Husika na kichwa cha habari hapo juu!!
Kutoka kwenye mtando wa INSTAGRAM dada yetu Rehema ameamua kufunguka yake
ya moyoni kuhusu kutamani kuwa na mtoto.....Sina mengi soma mwenyewe hapo chini.
ya moyoni kuhusu kutamani kuwa na mtoto.....Sina mengi soma mwenyewe hapo chini.
Wako katika Udaku,
Domozege.
"Yani nikiona watoto siku hizi natamani sana kuwa na mtoto nadhani umri umefikia wa kupata katoto hata tuwili tu...ni wangapi wangependa kumuona mwanangu mtarajiwa....yani nikiona MTU amebeba kachanga nachanganyikiwa na hamu sana ya kutoa kopi Yangu,niombeeni ingawa stori za labour zinatisha lakini na hamu sana....uwi sijui
itakuwaje nikimuona mwanangu kwa Mara ya kwanza yani naeza zimia......"
By Ray C