December 16, 2013
NJIA 10 AMBAZO MSICHANA ATAZITUMIA KUMFAHAMU MWANAUME KISAWA SAWA
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
SHIJA: SIJAWAI KUKUTANA KIMWILI (KUFANYA NGONO) NA MASTAA WA BONGO
SHIJA: SIJAWAI KUKUTANA KIMWILI (KUFANYA NGONO) NA MASTAA WA BONGO
Deogratius Shija. STAA wa filamu Bongo, D... 12:59SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
SIRI ZA KUDUMISHA PENZI LISITETEREKE
SIRI ZA KUDUMISHA PENZI LISITETEREKE
UNAWEZA kuanzisha kitu chochote, wakati wowote lakini jambo la msingi zaidi ni namna ya kudumisha na kuendeleza ulichokianzisha. ... 12:58
UNAWEZA kuanzisha kitu chochote, wakati wowote lakini jambo la msingi zaidi ni namna ya kudumisha na kuendeleza ulichokianzisha.
Hebu sasa tuendelee kujifunza katika vipengele vingine marafiki zangu.
MHESHIMU
Mwanaume anapenda sana kuheshimiwa na mpenzi wake. Kwa kawaida, mwanaume akigundua haheshimiwi au unafanya hivyo kwa kumridhisha tu
Mwanaume anapenda sana kuheshimiwa na mpenzi wake. Kwa kawaida, mwanaume akigundua haheshimiwi au unafanya hivyo kwa kumridhisha tu
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
KWELI PESA MWANAHARAMU.....MALKIA WA NYUKI APANDA NDEGE YA WATU 150 PEKE YAKE NA KUKAA DAR KWA SIKU 1 KISHA KUONDOKA..SOMA HAPA KUJUA ZAIDI
KWELI PESA MWANAHARAMU.....MALKIA WA NYUKI APANDA NDEGE YA WATU 150 PEKE YAKE NA KUKAA DAR KWA SIKU 1 KISHA KUONDOKA..SOMA HAPA KUJUA ZAIDI
Mlezi wa Simba, Rahma Al Kharoosi 'Malkia wa Nyuki'. MLEZI wa Simba, Rahma Al Kharoosi, ametua jijini Dar es Salaam akiwa... 12:33
Mlezi wa Simba, Rahma Al Kharoosi 'Malkia wa Nyuki'.
MLEZI wa Simba, Rahma Al Kharoosi, ametua jijini Dar es Salaam akiwa kwenye ndege kubwa yenye uwezo wa kubeba watu 150, lakini yeye akiwa ndiye abiria pekee ndani ya ndege hiyo.
Rahma, maarufu kama Malkia wa Nyuki, ametua na ndege
MLEZI wa Simba, Rahma Al Kharoosi, ametua jijini Dar es Salaam akiwa kwenye ndege kubwa yenye uwezo wa kubeba watu 150, lakini yeye akiwa ndiye abiria pekee ndani ya ndege hiyo.
Rahma, maarufu kama Malkia wa Nyuki, ametua na ndege
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
SARA MVUNGI AFANYIWA UNYAMA...SOMA HAPA KUJUA KILICHOMKUTA
SARA MVUNGI AFANYIWA UNYAMA...SOMA HAPA KUJUA KILICHOMKUTA
Sara Mvungi. MWIMBAJI wa nyimbo za injili nch... 12:31
Sara Mvungi.
MWIMBAJI wa nyimbo za injili nchini, Sara Mvungi amefanyiwa kitu mbaya kwa kukombwa vitu kibao kwenye bodaboda.
MWIMBAJI wa nyimbo za injili nchini, Sara Mvungi amefanyiwa kitu mbaya kwa kukombwa vitu kibao kwenye bodaboda.
Tukio hilo la aina yake lilitokea Jumamosi jioni maeneo ya
Kwanyerere, Mikocheni jijini Dar es Salaam ambapo Sara alikuwa kwenye
bodaboda ghafla ilitokea nyingine ikiwa kwenye mwendo wa kasi na
wahusika walikuwa wawili ambao walimnyang’anya pochi.
Akizungumza kwa masikitiko, Sara alisema ndani ya pochi hiyo kulikuwa na simu mbili aina ya blackberry, fedha taslimu laki tatu,dola mia moja, vitambulisho na vitu vingine vingi.
Akizungumza kwa masikitiko, Sara alisema ndani ya pochi hiyo kulikuwa na simu mbili aina ya blackberry, fedha taslimu laki tatu,dola mia moja, vitambulisho na vitu vingine vingi.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
LULU MICHAEL AJIBU TUHUMU ZA KUFUMANIWA AKINANII NA YOUNG DEE KWENYE GARI...HIKI NDICHO ALICHOKISEMA
LULU MICHAEL AJIBU TUHUMU ZA KUFUMANIWA AKINANII NA YOUNG DEE KWENYE GARI...HIKI NDICHO ALICHOKISEMA
MWISHONI mwa wiki iliyopita, taarifa zilienea katika mitandao ya kijamii na vyombo mbalimbali vya habari Bongo kwamba msanii wa Bongo F... 08:46MWISHONI mwa wiki iliyopita, taarifa zilienea katika mitandao ya kijamii na vyombo mbalimbali vya habari Bongo kwamba msanii wa Bongo Fleva, David Genzi ‘Young Dee’ na nyota wa filamu, Elizabeth Michael ‘Lulu’ wamebambwa na polisi wa doria wakivunja amri ya sita ndani ya gari aina ya Hyundai, Mbezi Beach jijini Dar es Salaam, tukio lililojaa utata mkubwa.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
BABY MADAHA AKOLEZWA NA PENZI LA MENEJA WAKE..AKANUSHA KUHUSU KUTEGEMEA PESA ZA MENEJA WAKE
BABY MADAHA AKOLEZWA NA PENZI LA MENEJA WAKE..AKANUSHA KUHUSU KUTEGEMEA PESA ZA MENEJA WAKE
STAA wa filamu Bongo anayetamba na ngoma yake ya Summer Holiday amesema kuwa kutokana na mahaba mazito anayopatiwa na mwandani wake Joe K... 08:44STAA wa filamu Bongo anayetamba na ngoma yake ya Summer Holiday amesema kuwa kutokana na mahaba mazito anayopatiwa na mwandani wake Joe Kariuki ambaye ni Meneja wake hafikirii
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MWAKA 2013 NI NUKSI KWA MASTAA BONGO..SOMA HAPA
MWAKA 2013 NI NUKSI KWA MASTAA BONGO..SOMA HAPA
ZIKIWA zimesalia siku 15 kukatika kwa mwaka 2013 na kuukaribisha 2014, Ijumaa Wikienda linakuletea matukio kibao yaliyotafsiriwa kuwa ni... 08:42ZIKIWA zimesalia siku 15 kukatika kwa mwaka 2013 na kuukaribisha 2014, Ijumaa Wikienda linakuletea matukio kibao yaliyotafsiriwa kuwa ni nuksi katika ulimwengu wa mastaa Bongo.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
LOWASA ALIVYONUSURIKA KIFO KATIKA AJALI YA NDEGE HUKO JIJINI ARUSHA..!
LOWASA ALIVYONUSURIKA KIFO KATIKA AJALI YA NDEGE HUKO JIJINI ARUSHA..!
Abiria 37 waliokuwa wamesafaria ndege ya Shirika la Precision Air, akiwamo Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa... 08:38SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
NJIA ZA KUMTONGOZA MWANAMKE AKAKUPENDA DAIMA...KWA MAUJUZI ZAID SOMA HAPA
NJIA ZA KUMTONGOZA MWANAMKE AKAKUPENDA DAIMA...KWA MAUJUZI ZAID SOMA HAPA
Kuna baadhi ya wanaume hawajui jinsi ya kuzungumza na mwanamke au msichana. Kwa njia hii wanaume wengi wanaish... 08:37SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
ANGALIA PICHA ZA DIAMOND THE PLATNUMZ LIVE PERFOMANCE YA AFTER SCHOOL BASH 2013
ANGALIA PICHA ZA DIAMOND THE PLATNUMZ LIVE PERFOMANCE YA AFTER SCHOOL BASH 2013
After school bash!! tamasha kubwa la kila mwaka ,linalokuwa linawaunganisha wanafunzi Town baada ya shule zao ... 08:35
After school bash!! tamasha kubwa la kila mwaka ,linalokuwa
linawaunganisha wanafunzi Town baada ya shule zao
kufungwa hivyo kupata fursa ya kujumuika pamoja, pia kuwakutanisha na wasanii
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Mangi aamua kupiga Kiberiti Nyumba yake mara baada ya kubaiini kuwa Mkewe analisaliti Penzi Lao.
Mangi aamua kupiga Kiberiti Nyumba yake mara baada ya kubaiini kuwa Mkewe analisaliti Penzi Lao.
Nyumba ya familia moja huko mtaa wa ugombolwa Kata ya Segerea ikiwa inateketea kwa moto usiku huu mara baada ya Baba wa famili... 08:29
Nyumba
ya familia moja huko mtaa wa ugombolwa Kata ya Segerea ikiwa
inateketea kwa moto usiku huu mara baada ya Baba wa familia hiyo kuhisi
kuwa mke ana mahusiano ya kimapenzi na mwanaume mmoja
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
JE NI KWELI KUWA WANAWAKE WAREMBO NDIO WATEJA WAKUBWA WA WAGANGA UKILINGANISHA NA WALE WA KAWAIDA ????
JE NI KWELI KUWA WANAWAKE WAREMBO NDIO WATEJA WAKUBWA WA WAGANGA UKILINGANISHA NA WALE WA KAWAIDA ????
Nasikia masista duh na warembo wengi ndio wqashiriki wakubwa wa mambo ya kiganga na dawa za mapenzi ukilinganisha na wasichana wen... 08:28
Nasikia masista duh na warembo wengi
ndio wqashiriki wakubwa wa mambo ya kiganga na dawa za mapenzi
ukilinganisha na wasichana wenye sura za kawaida.
Pia utafiti usio rasmi unaonyesha kuwa wanawake warembo ndio
Pia utafiti usio rasmi unaonyesha kuwa wanawake warembo ndio
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Subscribe to:
Posts (Atom)