Lady Jaydee, Alikiba, Snura, Juma Nature ni miongoni mwa wasanii waliotumbuiza mbele ya mamia ya mashabiki wa muziki jijini Dar es Salaam, Jumapili hii kwenye tamasha la Serebuka.
Mamia ya wakazi wa Dar es Salaam waliojitokeza kwenye tamasha la Serebuka lililofanyika kwenye viwanja vya Posta, Kijitonyama
Tamasha hilo liliandaliwa na kampuni ya StarTimes na kudhaminiwa na kampuni ya Huawei Tanzania.
Meneja ya Huawei nchini Tanzania, Huxiangyang Jacko akimkabidhi mshindi wa bahati nasibu simu ya Huawei P9 lite
Jide, Stamina na Kiba ndio waliopata shangwe zaidi huku mashabiki walimtaka hitmaker huyo wa ‘Aje’ aendelee kuimba licha ya muda wa kuendelea na tamasha hilo kuwa umekwisha.
Lady Jaydee akitumbuiza kwenye tamasha hilo
Meneja masoko Huaweim Bi Jane Wang akiongea kwenye tamasha hilo
Alikiba akizikonga nyoyo za mashabiki waliokuwa na kiu ya burudani kwenye tamasha hilo
Chura kaachiwa huru: Snura akionesha mauno yanavyokatwa
Mshereheshaji wa shughuli hiyo, Jokate akiteta jambo na Bi Jane Wang
Juma Nature
Tazama picha zaidi za tamasha hilo.
No comments
Post a Comment