Siyo watu wote wanapenda kuwa na mamba membamba,lakini pia siyo wote wanapenda kuwa vibonge.
Mwanamitindo huyo,Mke wa rapa Kanye West anafuiahia kupunguza uzito kwa kasi baada ya kujifungua mtoto wake wa pili Desemba mwaka jana.
Karibia miezi sita sasa tangu ajifungue,Kardashian ameanza kujiachia mitaani na kama kawaida yake,kuvaa pamba kali na zanye utatata indigo furaha yake.
Msanii huyo amedai: kuwa anafurahishwa kiasi kikubwa kupungua uzito kuliko ilivyokuwa wakati alipojifungua mtoto wake wa kwanza.
“Nadhani kipindi hiki nimepunguza uzito kwa haraka sana kuliko wakati nilipojifungua kwa mara ya kwanza,” alisema mrembo huyo.
Aliongeza: “hii ni kutokana na kujifunza kula ryakula havinipi uzito haraka,”
No comments
Post a Comment