Mwimbaji staa wa bongofleva Alikiba amefika nchini Afrika Kusini ambako amekuja kutia saini kwenye dili zake saba mpya ambazo zitamchukua yeye na bongofleva kwenye hatua nyingine kubwa ya kimataifa, dili hizo zitatangazwa ndani ya saa 48 kuanzia leo May 19 2016, tazama hii video hapa chini
May 19, 2016
Alikiba kafika South Africa.. mambo yake 7 mapya kutangazwa kwenye dili jipya
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments
Post a Comment