April 15, 2014
MTIKILA "WAKATI WA KUDANGANYANA KUHUSU MUUNGANO SASA UMEKWISHA"
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
SOMA BAADHI YA MIPASHO NDANI YA BUNGE LA KATIBA
SOMA BAADHI YA MIPASHO NDANI YA BUNGE LA KATIBA
KUSIKIA MIPASHO NDANI YA BUNGE LA KATIBA JANA (14/4/2014)? KAMA ULIKOSA SOMA HAPA USOME BAADHI YA MIPASHO ILIYOJILI..... 17:29SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
KABLA GURUMO HAJAFARIKI ALIMWANDIKIA DIAMOND WIMBO KAMA ZAWADI
KABLA GURUMO HAJAFARIKI ALIMWANDIKIA DIAMOND WIMBO KAMA ZAWADI
Star wa Bongo fleva Diamond Platnumz amesema kuwa siku chache kabla mwanamuziki mkongwe wa muziki wa dansi Maalim Muhidin Gurumo hajaag... 17:27Diamond alimzawadia mzee Gurumo gari mpya mwaka jana wakati wa uzinduzi wa video yake ya ‘Number 1’.
Platnumz amesema meneja wake Babu Tale alimpa taarifa hiyo njema ya kuandikiwa wimbo na Gurumo lakini kwa bahati mbaya mzee Gurumo alifariki kabla hajamkabidhi wimbo huo.
“Juzi kampigia simu Tale akamwambia kuna nyimbo nimemtengenezea Diamond kwasababu kwa alichonifanyia mimi nimeshukuru sana cha kumlipa mimi sina lakini nimemuandikia nyimbo” amesema Platnumz kupitia 255 ya XXL ya Clouds Fm.
“so alikuwa anamwambia Tale kama ameniandikia nyimbo, so angependa anipatie nikamwambia sawa. Kama siku tatu hivi nyuma, jana ndio nasikia taarifa hizi so najiona kama nimechanganyikiwa hivi.”
Platnumz ameongeza kuwa mara ya mwisho kuonana na Gurumo ilikuwa ni takribani wiki tatu zilizopita baada ya mwimbaji huyo mkongwe kumsurprise kwa kuhudhuria katika show aliyokuwa anatumbuiza Diamond kwa lengo la kutaka kumwona na kumshukuru kwa zawadi ya gari aliyompatia.
“Mara ya mwisho kukutna naye nilikuwa nafanya show Coco akaja maskini ya Mungu mpaka kwenye show…kama wiki moja nyuma kama sikosei au wiki mbili. Akaja akasema nimekuja hapa kukuona, alipenyapenya hadi akaweza kufika pale…nilivyomuona anakuja ilibidi pale nikatishe show nikamsalimia kidogo halafu nikaendelea na show, halafu baadae nikawa niko nae backstage na nini nikazungumza nae.So akasema nimekuja kukushukuru sana sana sana, akasema ningependa uje nyumbani nikamwambia sawa.”Amesema Diamond.
Mwili wa marehemu mzee Gurumo umepelekwa kijijini kwake Masaki, wilaya ya Kisarawe mkoa wa Pwani kwaajili ya mazishi yanayofanyika leo.
Bongo5
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
KUFURU:MAPOLISI DUBAI HUTUMIA LAMBORGINI NA FERRARI KUFANYA DORIA
KUFURU:MAPOLISI DUBAI HUTUMIA LAMBORGINI NA FERRARI KUFANYA DORIA
Amini usiamini brand za magari zilizojaa katika garage ya polisi ya Dubai ni Lamborgini, McLaren MP4-12C, Aston Martin, Ferrari, Bentl... 17:25SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MAKALIO YA MWALIMU WA SEKONDARI YASABAISHA WANAFUNZI WA KIUME KUSHINDWA KUSOMA WAZAZI WAOMBA AONDOLEWE ILI KUWANUSURU WANAFUNZI HAO
MAKALIO YA MWALIMU WA SEKONDARI YASABAISHA WANAFUNZI WA KIUME KUSHINDWA KUSOMA WAZAZI WAOMBA AONDOLEWE ILI KUWANUSURU WANAFUNZI HAO
Mtandao huu umetumiwa picha hii ya mwalimu wa shule moja ya Sekondari iliyopo Mkoani Kagera vijijini ambae amelalamikiwa na 16:02SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MUME WA MTU MBONA HANIACHI JAMANI MIAKA 6 SASA AMENIGANDA
MUME WA MTU MBONA HANIACHI JAMANI MIAKA 6 SASA AMENIGANDA
Habar ndugu zangu, Nashindwa kuelewa mpk sasa nimetokea kupendwa na mume wa mtu tangu niingie kwenye mahusiano cjawahi kuwa na mahusian... 16:01SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
SITTA"KUANZIA SASA TBC1 WAKIKATA MATANGAZO HATUWEZI KUKATISHA KUENDELEA NA BUNGE"
SITTA"KUANZIA SASA TBC1 WAKIKATA MATANGAZO HATUWEZI KUKATISHA KUENDELEA NA BUNGE"
Jumamosi iliyopita matangazo ya Television ya taifa yalikatika wakati ikiwa live kwenye bunge la katiba ambapo Mh. Tundu Lissu alikua a... 16:00SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
JAMAL MALINZI AGOMA KUJIUZULU UENYEKITI WAKE
JAMAL MALINZI AGOMA KUJIUZULU UENYEKITI WAKE
RAIS wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi amesema hatajiuzulu nafasi ya Mwenyekiti wa Chama cha Soka Mkoa wa Kagera (KRF... 16:00SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MH! KUMBE MAGARI NA KAMPUNI ALIYONAYO DAMA WA BONGO MOVIE ALIHONGWA NA MHESHIMIWA ......... SOMA HAPA
MH! KUMBE MAGARI NA KAMPUNI ALIYONAYO DAMA WA BONGO MOVIE ALIHONGWA NA MHESHIMIWA ......... SOMA HAPA
Muigizaji mwenye mvuto wa kipekee na mwenye haiba ya upole bongo movie, Jennifer kyaka aka Odama mambo yake ni super ile mbaya, 12:04
Muigizaji mwenye mvuto wa kipekee na mwenye haiba ya upole bongo movie, Jennifer kyaka aka Odama mambo yake ni super ile mbaya,
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
ONYO KWA WANAOPENDA KUCHAFUA WATU WENGINE MAKUSUDI KWA KUPITIA COMMENTS
ONYO KWA WANAOPENDA KUCHAFUA WATU WENGINE MAKUSUDI KWA KUPITIA COMMENTS
Kumekuwa na Tabia ambayo imeanza kujitokeza siku za karibuni kwa watu kuchafua wengine kwa makusudi kwa kupitia 12:03SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
NAMELESS GOES REGGAE WITH NEW SINGLE NG'ANG'ANA-WATCH VIDEO HERE
NAMELESS GOES REGGAE WITH NEW SINGLE NG'ANG'ANA-WATCH VIDEO HERE
Nameless has a new song out. Ng'anga'ana is the second single from the star's B4iR project. The video highlights Kenyans goin... 12:01SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
WANAUME WAFANYAKAZI WANAO KUFA NA TAI SHINGONI-CHEZEA WHITE COLLAR JOBS
WANAUME WAFANYAKAZI WANAO KUFA NA TAI SHINGONI-CHEZEA WHITE COLLAR JOBS
Wanaume wafanyakazi wana mengi rohoni. Kazi zenyewe hizi za watu kuganga njaa tu, mradi utoke asubuhi umeoga tu, ukweli tunaujua wenyew... 11:59
Wanaume wafanyakazi wana mengi rohoni. Kazi zenyewe hizi za watu kuganga njaa tu, mradi utoke asubuhi umeoga tu, ukweli tunaujua wenyewe maofisini. Huku nje sasa full kujistiri ile kuficha aibu manake tukisema all cards on the table tutadhalilishana watu wazima. Kibingwa tunakomaa na tai shingoni uso mkavu, mfukoni siri ya mfuko.
Bora uwe ke utachuna, ukiwa me lazima ujue kukomaa na jiji bila hivo you wont be getting any from them babes! Au ndo usipende makuu, uwe unachezea kombe la mbuzi. Manake nabiii hakubliki nyumbani kwao asilani. Wengi hatupendi kuchezea kiwanja cha nyumbani, unaenda ofisi zingine huko kuwafunga kamba, and if you are lucky unaweza mvua papa wa pande zile wakati ungekomaa ofisi moja labda umpte mfagizi( with all due respects).
Basi bwana nikamkuta mbabe mmoja anatoka my past co-worker, anamuona WA MAANA BALAAAA! Kamfunga kamba kafungika, anamuona bonge la mtu mwenye bright future!. Anmsifiaje sasa? Sasa mimi namjua kiundani coz nishafanya nae idara moja. Ndo akaanza kunipa achievement zake to make me jelousy!
Ana gari rav 4, sio ya urithi kanunua kwa nguvu zake. Hii rav 4 mi stori yake naijua nje ndani, tulifanyaga inshu hio kampuni, kuna mali flani za kampuni tulijibinafsishia. Sasa kikanuka zikaanza hearing, tukajadiliana hapa hatuponi wala nini, tukope tu NBC, au Barclays, Stanbic kokote kule, tuchukue mafao yetu mapemaaa, ukichanganya na NSSF sio haba, na pale mikopo ilikuwa insured. Baada ya kukopa tukaresign kila mtu akaishia kivyake, ndo yule bwana alinunua hio rav 4.
Kamwambia ana viwanja Arusha Njiro, wakati uongo na picha kamrushia, wakati hio picha kiwanja cha bi mkubwa wangu, mimi ndo nilimrushiaga nikamwambia nimeambiwa nikajenge nihonge basi. Kumbe aliisave. Akamuonesha na site hio site ya x gielfriend wake tulikuwa wote idara moja. Na mambo mengi ya uongo uongo tu.
Kiukweli yule bwana HANA KITU! Na ni mzee wa INSHU kitamboo coz kazini yuko toka 2007, ni jembe akiona opportunity ya kukwapua hela hakawizi wala hasiti, ndo alitupolute sisi, na mimi nimepolute vitoto vingi sanaa kwenye udokozi dokozi huu,
na hivi wanapenda mambo makubwa. Sasa hawezi kudumu kazini kama sisi tu, coz ikitokea chance we risk it all for that one chance. Na huu u chori chori mwisho wake 40 unaenda jela sasa future gani hii? Mwenyewe nimetafuta kazi sishiki hela kabisaa nishakubuhu kwenye udokozi. Na hela ameshika sanaa ila hela za watu hizi wenyewe wanazijambia hufanyii chochote.
Bi dada ni shosti wangu, na niko dilema nimpe facts aamue au nichune tu? Kumwambia naona its not my call to make, sina usafi huo kwa kuanzia, pili ni kitambo huenda kabadilika, tatu the guy is just tryin to survive jst like the rest of us, ni victim tu wa misallocation of national scarce resources. We are all liers in the end. Mwanamke gani anataka broke ass? The dude did what he had to do. Kutomwambi naona maisha yakimwwndea ndivo sivo nitaji laumu sana, i could do something but i didnt. Pia will she believe me? Kama mjuavyo penzi ni kipofu YOU ONLY SEE AND HEAR WHAT YOU WANT TO SEE AND HEAR.
Bora uwe ke utachuna, ukiwa me lazima ujue kukomaa na jiji bila hivo you wont be getting any from them babes! Au ndo usipende makuu, uwe unachezea kombe la mbuzi. Manake nabiii hakubliki nyumbani kwao asilani. Wengi hatupendi kuchezea kiwanja cha nyumbani, unaenda ofisi zingine huko kuwafunga kamba, and if you are lucky unaweza mvua papa wa pande zile wakati ungekomaa ofisi moja labda umpte mfagizi( with all due respects).
Basi bwana nikamkuta mbabe mmoja anatoka my past co-worker, anamuona WA MAANA BALAAAA! Kamfunga kamba kafungika, anamuona bonge la mtu mwenye bright future!. Anmsifiaje sasa? Sasa mimi namjua kiundani coz nishafanya nae idara moja. Ndo akaanza kunipa achievement zake to make me jelousy!
Ana gari rav 4, sio ya urithi kanunua kwa nguvu zake. Hii rav 4 mi stori yake naijua nje ndani, tulifanyaga inshu hio kampuni, kuna mali flani za kampuni tulijibinafsishia. Sasa kikanuka zikaanza hearing, tukajadiliana hapa hatuponi wala nini, tukope tu NBC, au Barclays, Stanbic kokote kule, tuchukue mafao yetu mapemaaa, ukichanganya na NSSF sio haba, na pale mikopo ilikuwa insured. Baada ya kukopa tukaresign kila mtu akaishia kivyake, ndo yule bwana alinunua hio rav 4.
Kamwambia ana viwanja Arusha Njiro, wakati uongo na picha kamrushia, wakati hio picha kiwanja cha bi mkubwa wangu, mimi ndo nilimrushiaga nikamwambia nimeambiwa nikajenge nihonge basi. Kumbe aliisave. Akamuonesha na site hio site ya x gielfriend wake tulikuwa wote idara moja. Na mambo mengi ya uongo uongo tu.
Kiukweli yule bwana HANA KITU! Na ni mzee wa INSHU kitamboo coz kazini yuko toka 2007, ni jembe akiona opportunity ya kukwapua hela hakawizi wala hasiti, ndo alitupolute sisi, na mimi nimepolute vitoto vingi sanaa kwenye udokozi dokozi huu,
Bi dada ni shosti wangu, na niko dilema nimpe facts aamue au nichune tu? Kumwambia naona its not my call to make, sina usafi huo kwa kuanzia, pili ni kitambo huenda kabadilika, tatu the guy is just tryin to survive jst like the rest of us, ni victim tu wa misallocation of national scarce resources. We are all liers in the end. Mwanamke gani anataka broke ass? The dude did what he had to do. Kutomwambi naona maisha yakimwwndea ndivo sivo nitaji laumu sana, i could do something but i didnt. Pia will she believe me? Kama mjuavyo penzi ni kipofu YOU ONLY SEE AND HEAR WHAT YOU WANT TO SEE AND HEAR.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
HONGERA MARIA SARUNGI UNAITENDEA HAKI ELIMU YAKO
HONGERA MARIA SARUNGI UNAITENDEA HAKI ELIMU YAKO
Kama kuna Wajumbe wanawake wa Bunge Maalum la Katiba ambao nimetokea kuwakubali sana hivi sasa basi Maria Sarungi ni mmoja wao. 11:56SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
BREAKING NEWS:MAJAMBAZI WAVAMIA BENKI YA BARCLAYS TAWI LA KINONDONI
BREAKING NEWS:MAJAMBAZI WAVAMIA BENKI YA BARCLAYS TAWI LA KINONDONI
BREAKING NEWS: Watu wasiojulikana wanaosadikiwa kuwa ni majambazi wamevamia benki ya Barclays tawi la Kinondoni na kupora kiasi kikubwa... 11:55
BREAKING NEWS: Watu wasiojulikana wanaosadikiwa kuwa ni majambazi wamevamia benki ya Barclays tawi la Kinondoni na kupora kiasi kikubwa cha fedha ambazo idadi yake haijajulikana mara moja.
Tukio hilo limetokea muda huu saa nne , katika tawi la benki hiyo iliyopo Kinondoni eneo la Bakwata likihusisha watu watatu waliokuwa na pikipiki mmoja wao akiwa na bastola.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
UNAMPENDA MTU LAKINI YUPO NA MPENZI WAKE ? BASI UKIFANYA YAFUATAYO LAZIMA UMPATE..CHEKI HAPA
UNAMPENDA MTU LAKINI YUPO NA MPENZI WAKE ? BASI UKIFANYA YAFUATAYO LAZIMA UMPATE..CHEKI HAPA
TUMSHUKURU Mwenyezi Mungu ambaye ametuwezesha kuonana tena tukiwa wazima. Lakini pia tumshukuru kwa kutuletea kitu kinachoitwa mapenzi. Map... 06:59SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
WANAFUNZI WA CHUO KIMOJA WABAMBWA LIVE WAKISAGANA. CHECK HAPA
WANAFUNZI WA CHUO KIMOJA WABAMBWA LIVE WAKISAGANA. CHECK HAPA
Tukio hili lili husisha mabinti wawili walio kuwa wanafunzi wa chuo kimoja kikuu huko jamaica, wakisagana ndani ya gari 06:58
Tukio hili lili husisha mabinti wawili walio kuwa wanafunzi wa chuo kimoja kikuu huko jamaica, wakisagana ndani ya gari
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MASAA 72 YA MUHIDIN GURUMO KABLAYA KIFO CHAKE
MASAA 72 YA MUHIDIN GURUMO KABLAYA KIFO CHAKE
MWANAMUZI nguli wa muziki wa dansi nchini, Muhidini Maalim Gurumo aliyefahamika pia kama kamanda na mashabiki wa muziki wa 06:53
MWANAMUZI nguli wa muziki wa dansi nchini, Muhidini Maalim Gurumo aliyefahamika pia kama kamanda na mashabiki wa muziki wa
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
UNENE UMEKUWA NI TISHIO KUBWA NA UGONJWA MBAYA SANA
UNENE UMEKUWA NI TISHIO KUBWA NA UGONJWA MBAYA SANA
Utafiti wa hivi karibuni uliofanywa nchini Marekani umeonesha kuwa suala la unene wa kupita kiasi (obesity), limekuwa tatizo kubwa duniani 06:52
Utafiti wa hivi karibuni uliofanywa nchini Marekani umeonesha kuwa suala la unene wa kupita kiasi (obesity), limekuwa tatizo kubwa duniani
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
EXCLUSIVE: HIZI NDIO HATI YA MUUNGANO BAADA YA KUONESHA IKULU JIONI HII
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
MWANAMKE ALIYECHOKA KUISHI ASAIDIWA KIFO AKIWA NA MIAKA 99
MWANAMKE ALIYECHOKA KUISHI ASAIDIWA KIFO AKIWA NA MIAKA 99
Mwanamke wa pili wa Kiingereza ambaye 'alichoka kuishi' amesaidiwa kufa kwenye kliniki ya kujitoa mhanga nchini Uswisi. 06:46SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
WAPI ZITTO KABWE BUNGE LA KATIBA...?
WAPI ZITTO KABWE BUNGE LA KATIBA...?
Wadakuz napenda kujua wapi ndugu zitto kabwe mbona haonekani katika mjadala wa katiba bungeni? Hasikiki Kabisa ...Yale Machachari yake Ni... 06:44SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Subscribe to:
Posts (Atom)