January 25, 2016

Makavu Laivu Kutoka Kwa LEMUTUZ..Wacheni Kusema Maneno ya Uongo na Kuwazungumzia Usiowafahamu

Lemutuz na Hamisa Mobeto LIVE STRAIGHT TALK:-  Ninaomba kurudia tena this topic that People thumbnail 1 summary


Lemutuz na Hamisa Mobeto
LIVE STRAIGHT TALK:- Ninaomba kurudia tena this topic that People wacha kusema maneno ya Uongo in the Public wacha kuwazungumzia usiowafahamu kwa karibu cause you are hurting people usiowajua bila sababu just because wewe Hajielewi na Maisha yako basi unataka watu wengine wasijielewe like you au wawe miserable like you it is not fair kabisa..

Maisha is a good thing play your cards right utayafurahia Maisha but ukikosea your Cards you gadem dead na hakuna wa kumlaumu isipokuwa wewe mwenyewe but ukishindwa pigana tena na tena Rais wa Abraham Lincoln wa USA ndiye Rais Bora kuliko wote katika Historia ya Marais 44 wa Taifa hilo toka lijitangazie Uhuru wake from King George wa UK lakini Rais huyo aligombea Ubunge Mara 11 na kushindwa zote akaja kushinda Mara ya 12 na kuishia kuwa Rais the best ever in American history ndio Maisha yanavyotakiwa.....

Kama unapenda Maisha mazuri tafuta Pesa utayapata, kama unapenda Wadadazz wazuri pia tafuta utayapata tena mpaka uwakimbie like me huwa sometimes nawakimbia hahaha U know but hakuna kitu kibaya in life kama unataka vitu vizuri umeshindwa kuvipata badala ya kukubali matokeo na kuwa mpole na kuanza kupigana tena wewe unakata tamaa na kuanza kuchafua watu usiowajua...hapa Mjini kuna maneno rahisi sana mawili yanayorushwa na walioshindwa Maisha "YULE ANAUZA UNGA" au "YULE NI SHOGA ULIKUWA HUJUI?" watu watakuzushia haya maneno bila huruma wala kujali UKWELI wake na wajinga wenzao wengine watayapokea na kuyasambaza kila kona kama vile ni kweli 

Halafu Leo Jumapili hawa wajinga utawakuta Kanisani na Misikitini Ijumaa mazafantazz unaenda kufanya nini at Nyumba ya Mungu? ...guys Education inatusumbua sana hili Taifa watu rudini Shuleni Elimu haina mwisho na wala haina Umri please ondokana na giza nene libalokuziba Ubongo wako cause ukiwa na Elimu huwezi kuropoka ropoka hovyo hovyo..

I mean unajua LE MUTUZ anauza Unga haha please muogope Mungu wako na ujanja wangu wote siujui hata unafananaje yaani Mbebez akionyesha interest ya kunipenda akaisema huko maofisini nasikia Wanaume kwa hasira huwa mnajibu Muuza Unga yule Duh! haha SIJAWAHI KUUZA UNGA WALA HATA KUUONA UNAFANANAJE get EDUCATION! unasumbuliwa na LACK OF KNOWLEDGE!

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW: