Baada ya kutengana na Shilole, Mbongo fleva, Nuh Mziwanda alikuwa muoga kidogo kuonyesha jiko jipya alilovuta sababu kila aliyekuwa naye alilinganishwa na Shilole.
This time home boy ambaye amefanya hit ya #JikeShupa na Ali Kiba hana siri tena, mambo yote wazi.
No comments
Post a Comment