mamia wamejumuika pamoja katika kanisa katoliki kushiriki ibada ya kumkumbuka na kuomboleza kifo cha mwanahabari james foley ambaye aliuawa kwa kukatwa kichwa na
kikundi cha kigaid cha ISIS huko iraq, watu mbali mbali wameshiriki ibada hiyo ikiwemo baba na mama mzazi wa mwandishi huyo ambaye alikua na umri wa miaka 40, ambapo wamesema kuwa wanajivunia mtoto wao ambaye amekufa akijaribu kuanika jinsi gani wananchi wasio kuwa na hatia wanavyopata shida.
kikundi cha kigaid cha ISIS huko iraq, watu mbali mbali wameshiriki ibada hiyo ikiwemo baba na mama mzazi wa mwandishi huyo ambaye alikua na umri wa miaka 40, ambapo wamesema kuwa wanajivunia mtoto wao ambaye amekufa akijaribu kuanika jinsi gani wananchi wasio kuwa na hatia wanavyopata shida.