February 26, 2016

Duh ! Eti Rich Mavoko Ana Laana Ya Papaa Misifa, Ipo Hapa

Unamjua yule Papaa Misifa aliyekuwa meneja wa mwanamuziki Rich Mavoko? Kama jibu ni ndiyo basi ametoa kali ya mwaka thumbnail 1 summary
Unamjua yule Papaa Misifa aliyekuwa meneja wa mwanamuziki Rich Mavoko? Kama jibu ni ndiyo basi ametoa kali ya mwaka kwa kudai kuwa, eti Mavoko hawezi kutusua kimuziki kwa kuwa amempa laana.
Haya hapa maneno ya Papaa Misifa:
“Yaani Mavoko ana laana yangu, nakwambia mimi msanii akiondoka kwa kuvunja mkataba kwangu kamwe hataendelea kwani huwa nina laana mbaya, Mavoko nimemlaani mpaka atakaponilipa mkwanja wangu ninaomdai kama milioni 100 hivi kwa sababu alivunja mkataba kwangu.”

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW: