June 10, 2014
BRAZUKA: Yanayojiri nchini Brazil siku mbili kabla ya Kombe la dunia kuanza
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Kilichotokea baada ya Beckham kuwaalika Zidane, Lucas Moura na Bale nyumbani kwake hiki hapa
Kilichotokea baada ya Beckham kuwaalika Zidane, Lucas Moura na Bale nyumbani kwake hiki hapa
Unadhani nini kitatokea pale magwiji wa soka duniani kama David Beckham na Zinedine Zidane wanapokaa na wadogo zao Lucas Moura na Gareth ... 17:40SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
EXPOSED!!!!..Sexy Photo za Nagris Mohamed....She is Still Hot!!
EXPOSED!!!!..Sexy Photo za Nagris Mohamed....She is Still Hot!!
Huyu ni Miss Tanzania namba tatu 2003/04, Nargis Mohamed, kwa sasa ni mfanyakazi katika BANK flani na ni mama wa mtoto mmoja....Unakumbuk... 17:38SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
KUPITIA PICHA HII UTAWEZA KUMWONA BABA MZAZI WA DIAMOND AKIWA NA WEMA SEPETU
KUPITIA PICHA HII UTAWEZA KUMWONA BABA MZAZI WA DIAMOND AKIWA NA WEMA SEPETU
Ukitaka kujua kwamba Diamond na Wema Sepetu wametoka mballi na sababu ya kutokuachana kwako hadi leo utaipata hapa kupitia pichahii itaweza... 17:34Ukitaka kujua kwamba Diamond na Wema Sepetu wametoka mballi na sababu ya kutokuachana kwako hadi leo utaipata hapa kupitia pichahii itaweza kukuonyesha kuwa Diamond Platnumz na
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Hii ndiyo Cover ya ngoma mpya ‘Hawajui’ kutoka kwa Vanessa Mdee
Hii ndiyo Cover ya ngoma mpya ‘Hawajui’ kutoka kwa Vanessa Mdee
Mapema leo kupitia page yake ya Instagram Vanessa Mdee amepost cover la ngoma yake mpya inayokwenda kwa jina la ‘Hawajui’ ngoma hiyo inay... 17:31
Mapema leo kupitia page yake ya Instagram Vanessa Mdee amepost cover la ngoma yake mpya inayokwenda kwa jina la ‘Hawajui’ ngoma hiyo inayotarajiwa kutoka June 13
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
ONA THE GATHERING OF WAKAREEZ LIVE NOW AT DOUBLE TREE HOTEL AT UPTOWN BONGO MASAKI LIVE!!!
ONA THE GATHERING OF WAKAREEZ LIVE NOW AT DOUBLE TREE HOTEL AT UPTOWN BONGO MASAKI LIVE!!!
Tanzania Farmer Poll & Do Agric Petition Launch at Doubletree by Hilton A.Y,Prof. JAY&M.Mpoto. 17:30SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
NEY WA MITEGO AJINUNULIA GARI MWENYEWE KAMA ZAWADI YA SIKU YA KUZALIWA KWAKE
NEY WA MITEGO AJINUNULIA GARI MWENYEWE KAMA ZAWADI YA SIKU YA KUZALIWA KWAKE
Jana ilikuwa ni Siku ya Kuzaliwa kwa Mwanamuziki Ney wa Mitego na aliamua kufanya sherehe kwa mara ya kwanza kusherehekea siku hiyo kwa... 14:55SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
NJIA SABA (7) ZA UHAKIKA ZA KUPATA AJIRA HIZI HAPA
NJIA SABA (7) ZA UHAKIKA ZA KUPATA AJIRA HIZI HAPA
Kupata nafasi za ajira imekuwa ngumu siku hadi siku, hususani ukitilia maanani kuwa wahitimu wanazidi kuwa wengi na hali ngumu ya uchu... 13:11SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Vera Sidika Azungumza na Al-Jazeera
Vera Sidika Azungumza na Al-Jazeera
Baada ya Ku TREND sana mitandaoni hapa AFRIKA mwana dada VERA SIDIKA sasa atapata kujulikana kimataifa zaidi...hii ni baada ya kupata ... 13:08
Baada ya Ku TREND sana mitandaoni hapa AFRIKA mwana dadaVERA SIDIKA sasa atapata kujulikana kimataifa zaidi...hii ni baada ya kupata nafasi ya kufanyiwa INTAVYUU na moja kati ya
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
VIDEO: Shuhudia Shilole Akikunjwa ile mbaya......Ameanza GYM
VIDEO: Shuhudia Shilole Akikunjwa ile mbaya......Ameanza GYM
Mwana mama msanii machachali hapa nchini, SHILOLE aka SHISH BABY kwasasa ameanza 13:07SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
CHECKI VIDEO ILIYOJAA HUBA UKIINGIA HUTATAKA USITOKE
CHECKI VIDEO ILIYOJAA HUBA UKIINGIA HUTATAKA USITOKE
hii ni hatari sana kwa roha zake toto linajiachia kama nini no shida wala nini. 13:00hii ni hatari sana kwa roha zake toto linajiachia kama nini no shida wala nini.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
XCLUSIV VIDEO: TAZAMA VIDEO MPYA YA NICKI MINAJ - PILLS N POTIONS
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Kapombe Transfer Saga
Kapombe Transfer Saga
Taifa Stars’ defender, Shomari Kapombe transfer is sure to go down as one of the most controversial dealings for many past and future s... 12:57
Taifa Stars’ defender, Shomari Kapombe transfer is sure to go down as one of the most controversial dealings for many past and future seasons. His overseas trials and eventual transfer to France fourth division side, AS Cannes was shrouded in more mysteries than the Bermuda Triangle.
After one of the shortest overseas spell that would perhaps be better entered as a footnote in his career CV, Kapombe is set to return to the local league.
After one of the shortest overseas spell that would perhaps be better entered as a footnote in his career CV, Kapombe is set to return to the local league.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
LOL PENNY NAYE ANAMAMBO I KITOTO ETI ANADAI HII, NDIYO DAWA YA KURUDIANA NA DIAMOND,KAMA HUJAIJUA SOMA ZAID HAPA
LOL PENNY NAYE ANAMAMBO I KITOTO ETI ANADAI HII, NDIYO DAWA YA KURUDIANA NA DIAMOND,KAMA HUJAIJUA SOMA ZAID HAPA
LOL MANENO ya watu bhana eti wanadai penny siku hizi anapost picha kali, na anaonekana mwenye kujipenda na kwa msafii 10:00SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
PICHA 17 ZA DIAMOND HAPA SOUTH AFRICA JINSI ILIVYOKUA AKIREKODI KOLABO NA MAFIKIZOLO JUNE 9 2014
PICHA 17 ZA DIAMOND HAPA SOUTH AFRICA JINSI ILIVYOKUA AKIREKODI KOLABO NA MAFIKIZOLO JUNE 9 2014
Hapa ni kwenye gari safari ya kuelekea studio ndio inaanza, Mameneja Bab Tale kushoto na Salam kulia pembeni na Diamond Hatimae mp... 09:53
Hatimae mpango wa Mafikizolo wa South Africa ambao ni mastaa wa hit single ya ‘khona’ waliochukua tuzo mbili kwenye MTV Africamusic awards 2014 kufanya kolabo na Diamond umefanikiwa kwenye usiku wa June 9 2014.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
UVUMILIVU UMEMSHINDA NANDO, AFUNGUKA KUHUSU STORI ZILIZO SAMBAA KUWA ANA MAHUSIANO YA KIMAPENZI NA LULU MICHAEL
UVUMILIVU UMEMSHINDA NANDO, AFUNGUKA KUHUSU STORI ZILIZO SAMBAA KUWA ANA MAHUSIANO YA KIMAPENZI NA LULU MICHAEL
Mshiriki wa shindano la Big Brother Africa (the chase) 2013, Amir Nando ameweka wazi kuwa hajawai kuwa na uhusiano ya kimapenzi na mwana... 09:52
Mshiriki wa shindano la Big Brother Africa (the chase) 2013, Amir Nando ameweka wazi kuwa hajawai kuwa na uhusiano ya kimapenzi na mwanadada wa filamu, Elizabeth Micheal aka Lulu, lakini anakubali sana.
Akizungumza na Global Tv ,Nando amezungumzia pia mipango yake ya kufanya filamu na mwanadada huyo wa filamu.
Akizungumza na Global Tv ,Nando amezungumzia pia mipango yake ya kufanya filamu na mwanadada huyo wa filamu.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
BAADA YA KASHFA YA UBAGUZI BIEBER SASA AMRUDIA MUNGU
BAADA YA KASHFA YA UBAGUZI BIEBER SASA AMRUDIA MUNGU
Msanii maarufu nchini marekani na duniani kwa ujumla 'Justin Bieber' amekuwa mtu wa matukio sana na kutengeneza "he... 09:44SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
IMEBAINIKA KUWA DAR NDIO MKOA GHALI KULIKO YOTE TANZANIA
IMEBAINIKA KUWA DAR NDIO MKOA GHALI KULIKO YOTE TANZANIA
WAKATI Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka Dar es Salaam (Dart) awamu ya kwanza, unapanga kuongeza nauli za daladala kwa wakazi wa Dar es ... 09:44
WAKATI Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka
Dar es Salaam (Dart) awamu ya kwanza,
unapanga kuongeza nauli za daladala kwa
wakazi wa Dar es Salaam ili kukabiliana na
tatizo sugu la foleni, taarifa ya matumizi ya
kaya binafsi Tanzania Bara, zimeonesha
kuwa Mkoa wa Dar es Salaam, ndio mahali
ghali zaidi nchini.
Dar es Salaam (Dart) awamu ya kwanza,
unapanga kuongeza nauli za daladala kwa
wakazi wa Dar es Salaam ili kukabiliana na
tatizo sugu la foleni, taarifa ya matumizi ya
kaya binafsi Tanzania Bara, zimeonesha
kuwa Mkoa wa Dar es Salaam, ndio mahali
ghali zaidi nchini.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MILLIONI 300 ZAREJESHA HESHIMA SIMBA
MILLIONI 300 ZAREJESHA HESHIMA SIMBA
SIMBA inanunua wachezaji wawili tu wapya wa kigeni, lakini bajeti yake ya usajili mzima wa kikosi ni Sh300 milioni. Fungu hilo limeten... 09:43
SIMBA inanunua wachezaji wawili tu
wapya wa kigeni, lakini bajeti yake ya
usajili mzima wa kikosi ni Sh300 milioni.
Fungu hilo limetengwa na kundi
maarufu la Friends of Simba ambalo
Mwanaspoti linajua kwamba
wanamsapoti Evans Aveva kwenye
nafasi ya urais katika uchaguzi ujao wa
Juni 29.
wapya wa kigeni, lakini bajeti yake ya
usajili mzima wa kikosi ni Sh300 milioni.
Fungu hilo limetengwa na kundi
maarufu la Friends of Simba ambalo
Mwanaspoti linajua kwamba
wanamsapoti Evans Aveva kwenye
nafasi ya urais katika uchaguzi ujao wa
Juni 29.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MAFIKI ZOLO WAMKUBALI DIAMOND KWENYE KUIMBA
MAFIKI ZOLO WAMKUBALI DIAMOND KWENYE KUIMBA
Hatimae mpango wa Mafikizolo wa South Africa ambao ni mastaa wa hit single ya 'khona' waliochukua tuzo mbili kwenye MTV Africa... 09:42
Hatimae mpango wa Mafikizolo wa South
Africa ambao ni mastaa wa hit single ya
'khona' waliochukua tuzo mbili kwenye MTV
Africa music awards 2014 kufanya kolabo
na Diamond umefanikiwa kwenye usiku wa
June 9 2014.
Africa ambao ni mastaa wa hit single ya
'khona' waliochukua tuzo mbili kwenye MTV
Africa music awards 2014 kufanya kolabo
na Diamond umefanikiwa kwenye usiku wa
June 9 2014.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
XCLUSIV VIDEO: TAZAMA WIMBO WA DJ XCLUSIV ft WIzKID - JE JE
XCLUSIV VIDEO: TAZAMA WIMBO WA DJ XCLUSIV ft WIzKID - JE JE
DJ Xclusive ameachia video mpya ya single yake inayoitwa “Jeje” akiwa amemshirikisha Wizkid. Wimbo umetengenezwa na MasterKraft... 09:41SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
G-UNIT WARUDI TENA WAFANYA SHOW KALI SUMMER JAM 2014 NEW YORK CITY
G-UNIT WARUDI TENA WAFANYA SHOW KALI SUMMER JAM 2014 NEW YORK CITY
After a 10 years ban, 50 Cent was back headlining this year Hot 97′s Summer Jam in NYC! G-Unit reunited on stage as Lloyd Banks, Tony Yay... 09:38After a 10 years ban, 50 Cent was back headlining this year Hot 97′s Summer Jam in NYC! G-Unit reunited on stage as Lloyd Banks, Tony Yayo and Young Buck came out during
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
TEASER YA WIMBO MPYA WA ALIKBA ... SIKILIZA HAPA
TEASER YA WIMBO MPYA WA ALIKBA ... SIKILIZA HAPA
Huenda huu ukawa ndio ujio mpya wa Alikiba baada ya kuwa kimya kwa muda mrefu. 09:37SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MZEE SMALL AZIKWA, AACHA LAANA KWA NINI KAACHA LAANA NA KAWAACHIA AKINA NANI? SOMA HAPA
MZEE SMALL AZIKWA, AACHA LAANA KWA NINI KAACHA LAANA NA KAWAACHIA AKINA NANI? SOMA HAPA
Ustadhi akimuombea marehemu dua ya mwisho baada ya kuuhifadhi mwili wake kaburini. Stori: MWANDISHI WETU HATIMAYE aliyekuwa nguli wa sa... 09:28Ustadhi akimuombea marehemu dua ya mwisho baada ya kuuhifadhi mwili wake kaburini.
Stori: MWANDISHI WETU
HATIMAYE aliyekuwa nguli wa sanaa za maigizo Bongo, Said Ngamba ‘Mzee Small’ amezikwa jana katika Makaburi ya Tabata-Segerea jijini Dar es Salaam huku akiacha laana kwa tasnia ya maigizo.
Mzee Small alifariki dunia usiku wa kuamkia Jumapili kwenye Hospitali
HATIMAYE aliyekuwa nguli wa sanaa za maigizo Bongo, Said Ngamba ‘Mzee Small’ amezikwa jana katika Makaburi ya Tabata-Segerea jijini Dar es Salaam huku akiacha laana kwa tasnia ya maigizo.
Mzee Small alifariki dunia usiku wa kuamkia Jumapili kwenye Hospitali
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MUME WA FLORA MBASHA ALIA NA GWAJIMA: ASEMA MAZITO "GWAJIMA NIACHIE MKE WANGU" ... SOMA SAKATA HILI LILIPOFIKIA
MUME WA FLORA MBASHA ALIA NA GWAJIMA: ASEMA MAZITO "GWAJIMA NIACHIE MKE WANGU" ... SOMA SAKATA HILI LILIPOFIKIA
MUME wa mwimba Injili Bongo, Flora Mbasha anayedaiwa kumbaka binti wa miaka 17 (jina lipo), Emmanuel Mbasha ameibuka mzimamzima na kumt... 09:27MUME wa mwimba Injili Bongo, Flora Mbasha anayedaiwa kumbaka binti wa miaka 17 (jina lipo), Emmanuel Mbasha ameibuka mzimamzima na kumtaka Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Uzima na Ufufuo la jijini Dar, Josephat Gwajima amuachie mke wake, yaani Flora.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
BALAA: ANG'ATWA NA BOSS WAKE KISA KUTOA SIRI ZOTE .... SOMA MAMBO HAYA
BALAA: ANG'ATWA NA BOSS WAKE KISA KUTOA SIRI ZOTE .... SOMA MAMBO HAYA
NYUMAya pazia! Yule msichana Yusta Lucas (20) mwenyeji wa Mkoa wa Tabora ambaye alifika jijini Dar kufanya kazi ya u-hausigeli na kufanyi... 09:25
NYUMAya pazia! Yule msichana Yusta Lucas (20) mwenyeji wa Mkoa wa Tabora ambaye alifika jijini Dar kufanya kazi ya u-hausigeli na kufanyiwa ukatili wa kutisha na bosi wake kisha habari zake kuandikwa, ametoa siri nzito, Uwazi limemegewa.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
PROFFESOR AZUNGUMZIA DIAMOND KUKOSA TUZO MTV, NA UJIO WA VIDEO YA ‘KIPI SIJASIKA’
PROFFESOR AZUNGUMZIA DIAMOND KUKOSA TUZO MTV, NA UJIO WA VIDEO YA ‘KIPI SIJASIKA’
Msanii mkongwe wa Hip Hop Proffesor Jay amesema kuwa kushindwa kwa Diamond kuchukuwa tuzo za MTV kusimvunje moyo kwakuwa alikuwa ... 05:19
Msanii mkongwe wa Hip Hop Proffesor Jay amesema kuwa kushindwa kwa Diamond kuchukuwa tuzo za MTV kusimvunje moyo kwakuwa alikuwa anashindana na wasanii wakubwa sana Africa.
Akizungumza na bongo5 leo ,Proffesor Jay amesema kuwa nafasi aliyopata Diamond na kushindana na wasanii hayo ni ushindi mkubwa wake.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
New audio | Stamina, Leo & Deddy - Lango la Jiji_-By JOE MUSIC
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
HICHI NDICHO KILICHOSEMWA BUNGENI JUU YA PICHA CHAFU ZINAZOSAMBAZWA MITANDAONI ZA WATU MAARUFU
HICHI NDICHO KILICHOSEMWA BUNGENI JUU YA PICHA CHAFU ZINAZOSAMBAZWA MITANDAONI ZA WATU MAARUFU
Sakata la kusambaa picha zisizokuwa na maadili mitandaoni zikiwemo za watu maarufu hapa nchini leo limezungumziwa tena katika bunge la Ta... 04:39Sakata la kusambaa picha zisizokuwa na maadili mitandaoni zikiwemo za watu maarufu hapa nchini leo limezungumziwa tena katika bunge la Tanzania Dodoma |
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
SABABU KWANINI JENIFFER LOPEZ HATOPAFOMU KWENYE UFUNGUZI WA KOMBE LA DUNIA
SABABU KWANINI JENIFFER LOPEZ HATOPAFOMU KWENYE UFUNGUZI WA KOMBE LA DUNIA
Michuano ya kombe la dunia inatarajiwa kuanza siku ya alhamisi wiki hii nchini Brazil kwa ufunguzi wa mechi kati ya wenyeji Brazil dhidi ya... 04:37Michuano ya kombe la dunia inatarajiwa kuanza siku ya alhamisi wiki hii nchini Brazil kwa ufunguzi wa mechi kati ya wenyeji Brazil dhidi ya Croatia, lakini kama ilivyo kawaida kabla ya mechi husika ya ufunguzi kunakuwepo na sherehe za ufunguzi
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Tuache Utani Penny Ni WAIFU MATIRIO kuliko MADAME
Tuache Utani Penny Ni WAIFU MATIRIO kuliko MADAME
Amakweli mapenzi yananguvu zaidi ya BREKI DAUNI....Mara kadhaa Bwana mdogo Diamond mara baada ya KUMPIGA CHINI Wema Wa Sepetu...kwenye... 04:31SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
KANTANGAZEE!! ISHU NZIMA YA KAKA YETU DIAMOND KUMWOA WEMA IPO WAZ KABISAA!! HABARI ZAID SOMA WARAKA HUU
KANTANGAZEE!! ISHU NZIMA YA KAKA YETU DIAMOND KUMWOA WEMA IPO WAZ KABISAA!! HABARI ZAID SOMA WARAKA HUU
Dear Diamond Najua uko busy sana ma Chanell za pesa pamoja na Show za Music rejea ujumbe hapo juu huyo 04:27SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Subscribe to:
Posts (Atom)