Shindano la Big Brother Africa 2014 limetangaza tarehe za usaili
katika nchi mbalimbali za Afrika zitakazoshiriki huku kwa Tanzania
tarehe ya usaili ikipangwa kuwa 11-12 July katika hoteli ya New Africa
Hotel, Dar es salaam.Mshindi wa mwaka huu atajinyakulia kitita cha
$300,000.Nchi zinazoshiriki mwaka huu ni
Botswana, Ethiopia, Ghana,
Kenya, Malawi, Namibia, Nigeria, Rwanda, Sierra Leone, South Africa,
Tanzania, Uganda, Zambia na Zimbabwe.
katika nchi mbalimbali za Afrika zitakazoshiriki huku kwa Tanzania
tarehe ya usaili ikipangwa kuwa 11-12 July katika hoteli ya New Africa
Hotel, Dar es salaam.Mshindi wa mwaka huu atajinyakulia kitita cha
$300,000.Nchi zinazoshiriki mwaka huu ni
Botswana, Ethiopia, Ghana,
Kenya, Malawi, Namibia, Nigeria, Rwanda, Sierra Leone, South Africa,
Tanzania, Uganda, Zambia na Zimbabwe.