai 18, mwaka huu, alikuwa hospitalini kwa karibu miezi  mitatu nyuma akitibiwa maambukizi kwenye mapafu huku akipumulia mashine. Baadaye alipata nafuu na kurudishwa nyumbani ambako usiku wa kuamkia Ijumaa iliyopita aliugua ghafla na kufariki dunia.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

WEMA Alikumbuka Penzi la DIAMOND.

Mcheza filamu za kibongo Wema Sepetu ametuma picha ya mpenzi wake wa zaman mwanamuziki Diamond Platnamu kweny... thumbnail 1 summary

Mcheza filamu za kibongo Wema Sepetu ametuma picha ya mpenzi wake wa zaman mwanamuziki Diamond Platnamu kwenye akaunti.yake ya instagram na kuandiki
i jus happen to love dis picture

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

DIAMOND akitumbuiza kwenye birthday K-LYNN...

Jack akimlisha cake mmewe kipenzi,mzee Mengi  Ilikuwa ni siku ya furaha sana usiku wa kuamkia leo kwenye sherehe... thumbnail 1 summary

 Ilikuwa ni siku ya furaha sana usiku wa kuamkia leo kwenye sherehe ya kuzaliwa Miss Klynn aka MAMA MAPACHA pande fulani hivi jijini Dar es Salaam. Party hii ilikuwa ni yaaina yake kwani ilikuwa ni kwa watu walioalikwa tu

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

BOB JUNIOR ADAIWA KUVAA NGUO ZA MKOPO

Msanii wa Music ambae pia ni Producer wa Muziki na Mmiliki wa Studio ya Sharobaro Records Bob J... thumbnail 1 summary


Msanii wa Music ambae pia ni Producer wa Muziki na Mmiliki wa Studio ya Sharobaro Records Bob Junior ameingia katika Aibu Ingine baada ya Duka Moja la nguo Kujitokeza na Kudai Linamdai Msanii huyo Kiasi cha Shilingi 180,000 za Kitanzania ..Muuzaji wa Duka hilo Amesema  Bob Huwa anaenda hapo kuchukua nguo ambazo huwa tunamkopesha mpaka sasa deni limefikia kiasi hicho na tukimtafuta anapiga chenga kulipa..

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA ADAIWA KUWA NI MZIGO TU KWENYE SERIKALI YA KIKWETE

SAKATA la mawaziri kuandamwa kwa kutowajibika limezidi kushika kasi ambapo safari hii, Rais Jakaya Kikwete... thumbnail 1 summary



SAKATA la mawaziri kuandamwa kwa kutowajibika limezidi kushika kasi ambapo safari hii, Rais Jakaya Kikwete ametakiwa kumfukuza kazi Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kwa madai ya kuwa mchawi wa maendeleo ya nchi na mzigo namba moja. 

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW: