November 21, 2014

Zitto na Kafulila Walibezwa na Kudhallilishwa je Waliowadhalilisha leo Wanajisikiaje?

Kiukweli nilisikitika sana pindi nilipoangalia bunge na kumsikia AG akimdhalilisha Kafulila kwa kumuita tumbili ulikuwa ni ubaguzi wa h... thumbnail 1 summary
Kiukweli nilisikitika sana pindi nilipoangalia bunge na kumsikia AG akimdhalilisha Kafulila kwa kumuita tumbili ulikuwa ni ubaguzi wa hali ya juu mwafrika kumuita mwafrika mwenzake tumbili tunayaona ulaya tu tena kwenye mchezo wa kandanda.AG huyu hakuishia hapo akamtisha na kukiondoa kichwa chake.Siku zikifuata tukamsikia katibu mkuu mwenye jeuri ambaye kafukuzisha mawaziri wengi kazi sababu ya upigaji wake akaibuka na kuwabeza Zitto na Kafulila kuwaita wala rushwa na kukazia hawa ni tumbili na wana makaratasi ya kufungia maandazi wanajidaia kinga ya bunge watoke nje kama ni wanaume kweli niwaoneshe na kutoa vitisho vingi na kujinasibu yeye ni msafi.Sasa wazee ripoti ipo mezani tunasubiri tuone usafi wenu sasa bwana katibu na AG

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW: