Klabu za jijini London nchini England, Chelsea na Arsenal zimeanza kuonyesha makeke ya kuihitaji saini ya kiungo wa mabingwa wa soka wa EPL, Leicestter City, N’golo Kante.
May 04, 2016
ROMA ATAANZA KUIMBA KUHUSU ‘BATA’ NA ‘MAPENZI’ MARA BAADA YA KUPATA HILI.
ROMA ATAANZA KUIMBA KUHUSU ‘BATA’ NA ‘MAPENZI’ MARA BAADA YA KUPATA HILI.
Msanii wa Hiphop Roma amefunguka kuhusu ujumbe kwenye nyimbo zake na kusema ataendelea kuimba nyimbo hizi mpaka atakapo pata uongozi na u... 21:30
Msanii wa Hiphop Roma amefunguka kuhusu ujumbe kwenye nyimbo zake na kusema ataendelea kuimba nyimbo hizi mpaka atakapo pata uongozi na utawala utakao badilisha
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
HII NDIO LIST YA WASANII WA HIP HOP WENYE PESA NYINGI DUNIANI, DRAKE AMEMNG’OA 50 CENTS KWENYE ORODHA.
HII NDIO LIST YA WASANII WA HIP HOP WENYE PESA NYINGI DUNIANI, DRAKE AMEMNG’OA 50 CENTS KWENYE ORODHA.
Rapper kutoka Canada aliye chini ya lebo ya Young Money, Drake, ameingia kwenye list ya wasanii ya wasanii wa Hip Hop wenye mkwanja wa ku... 21:30
Rapper kutoka Canada aliye chini ya lebo ya Young Money, Drake, ameingia kwenye list ya wasanii ya wasanii wa Hip Hop wenye mkwanja wa kutosha Duniani mwaka 2016 huku akimtoa rapper 50 Cents kwenye namba 4 katika orodha hiyo akiwa
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
FA HUENDA WAKAMFUNGIA MOUSA DEMBELE
FA HUENDA WAKAMFUNGIA MOUSA DEMBELE
Kiungo kutoka nchini Ubelgiji na klabu ya Tottenham Hotspurs, Mousa Dembele yupo hatarini kufungiwa michezo kumi (10) na chama cha soka n... 20:30
Kiungo kutoka nchini Ubelgiji na klabu ya Tottenham Hotspurs, Mousa Dembele yupo hatarini kufungiwa michezo kumi (10) na chama cha soka nchini England FA, endapo itathibithika alimfanyia utovu wa nidhamu kwa makusudi mshambuliaji wa
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
LINAH:SIAMINI MAFANIKIO YA WASANII WA KIKE NCHINI YANATOKANA NA RUSHWA YA NGONO,BALI NI UBORA WA KAZI ZAO
LINAH:SIAMINI MAFANIKIO YA WASANII WA KIKE NCHINI YANATOKANA NA RUSHWA YA NGONO,BALI NI UBORA WA KAZI ZAO
Linah Sanga amewataja wasanii wenzake wa kike hapa nchini kuongeza juhudi katika kazi zao na kutumia vizuri vipaji walivyojaliwa na Mungu... 20:30
Linah Sanga amewataja wasanii wenzake wa kike hapa nchini kuongeza juhudi katika kazi zao na kutumia vizuri vipaji walivyojaliwa na Mungu ili kuepuka thumb za rucha ya
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
GUUS HIDDINK: NILIKATAA KUAJIRIWA NA LEICESTER CITY
GUUS HIDDINK: NILIKATAA KUAJIRIWA NA LEICESTER CITY
Meneja wa muda wa klabu ya Chelsea, Guus Hiddink amesema kabla ya Leicester City kumchukua Claudio Ranieri ilimwomba awe meneja wa klabu ... 20:30
Meneja wa muda wa klabu ya Chelsea, Guus Hiddink amesema kabla ya Leicester City kumchukua Claudio Ranieri ilimwomba awe meneja wa klabu hiyo ambayo imefanikiwa
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
CRISTIANO RONALDO KUWAKABILI MAN CITY
CRISTIANO RONALDO KUWAKABILI MAN CITY
Kitengo cha utatibu cha klabu ya Real Madrid, kimemthibitishia meneja wa klabu hiyo Zinedine Zidane, kuwa anaweza kumtumia mshambuliaji k... 19:00
Kitengo cha utatibu cha klabu ya Real Madrid, kimemthibitishia meneja wa klabu hiyo Zinedine Zidane, kuwa anaweza kumtumia mshambuliaji kutoka nchini Ureno Cristiano Ronaldo katika mchezo wa hii leo, ambao utaamua hatma yao ya kutinga
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MAMBO Yanayoshusha Thamani ya Mwanaume Mbele ya Mwanamke
MAMBO Yanayoshusha Thamani ya Mwanaume Mbele ya Mwanamke
Katika uhusiano baina ya mume na mke hutokea mambo mbalimbali yanayoimarisha uhusiano baina yao au kuuharibu. Baadhi ya nyakati mwanaume ... 19:00
Katika uhusiano baina ya mume na mke hutokea mambo mbalimbali yanayoimarisha uhusiano baina yao au kuuharibu. Baadhi ya nyakati mwanaume hufanya baadhi ya mambo yanayomshusha thamani mbele ya mwanamke.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
VIDEO ya Chura ya Snura Yawa Gumzo Marekani!
VIDEO ya Chura ya Snura Yawa Gumzo Marekani!
Chura wa Snura anazidi kusambaa duniani kwa kasi. Clip zinazowaonesha wanawake watatu wakipika chakula huku wakitikisa mizigo yao kwa kuu... 19:00
Chura wa Snura anazidi kusambaa duniani kwa kasi. Clip zinazowaonesha wanawake watatu wakipika chakula huku wakitikisa mizigo yao kwa kuucheza wimbo huo maarufu haijashia kutrend Afrika tu bali hadi Marekani.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Shilole Amefunguka "Mimi ni Mwanamke Mzuri Sana Hamna Anayebisha" Ipo Hapa
Shilole Amefunguka "Mimi ni Mwanamke Mzuri Sana Hamna Anayebisha" Ipo Hapa
Shilole amejigamba kwa kudai kuwa hakuna msanii mzuri kama yeye, kwani ana uzuri wa asili bila vipodozi. 17:30SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
‘Ujasiri Wa Kukopa Ndio Utakaoboresha Biashara na Maisha Yako’
‘Ujasiri Wa Kukopa Ndio Utakaoboresha Biashara na Maisha Yako’
TAKWIMU zinaonesha kuwa Watanzania wengi hawaendi kukopa benki licha ya kuwapo kwa fursa hiyo. 17:30
TAKWIMU zinaonesha kuwa Watanzania wengi hawaendi kukopa benki licha ya kuwapo kwa fursa hiyo.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Picha: Jacqueline Wolper Aonyesha Kuwa Ni Mjamzito Na Anatarajia Kupata Mtoto Wa Kike
Picha: Jacqueline Wolper Aonyesha Kuwa Ni Mjamzito Na Anatarajia Kupata Mtoto Wa Kike
Staa wa filamu hapa nchini, Jacqueline Wolper ameanika wazi kupitia mtandao wa Instagram kuwa kwa sasa yeye ni mjamzito na 17:30SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
DIVA: Nyimbo zangu zinabaniwa sana kupigwa Redioni
DIVA: Nyimbo zangu zinabaniwa sana kupigwa Redioni
Mtangazaji wa Clouds FM, Diva amesema nyimbo zake pamoja na za mtangazaji mwenzake, Adam Mchomvu zinabaniwa na redio zingine, kitu ambacho ... 16:47SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
NICKI MINAJ Kamchagua yupi Kati ya Meek Mill na Drake? Jibu Liko Hapa
NICKI MINAJ Kamchagua yupi Kati ya Meek Mill na Drake? Jibu Liko Hapa
Rapa Nicki Minaj amefikia wakati mgumu kwenye maisha yake kwenye kuchagua kuwasiliana na hasimu wa mpenzi wake ambaye ni Drake au kukata ... 16:47
Rapa Nicki Minaj amefikia wakati mgumu kwenye maisha yake kwenye kuchagua kuwasiliana na hasimu wa mpenzi wake ambaye ni Drake au kukata mawasiliano naye kabisa
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Jeuri ya Pesa: Bondia Floyd MayWeather Achoma Dola Hadharani
Jeuri ya Pesa: Bondia Floyd MayWeather Achoma Dola Hadharani
Bondia mwenye jeuri ya pesa Mayweather amechoma pesa hadharani $100 kwa kiberiti,mbele ya wapqmbe wake huku akishangiliwa na wapambe 16:46
Bondia mwenye jeuri ya pesa Mayweather amechoma pesa hadharani $100 kwa kiberiti,mbele ya wapqmbe wake huku akishangiliwa na wapambe
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
PICHAZ 6: Chelsea wametoa jezi za msimu mpya, kuivaa utahitajika kutoa zaidi ya Tsh laki 2
PICHAZ 6: Chelsea wametoa jezi za msimu mpya, kuivaa utahitajika kutoa zaidi ya Tsh laki 2
Baada ya jezi za msimu ujao wa 2016/2017 kwa baadhi ya timu kuonekana zikivuja katika mtandao wa 101greatgoals.com leo May 4 2016 klabu y... 16:46
Baada ya jezi za msimu ujao wa 2016/2017 kwa baadhi ya timu kuonekana zikivuja katika mtandao wa 101greatgoals.com leo May 4 2016 klabu ya Chelsea ya Uingereza
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
VIDEO: TOP 10 ya penati bora kuwahi kupigwa katika soka
VIDEO: TOP 10 ya penati bora kuwahi kupigwa katika soka
Kwa mujibu wa wachambuzi wa soka duniani, mpira wa penati kabla ya kupigwa, mpigaji huwa anatajwa kupewa asilimia 75 za mpira atakaoupiga... 16:45
Kwa mujibu wa wachambuzi wa soka duniani, mpira wa penati kabla ya kupigwa, mpigaji huwa anatajwa kupewa asilimia 75 za mpira atakaoupiga golini utaingia wavuni,
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
KANYE WEST NA KIM KARDASHIAN WAVAA NGUO ZA AJABU JIONEE
KANYE WEST NA KIM KARDASHIAN WAVAA NGUO ZA AJABU JIONEE
Kim Kardashian amevaa kama ‘Blingy Sexy Robot’ kwenye pati ya Met Gala huku mume wake Kanye West akivaa Jeans iliyochwanwa na na machoni ... 09:30
Kim Kardashian amevaa kama ‘Blingy Sexy Robot’ kwenye pati ya Met Gala huku mume wake Kanye West akivaa Jeans iliyochwanwa na na machoni akiweka Contacts za Blue.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Mambo 10 muhimu ya kufahamu kuhusu Mabingwa wapya wa EPL Leicester City
Mambo 10 muhimu ya kufahamu kuhusu Mabingwa wapya wa EPL Leicester City
Usiku wa Mei 2 2016 ndio ulikuwa usiku wa kihistoria kwa klabu ya Leicester City toka ianzishwe miaka 132 iliyopita, huenda unafahamu kam... 08:09
Usiku wa Mei 2 2016 ndio ulikuwa usiku wa kihistoria kwa klabu ya Leicester City toka ianzishwe miaka 132 iliyopita, huenda unafahamu kama Leicester wametwaa Ubingwa
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
VIDEO: FC Bayern Munich bye bye Ligi ya Mabingwa Ulaya
VIDEO: FC Bayern Munich bye bye Ligi ya Mabingwa Ulaya
Mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Ulaya kati ya klabu ya FC Bayern Minichdhidi ya Atletico Madrid umechezwa usiku wa Mei 3 2016 kat... 08:08
Mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Ulaya kati ya klabu ya FC Bayern Minichdhidi ya Atletico Madrid umechezwa usiku wa Mei 3 2016 katika uwanja wa Alianz Arena Ujerumani,
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Louis van Gaal kasema yeye ni moja ya makocha bora duniani, hizi ndio comment alizokutana nazo
Louis van Gaal kasema yeye ni moja ya makocha bora duniani, hizi ndio comment alizokutana nazo
Kocha wa klabu ya Man United ya Uingereza Louis van Gaal huenda ndio akawa kocha ambaye yupo katika wakati mgumu kwa sasa kuliko kocha yo... 08:07
Kocha wa klabu ya Man United ya Uingereza Louis van Gaal huenda ndio akawa kocha ambaye yupo katika wakati mgumu kwa sasa kuliko kocha yoyote Uingereza, Louis van
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Nchi 25 zinazoongoza kwa ajali barabarani, Afrika Mashariki imetajwa nchi moja
Nchi 25 zinazoongoza kwa ajali barabarani, Afrika Mashariki imetajwa nchi moja
Mtu wangu wa nguvu moja kati ya vifaa hatari kutumia duniani ni vyombo vya usafiri, ndio maana mara zote tumekuwa tukishauriwa kutumia vi... 08:07
Mtu wangu wa nguvu moja kati ya vifaa hatari kutumia duniani ni vyombo vya usafiri, ndio maana mara zote tumekuwa tukishauriwa kutumia vifaa hivyo wakati ambapo
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
VIDEO: Mashambulizi 50 bora yaliowahi kufanikiwa kuokolewa golini na magolikipa
VIDEO: Mashambulizi 50 bora yaliowahi kufanikiwa kuokolewa golini na magolikipa
Kuna baadhi ya matukio au mashambulizi katika soka wakati yanatokea kwa asilimia 75 unaweza kutabiri mpira utaingia nyavuni na kuwa goli... 08:06
Kuna baadhi ya matukio au mashambulizi katika soka wakati yanatokea kwa asilimia 75 unaweza kutabiri mpira utaingia nyavuni na kuwa goli kuliko uwezekano wa
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MAMBO 10 YA AJABU YALIYOIZIDI KETE LEICESTER CITY KUSHINDA EPL
MAMBO 10 YA AJABU YALIYOIZIDI KETE LEICESTER CITY KUSHINDA EPL
Klabu ya Leicester City imeshinda taji la Ligi Kuu ya soka nchini England , ahalia mbayo haikutarajiwa na wengi kutokana na mwanzoni mwa ... 03:00
Klabu ya Leicester City imeshinda taji la Ligi Kuu ya soka nchini England , ahalia mbayo haikutarajiwa na wengi kutokana na mwanzoni mwa msimu huu, mashabiki wengi walionyesha kutoifikiria klabu hiyo.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
DAVID DE GEA N]A CHRIS SMALLING WAFUNIKA TUZO ZA MAN UTD
DAVID DE GEA N]A CHRIS SMALLING WAFUNIKA TUZO ZA MAN UTD
Wachezaji wawili wa Manchester United, David de Gea na Chris Smalling wameng’ara katika tuzo za msimu za klabu hiyo inayofundishwa na Lo... 03:00
Wachezaji wawili wa Manchester United, David de Gea na Chris Smalling wameng’ara katika tuzo za msimu za klabu hiyo inayofundishwa na Louis van Gaal.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Bora Ukimwi Kuliko Kutumia Dawa za Kulevya-Ferooz
Bora Ukimwi Kuliko Kutumia Dawa za Kulevya-Ferooz
Msanii wa kizazi kipya Ferooz amefunguka na kusema ni bora mtu apate virus vya Ukimwi kuliko kutumia madawa ya kulevya kwani anadai mtu aki... 01:00SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Mabusu ya Gigy Money kwa Idris Yazua Gumzo Mtandaoni (Picha)
Mabusu ya Gigy Money kwa Idris Yazua Gumzo Mtandaoni (Picha)
Picha zinazomuonesha Gigy Money wakati akimpiga mabusu Idris Sultan wakiwa katika show ya Pool Party iliyofanyika Ijumaa iliyopita katika... 01:00
Picha zinazomuonesha Gigy Money wakati akimpiga mabusu Idris Sultan wakiwa katika show ya Pool Party iliyofanyika Ijumaa iliyopita katika hotel ya Regency Park jijini Dar es salaam, zinawatoa povu mashabiki wa Wema Sepetu.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Subscribe to:
Posts (Atom)