Jaguar ilimlazimu kusafiri wikiend iliyopita mpaka Johanesburg Afrika kusini, kutazama show ya star wa kike wa Hip hop Nick Minaj.
Mwandishi wa habari za burudani alimnyaka
Jaguar, ambaye alidai pia amelikwenda kurekodi video na akalazimika agusie kama kuna uwezekano wa kolabo kati yao.
SOMA HII>> CUF YATANGAZA KUTOYATAMBUA MATOKEO YA UCHAGUZI WA MARUDIO ZANZIBAR NA HAKIMTAMBUI DKT SHEIN
“Ni msanii mbunifu na aiyeogopa kuthubutu, kuna kitu kila msanii anaweza kujifunza kutoka kwa msanii mwenzake na mambo kama hayandio husababisha collabo”
No comments
Post a Comment