January 04, 2015

DIAMOND AZIDI KUITIKISA AFRIKA>>>HUU APA MCHONGO MPYAA ALIOUPATA..

Diamond Platnumz ateuliwa kutumbuiza CAF Msani Nasib Abdul ‘Diamond’ amechaguliwa kuwa mmoja wa wasanii thumbnail 1 summary
Diamond Platnumz ateuliwa kutumbuiza CAF
Msani Nasib Abdul ‘Diamond’ amechaguliwa kuwa mmoja wa wasanii watakaotumbuiza kwenye hafla ya utoaji tuzo za mwanasoka bora Afrika 2014.
Diamond atatumbuiza katika tuzo hizo ambazo wachezaji 25 nyota barani Afrika wamechaguliwa kugombea tuzo hizo. Hafla hiyo itafanyika Januari 8, 2015 jijini Lagosi Nigeria.
Mwanasoka Bora, Yaya Toure raia wa Ivory anayeitumikia Manchester City ya England ni kati ya watakaowania nafasi hiyo. ..... What more can i say kwa huyu kijana... Go go represent us....
#WhereistheKing????

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW: