Kamati ya Uchaguzi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) leo imetangaza Juni 05, 2016 kuwa siku ya Uchaguzi Mkuu wa viongozi ndani ya klabu ya Young Africans SC ya jijini Dar es salaam.
April 25, 2016
Nape Ataja Majipu Manne Katika Sanaa Nchini,aahidi Kuyatumbua
Nape Ataja Majipu Manne Katika Sanaa Nchini,aahidi Kuyatumbua
Waziri wa Habari,Utamaduni,sanaa na michezo nchini,Nape Nnauye ametaja mambo manne ambayo ni vikwazo ndani ya sekta ya sanaa ya filamu nchi... 22:37SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Vyeti Feki Vitampa Magufuli Maadui Wengi kuliko Hata "Ufisadi"
Vyeti Feki Vitampa Magufuli Maadui Wengi kuliko Hata "Ufisadi"
Kama kweli Rais Magufuli atahamia katika ukaguzi wa vyeti feki akimaliza ishu ya watumishi hewa ni wazi atapata maadui wengi na idadi yao i... 22:34SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
TAKURURU Washtuka Sasa Yaanza Kuchunguza Mabilioni ya Kikwete
TAKURURU Washtuka Sasa Yaanza Kuchunguza Mabilioni ya Kikwete
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), imeanza kuchunguza fedha za uwezeshaji maarufu kama ‘Mabilioni ya JK’ ambazo hazikurej... 22:32SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
NEY WA MITEGO:NIPO TAYARI KUMTOLEA DHAMANA SIWEMA
NEY WA MITEGO:NIPO TAYARI KUMTOLEA DHAMANA SIWEMA
Msanii wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Ney wa Mitego’, amesema yupo tayari kumtolea dhamana mpenzi wake wa zamani, Siwema ambaye ame... 22:00
Msanii wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Ney wa Mitego’, amesema yupo tayari kumtolea dhamana mpenzi wake wa zamani, Siwema ambaye amehukumiwa kwenda jela miaka miwili kwa kosa la kumtukana shabiki kwenye mtandao wa kijamii.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
PETR CECH AKUBALI YAISHE BAADA YA SARE DHIDI YA SUNDERLAND
PETR CECH AKUBALI YAISHE BAADA YA SARE DHIDI YA SUNDERLAND
Malinda mlango wa klabu ya Arsenal, Petr Cech amekubalia yaishe kufuatia mwenendo wa kikosi cha klabu hiyo kutoridhisha kwenye michezo ya... 22:00
Malinda mlango wa klabu ya Arsenal, Petr Cech amekubalia yaishe kufuatia mwenendo wa kikosi cha klabu hiyo kutoridhisha kwenye michezo ya kuelekea mwishoni mwa msimu huu.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
LIVERPOOL WAJIPANGA KUMUUZA BALOTELLI
LIVERPOOL WAJIPANGA KUMUUZA BALOTELLI
Majogoo wa jiji Liverpool wamepanga kumtumia mshambuliaji wao kutoka nchini Italia Mario Balotelli kama chambo, katika vita ya kumuwania ... 22:00
Majogoo wa jiji Liverpool wamepanga kumtumia mshambuliaji wao kutoka nchini Italia Mario Balotelli kama chambo, katika vita ya kumuwania kiungo wa klabu ya SS Lazio, Lucas Biglia.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
JUVENTUS HAWAKAMATIKI ITALIA
JUVENTUS HAWAKAMATIKI ITALIA
Kibibi kizee wa Turine Juventus FC, kimetwaa ubingwa wa nchini Italia (Scudetto) kwa mara ya tano mfululizo baada ya kuwachapa Fiorentina... 20:00
Kibibi kizee wa Turine Juventus FC, kimetwaa ubingwa wa nchini Italia (Scudetto) kwa mara ya tano mfululizo baada ya kuwachapa Fiorentina mabao mawili kwa moja usiku wa kuamkia hii leo.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
RIYAD MAHREZ NI BORA KULIKO WOTE ENGLAND
RIYAD MAHREZ NI BORA KULIKO WOTE ENGLAND
Mshambuliaji wa klabu inayoshikilia usukani wa msimamo wa ligi ya nchini England, Leicester City, Riyad Mahrez usiku wa kuamkia leo amesh... 20:00
Mshambuliaji wa klabu inayoshikilia usukani wa msimamo wa ligi ya nchini England, Leicester City, Riyad Mahrez usiku wa kuamkia leo ameshinda tuzo ya Mwanasoka Bora wa Mwaka wa Chama cha Wachezaji wa Kulipwa (PFA) katika Ligi Kuu
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Now These are Top 10 Most $exually Satisfied Countries List
Now These are Top 10 Most $exually Satisfied Countries List
The most $exually satisfied countries in the world have been revealed and In Africa, According to the Research there are two Countries, S... 20:00
The most $exually satisfied countries in the world have been revealed and In Africa, According to the Research there are two Countries, Switzerland and Nigeria.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
JULIUS MTATIRO AFUNGUKA...ADAI STAILI ANAYOTUMIA KUFUKUZA KAZI RAIS MAGUFULI NI YA UDIKTETA
JULIUS MTATIRO AFUNGUKA...ADAI STAILI ANAYOTUMIA KUFUKUZA KAZI RAIS MAGUFULI NI YA UDIKTETA
Julias s. Mtatiro Ameandika haya katika kurasa wake ya Facebook kuhusu kutumbuliwa kwa Wilson Kabwe siku ya uzinduzi wa Daraja la Nyerere.. 19:12
Julias s. Mtatiro Ameandika haya katika kurasa wake ya Facebook kuhusu kutumbuliwa kwa Wilson Kabwe siku ya uzinduzi wa Daraja la Nyerere..
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
ZARI Afanyiwa Mchezo Mchafu!
ZARI Afanyiwa Mchezo Mchafu!
Mpenzi wa Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan ‘The Boss Lady’. DAR ES SALAAM: Siri imefichuka! Sakata la muuza ... 18:32
DAR ES SALAAM: Siri imefichuka! Sakata la muuza nyago (video queen) wa Bongo anayetajwa kwa jina moja la Irene a.k.a Lynn, anayedaiwa kutoka kimapenzi na staa wa
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Angalia Hapa: Kipande Cha Video Kikionyesha Tukio La Papa Wemba Kuanguka Jukwaani Akitumbuiza Na Kufariki
Angalia Hapa: Kipande Cha Video Kikionyesha Tukio La Papa Wemba Kuanguka Jukwaani Akitumbuiza Na Kufariki
Lilikua ni tamasha ambalo linaonekana live kwenye TV ambapo mkongwe huyu wa muziki kutoka Congo DRC 18:26
Lilikua ni tamasha ambalo linaonekana live kwenye TV ambapo mkongwe huyu wa muziki kutoka Congo DRC
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Tatizo la Kunuka Kikwapa..Tiba yake Hii Hapa..
Tatizo la Kunuka Kikwapa..Tiba yake Hii Hapa..
Kikwapa ni tatizo la kutoa harufu mbaya sehemu ya kwapani katika mwili wa binadamu. Tatizo la kikwapa husababishwa na bakteria wanaovu... 18:25
Kikwapa ni tatizo la kutoa harufu mbaya sehemu ya kwapani katika mwili wa binadamu. Tatizo la kikwapa husababishwa na bakteria wanaovutiwa na jasho au unyevunyevu chini ya kwapa.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Gigy Money Aopoa Kigogo wa Madini..Mwenyewe Adai Wameshibana
Gigy Money Aopoa Kigogo wa Madini..Mwenyewe Adai Wameshibana
Kazi ipo! Video Queen asiyeishiwa vituko Bongo, Gift Stanford ‘Gigy Money’ anadaiwa kuopoa kigogo ambaye ni mfanyabiashara wa madini, mka... 18:24
Kazi ipo! Video Queen asiyeishiwa vituko Bongo, Gift Stanford ‘Gigy Money’ anadaiwa kuopoa kigogo ambaye ni mfanyabiashara wa madini, mkazi wa jijini Arusha ambaye ndiye
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Huddah Monroe Str!ps For The Camera In A New Nigerian Film
Huddah Monroe Str!ps For The Camera In A New Nigerian Film
Huddah Monroe exposed skin in her role in a Nigerian film which has been shot both in Kenya and Nigeria! Huddah has given her career in... 00:30
Huddah Monroe exposed skin in her role in a Nigerian film which has been shot both in Kenya and Nigeria!
Huddah has given her career in acting a major boost featuring in a film starring Nollywood heavyweight Mike Ezuruonye.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Subscribe to:
Posts (Atom)