DK. Willbroad Slaa "Sifikirii kuelekeza nguvu zangu kwenye kuwania
urais 2015 wapo watu wengi wenyesifa ktk kundi la UKAWA.Kila kitu
kitafanywa kwa wakati muafaka, kazi iliyopo mbele yangu ni kupigania
umoja wetu wa UKAWA ili kuleta ushindani wa kweli katika uchaguzi
2015.Akizungumzia hatua ya UKAWA kususia Bunge Maalumu la Katiba Dk.
Slaa alisema umoja huo uko sahihi kwani umesimama upande wa wananchi,
niaheshimu uamuzi wa Viongozi wangu Mh Freeman Mbowe Prof Ibrahim
Lipumba na James Mbatia.UKAWA imebeba maoni ya wananchi na suala la
kutengeneza Katiba sio suala la rais, serikali wala chama chochote
bali ni la wananchi.Serikali ina viongozi vigeugeu kwa sababu ni wao
ndio waliosaini rasimu ya Katiba mpya, lkn cha ajaabu wao ndio
wanageuka na kutaka yajadiliwe mambo ambayo hayamo ndani ya rasimu ya
Tume ya Jaji Joseph Warioba."
urais 2015 wapo watu wengi wenyesifa ktk kundi la UKAWA.Kila kitu
kitafanywa kwa wakati muafaka, kazi iliyopo mbele yangu ni kupigania
umoja wetu wa UKAWA ili kuleta ushindani wa kweli katika uchaguzi
2015.Akizungumzia hatua ya UKAWA kususia Bunge Maalumu la Katiba Dk.
Slaa alisema umoja huo uko sahihi kwani umesimama upande wa wananchi,
niaheshimu uamuzi wa Viongozi wangu Mh Freeman Mbowe Prof Ibrahim
Lipumba na James Mbatia.UKAWA imebeba maoni ya wananchi na suala la
kutengeneza Katiba sio suala la rais, serikali wala chama chochote
bali ni la wananchi.Serikali ina viongozi vigeugeu kwa sababu ni wao
ndio waliosaini rasimu ya Katiba mpya, lkn cha ajaabu wao ndio
wanageuka na kutaka yajadiliwe mambo ambayo hayamo ndani ya rasimu ya
Tume ya Jaji Joseph Warioba."