June 13 2016 kuna story nyingi za Entertaiment zimechukua Headlines na moja kati ya story za Entertaiment ambazo zimechukua Headlines ni hizi kutoka Perfecto TV, mrembo kutoka bongoflevani Linnah amefunguka kuwa anatamani
June 13, 2016
Linnah kafunguka kuwa anatamani Darassa angekuwa Baba watoto wake
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Wanasayansi: Mugabe ana Vinasaba vya Kuishi Milele
Wanasayansi: Mugabe ana Vinasaba vya Kuishi Milele
WANASAYANSI maarufu kutoka Taasisi moja kubwa ya Sayansi nchini Uingereza wametoa ripoti ya utafiti walioufanya ikithibitisha kwamba, Rai... 22:53
WANASAYANSI maarufu kutoka Taasisi moja kubwa ya Sayansi nchini Uingereza wametoa ripoti ya utafiti walioufanya ikithibitisha kwamba, Rais wa Zimbabwe, Komrade
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Video ya wimbo ‘Jike Shuka’ ya Nuh Mziwanda yamtoa povu Ex wake, Shilole
Video ya wimbo ‘Jike Shuka’ ya Nuh Mziwanda yamtoa povu Ex wake, Shilole
Ikiwa ni siku chache toka Ex wa Shilole, Nuh Mziwanda aachie video ya wimbo ‘Jike Shupa’ ambayo inaelezea jinsi alivyoishi na mpenzi wake h... 21:00
Ikiwa ni siku chache toka Ex wa Shilole, Nuh Mziwanda aachie video ya wimbo ‘Jike Shupa’ ambayo inaelezea jinsi alivyoishi na mpenzi wake huyo, Shilole ameonyesha kukasirishwa na kazi hiyo.
Shilole na Nuh wakati wapo pamoja
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Serikali kuongeza kodi kwa filimu na kazi za muziki zinazotoka nje na kuingizwa nchini
Serikali kuongeza kodi kwa filimu na kazi za muziki zinazotoka nje na kuingizwa nchini
Serikali imejipanga kuongeza kodi kwa kazi za muziki pamoja na filamu ambazo zinatoka nje ili kuzipa nafasi kazi za wasanii wa ndani. 21:00SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Mambo 4 makubwa usiyoyajua kuhusu remix ya Burger Movie Selfie ya Belle 9
Mambo 4 makubwa usiyoyajua kuhusu remix ya Burger Movie Selfie ya Belle 9
Belle 9 anatarajia kuachia remix ya hit single yale ‘Burger Movie Selfie’ siku chache zijazo. Nimepiga naye story na amenieleza mambo hay... 19:00
Belle 9 anatarajia kuachia remix ya hit single yale ‘Burger Movie Selfie’ siku chache zijazo.
Nimepiga naye story na amenieleza mambo haya manne makubwa kuhusiana na remix hiyo.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
WASANII KUMI ANAOWAKUBALI ZAIDI KENDRICK LAMAR
WASANII KUMI ANAOWAKUBALI ZAIDI KENDRICK LAMAR
Kendrick Lamar ni Rapper ambaye anafanya vizuri sana kwenye game ya Rap duniani, je unawajua wasanii wake Kumi Bora? 19:00
Kendrick Lamar ni Rapper ambaye anafanya vizuri sana kwenye game ya Rap duniani, je unawajua wasanii wake Kumi Bora?
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MPIGA PICHA WA DIAMOND AMTUKANA BOSS WAKE. ONA HAPA
MPIGA PICHA WA DIAMOND AMTUKANA BOSS WAKE. ONA HAPA
Mpiga picha wa Diamond maarufu kama Kifesi kupitia Page yake ya Instagram aliandika " Yani Huyu Malayaah" neno malaya ni ain... 17:30
Mpiga picha wa Diamond maarufu kama Kifesi kupitia Page yake ya Instagram aliandika " Yani Huyu Malayaah" neno malaya ni aina ya mtu ambaye anawanawake wengi , baadhi
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
P DIDDY ANAUZA ‘MJENGO’ WAKE, BEI YAKE ‘UTAKIMBIA’.
P DIDDY ANAUZA ‘MJENGO’ WAKE, BEI YAKE ‘UTAKIMBIA’.
Rapa P diddy ndiye anatajwa kuwa rapa tajiri zaidi Duniani kwa mujibu wa tovuti mbali na jarida maarufu la Forbes. 17:30
Rapa P diddy ndiye anatajwa kuwa rapa tajiri zaidi Duniani kwa mujibu wa tovuti mbali na jarida maarufu la Forbes.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Music: Mkubwa Na Wanawe Ft. Ruby – Suu
Music: Mkubwa Na Wanawe Ft. Ruby – Suu
Wimbo mpya kutoka kwa vijana wa Yamoto Band wakimshirikisha Ruby unaitwa “Su”, Producer Shirko. . 15:00
Wimbo mpya kutoka kwa vijana wa Yamoto Band wakimshirikisha Ruby unaitwa “Su”, Producer Shirko.
.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
ASKOFU GWAJIMA AMSHITAKI KIKWETE KWA RAIS MAGUFULI,ATAKA APELEKWE MAHAKAMNI HARAKA...!!!
ASKOFU GWAJIMA AMSHITAKI KIKWETE KWA RAIS MAGUFULI,ATAKA APELEKWE MAHAKAMNI HARAKA...!!!
ASKOFU wa kanisa la Ufufuo na Uzima Josephat Gwajima amemtaka Rais Magufuli kutobabaika katika utendaji wake wa kazi,huku akimweleza kuwa u... 15:00SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MBOWE AFUNGIWA HOTELINI, AKAMATWA NA KUGOMEA MASHARTI YA POLISI.
MBOWE AFUNGIWA HOTELINI, AKAMATWA NA KUGOMEA MASHARTI YA POLISI.
Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe jana alikamatwa na Jeshi la Polisi mkoa Mwanza na kuhojiwa kwa t... 13:00
Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe jana alikamatwa na Jeshi la Polisi mkoa Mwanza na kuhojiwa kwa takribani saa mbili katika kituo cha Polisi cha Nyakato katika wilaya ya Nyamagana.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Kidumu asema Wakenya wanadhani yeye ni Mtanzania, azungumzia kolabo mpya na wasanii TZ
Kidumu asema Wakenya wanadhani yeye ni Mtanzania, azungumzia kolabo mpya na wasanii TZ
Mwanamuziki kutoka nchini Burundi, Kidumu, amefunguka kwa kusema kuwa Wakenya wengi wanadhani kwamba yeye ni Mtanzania kutokana na kuonyesh... 13:00
Mwanamuziki kutoka nchini Burundi, Kidumu, amefunguka kwa kusema kuwa Wakenya wengi wanadhani kwamba yeye ni Mtanzania kutokana na kuonyesha uwezo mkubwa wakuimba kwa lugha ya Kiswahili.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Jinsi video ya ‘Ibaki story’ ilivyo tengenezwa ya Rich Mavoko
Jinsi video ya ‘Ibaki story’ ilivyo tengenezwa ya Rich Mavoko
Msanii Rich Mavoko baada ya kuachia video ya wimbo ‘Ibaki story’ ambaye hivi sasa ametangazwa kasainiwa kwenye lebo ya Diamond Platnumz W... 11:00
Msanii Rich Mavoko baada ya kuachia video ya wimbo ‘Ibaki story’ ambaye hivi sasa ametangazwa kasainiwa kwenye lebo ya Diamond Platnumz WCB inaonyesha
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
PICHA 12 : Yanga wamewasili Uturuki na kuanza mazoezi
PICHA 12 : Yanga wamewasili Uturuki na kuanza mazoezi
Kikosi cha klabu ya Dar es Salaam Young Africans leo June 12 kilisafiri kuelekeaUturuki kwa ajili ya kambi ya muda kuelekea mchezo wake w... 09:00
Kikosi cha klabu ya Dar es Salaam Young Africans leo June 12 kilisafiri kuelekeaUturuki kwa ajili ya kambi ya muda kuelekea mchezo wake wa kwanza wa Kombe la
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Ujerumani wameanza kwa ushindi Euro 2016 dhidi ya Ukraine
Ujerumani wameanza kwa ushindi Euro 2016 dhidi ya Ukraine
Bado michano ya mataifa ya Ulaya maarufu kama UEFA Euro 2016, imeendelea tena leo June 12 Ufaransa kwa michezo mitatu kupigwa katika viwa... 09:00
Bado michano ya mataifa ya Ulaya maarufu kama UEFA Euro 2016, imeendelea tena leo June 12 Ufaransa kwa michezo mitatu kupigwa katika viwanja mbalimbali, mchezo
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Brazil wameondolewa Copa America kwa goli linaloaminika kuwa la mkono
Brazil wameondolewa Copa America kwa goli linaloaminika kuwa la mkono
Timu ya taifa ya Brazil imekumbana na wakati mgumu katika mchezo wa Copa America 2016 dhidi ya Peru uliochezwa alfajiri ya June 13 2016,... 06:54
Timu ya taifa ya Brazil imekumbana na wakati mgumu katika mchezo wa Copa America 2016 dhidi ya Peru uliochezwa alfajiri ya June 13 2016, mchezo huo wa Kundi B ulikuwa unawapa nafasi kubwa Brazil kuibuka na ushindi, hususani
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
The Wait is Over: Hii ni ratiba ya kutoka kwa Collabo za Diamond na P-Square na Papa Wemba mwezi huu
The Wait is Over: Hii ni ratiba ya kutoka kwa Collabo za Diamond na P-Square na Papa Wemba mwezi huu
Mashabiki wa Diamond na wapenzi wa muziki wa Bongo Flava kwa ujumla sasa wanaweza kukaa mkao wa kula kwasababu collabo za staa huyo walizok... 06:53
Mashabiki wa Diamond na wapenzi wa muziki wa Bongo Flava kwa ujumla sasa wanaweza kukaa mkao wa kula kwasababu collabo za staa huyo walizokuwa wakizingoja
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo June 13, 2016 kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
Magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo June 13, 2016 kwenye, Udaku, Hardnews na michezo
June 12 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenyeMagazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na har... 06:53
June 12 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenyeMagazeti ya Tanzania kuanzia kwenye, Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook,
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Subscribe to:
Posts (Atom)