Maskini! Staa wa sinema za Kibongo, Salma Jabu ‘Nisha’ anateseka
baada ya kupata gonjwa la ajabu linalomsababishia maumivu makali.
December 23, 2013
SITAOA TENA ....... BOB JUNIOR ASEMA,,, SOMA ZAIDI KILICHOMSIBU
SITAOA TENA ....... BOB JUNIOR ASEMA,,, SOMA ZAIDI KILICHOMSIBU
a Rais wa Masharobaro, Bob Junior amesema hakuwa na furaha kwenye ndoa yake na ndio maana ameachana na m... 10:19
Rais wa Masharobaro, Bob Junior amesema hakuwa na furaha kwenye ndoa yake na ndio maana ameachana na mke wake.
Muimbaji na mtayarishaji huyo wa muziki aliiambia tovuti ya Times FM kuwa ugumu wa ndoa umemfanya asifikirie tena kuoa maishani.
Muimbaji na mtayarishaji huyo wa muziki aliiambia tovuti ya Times FM kuwa ugumu wa ndoa umemfanya asifikirie tena kuoa maishani.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Barua mpya ya mfungwa Hong Kong akiwataja Wauzaji wakubwa wa Madawa ya kulevya Nchini na kutoa Onyo.
Barua mpya ya mfungwa Hong Kong akiwataja Wauzaji wakubwa wa Madawa ya kulevya Nchini na kutoa Onyo.
Waraka mwingine ulioandikwa katika lugha ya Kiswahili umechapishwa kwenye tovuti v2catholic.com ... unataja majina ya Watanzania wawili... 09:56
Waraka mwingine ulioandikwa katika lugha ya Kiswahili umechapishwa kwenye tovuti v2catholic.com... unataja majina ya Watanzania wawili kuwa wafanyabiashara wa dawa za kulevya.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Picha 5 za muonekano wa kifua cha Loveness Diva...JIONEE MWENYEWE
Picha 5 za muonekano wa kifua cha Loveness Diva...JIONEE MWENYEWE
Habari za weekend wadau, pamoja na mipasho ya habari mbalimbali za kisiasa na matukio ya hapa na pale, si mbaya pia tuk... 09:53
Habari za weekend wadau, pamoja na mipasho ya habari
mbalimbali za kisiasa na matukio ya hapa na pale, si mbaya pia
tukiangalia na upande wa pili wa shilingi, nikiwa na maana ya
udaku na burudani….
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
HII NDIYO TOP 10 YA VINARA WA SKENDO 2013 NA SKENDO ZAO...NI NOMA
HII NDIYO TOP 10 YA VINARA WA SKENDO 2013 NA SKENDO ZAO...NI NOMA
KATIKA ulimwengu wa mastaa kuna ambao wamekuwa wakitikisa kwa skendo mbalimbali kwa mwaka 2013 ambazo zi... 09:51
KATIKA ulimwengu wa mastaa kuna ambao wamekuwa wakitikisa kwa skendo
mbalimbali kwa mwaka 2013 ambazo ziliwachefua mashabiki wao.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
BAADA YA MAWAZIRI WANNE KUTIMILIWA.....VILIO ZAIDI VINAKUJA!!!! SOMA HAPA KUJUA ZAIDI
BAADA YA MAWAZIRI WANNE KUTIMILIWA.....VILIO ZAIDI VINAKUJA!!!! SOMA HAPA KUJUA ZAIDI
Rais Dk. Jakaya Kikwete. MWAKA 2013 uko ukingoni. Matukio ni mengi yaliyoitikisa Tanzania, lakini hili la mawaziri wanne... 09:48
MWAKA 2013 uko ukingoni.
Matukio ni mengi yaliyoitikisa Tanzania, lakini hili la mawaziri wanne
kung’oka limefunga mwaka vibaya, Ijumaa Wikienda lina cha kusema.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Subscribe to:
Posts (Atom)