Kukua kwa teknolojia ya habari na mawasiliano na mitandao ya kijamii kumezidi kuibadili dunia sio kuwa tena kama kijiji bali familia mana jambo linalotokea marekani ni rahisi kufika
afrika mashariki ndani ya sekunde hiyo hiyo.
afrika mashariki ndani ya sekunde hiyo hiyo.
Swali kwa dada zetu je mtindo wa upigaji
picha wa namna hii huwavutia zaidi wapiga picha wenyewe au huwa ni maalumu kwa mlengwa fulani?
Fungukeni kwa ku comment hapo chini!!!