August 26, 2014

BASI LA HOOD TOKA ARUSHA KWENDA IRINGA LAPATA AJALI

Basi la Hood lililopata ajali asubuhi ya leo eneo la Kikatiti, Arusha. thumbnail 1 summary

Basi la Hood lililopata ajali asubuhi ya leo eneo la Kikatiti, Arusha.
Raia wakishuhudia ajali ya basi la Hood ilivyotokea.


Na waandishi wetu
Basi la Hood lililokuwa likitoka Arusha kwenda Iringa llimepata ajali asubuhi ya leo eneo la Kikatiti, Arusha. Basi hilo lilitaka kugongana uso kwa uso na lori la mizigo, ndipo katika kukwepana ikatokea ajali hiyo. Abiria wa basi wamenusurika , ila lori lilidumbukia darajani na hakukuwa na mtu aliyepoteza maisha

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW: