Turudi mpaka mwezi wa 9 mwaka jana, rapa T.I alitumia mtandao wa Instagram kuwa kuna kitu kizuri wanasuka na rapa mwenzie Jay Z kuhusu album yake ijayo Da Dime Trap.
Sasa katika tamasha la Tidal lililofanyika jumatatu usiku mjini ATL, T.I alitangaza kusaini na Roc Nation kwa ajili ya usambazaji wa kazi zake.
Pia mkali huyu wa kaskazini, akaingia kwenye orodha ya watu wenye share katika mtandao wa Tidal.