December 14, 2016

Picha: Harmonize aonesha kiwanja chake cha kwanza

“Hata Mbuyu ulianza kama Mchicha #Raj_house @dalalimwanamke,” ameandika muimbaji huyo kwenye mtandao wa Instagram. thumbnail 1 summary


“Hata Mbuyu ulianza kama Mchicha #Raj_house @dalalimwanamke,” ameandika muimbaji huyo kwenye mtandao wa Instagram.

Japo hajaweka wazi kiwanja hicho kipo maeneo gani lakini dalali maarufu kwa jina la Dalali mwanamke ndiye aliyetafuta kiwanja hicho.




SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

No comments