April 30, 2015

Kocha wa Pacquiao Anahofia Mayweather Ataingia Mitini May 2 (Picha)

Kocha wa Manny Pacquiao ana wasiwasi kuwa Floyd Mayweather anaweza asitokee kwenye pambano la kesho kutwa jijini Las Vegas. thumbnail 1 summary


Kocha wa Manny Pacquiao ana wasiwasi kuwa Floyd Mayweather anaweza asitokee kwenye pambano la kesho kutwa jijini Las Vegas.

Floyd Mayweather na Manny Pacquiao walikutana jana mbele ya waandishi wa habari jijini Las Vegas
Pacquiao na Mayweather wanakutana Jumamosi hii kwenye pambano lenye gharama kubwa katika historia ya ndondi duniani. Freddie Roach, kocha wa Pac alisema: Nina wasiwasi kama (Mayweather) atakuja usiku huo.
Mshindi wa pambano hilo atakabidhiwa mkanda huu wa thamani kubwa
“Sidhani kama mabondia wote wanahofia, ila sidhani kama alitaka kupigana. Alilazimishwa kupigana pambano ambalo hakulitaka,” aliongeza.
“Sijui tu kwanini Floyd amekuwa mkimya kwenye pambano hili. Maneno yake yana woga!
Hata hivyo Mayweather hakushangazwa na kauli ya Roach na kudai: Nitakuwepo. Niliongea uchafu siku za nyuma lakini pambano hili linajiuza lenyewe, hivyo sina haja.”

Ugandan socialite Zari is undeniably hot and Diamond Platnumz cannot be blamed for going kookoo for her, Besides her looks, she is also ambitious and rich. Born on 23rd of September 1980, Zari grew up in Jinja and after high school she moved Kampala where she performed karaoke in hang-outs. She later moved to London and acquired a diploma in cosmetology. She now lives in South Africa where she runs cosmetics shop while pursuing a career in music. She shared some of her never before seen photos from back in the day and she was still hot. Check her out

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW: