January 25, 2016

zari Hassan wa Diamond Awachana Wabongo Wasioelewa Lugha ya Kizungu....Is English The Problem !

Zari wa Diamond Awachokonoa Tena Watanzania...Andika Maneno yafuatayo kwenye picha; thumbnail 1 summary



Zari wa Diamond Awachokonoa Tena Watanzania...Andika Maneno yafuatayo kwenye picha;


Baadhi ya Comments za Wabongo baada ya post hiyo ya Zari Hizi Hapa chini;

angiielly 
Uande hukoo kama hatujui English si arid kwao wanakoangea English stupid kabisaaa..... Nashangaa mijitu inamsupport huyu mkimbizi kwel kuna mijitu bado mikolon

angeljohn__
Hihihi tatizo Nyerere dah tungekuwa tunamwaga ung'eng'e na cc

doro_cute3 
Awache kupotezea story za DNA, we want to see or else take tiffa to katunzi

ma_fusa_de_beauty 
@zarithebosslady wew n nyoko boss wng sio kwa kauli io panic at your own risk haha salute

kisuramie
Chezea lugha ilokuja kwa majahazi@olivermakundi wifi kaamua now dayz c kwa kutushushua huku

catyfranco19
 thanx to those kwonz english en not kiswakinge 4h

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW: