November 20, 2014

SENTENSI 14 ZA UWONGO WA WANAWAKE:

1. I love u baby  2. nipo singo  thumbnail 1 summary

1. I love u baby 
2. nipo singo 
3. nipo serious kuhusu wewe 
4. sikuwa na credit 
5. nitafanya chochote kwa ajili yako 
6. nataka unioe,
7. NIAMINI...
8. sinto achana na ww 
9. naomba usinache 
10. Usipge, Ntakupigia baada ya mdakidooogo, 
11. subir npo na baba 
12. nyumbani kulikuwa na wageni nkashindwa kutoka 
13. NAAPA..! we ndo pekee ... 
14. nipo period bby nitakuambia nikimaliza. 
wizi mtupu 
>>>>nimezikuta mahali nikaona niwashirikishe<<<<

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW: