April 06, 2014

"BABY KAMA HUWEZI KUJA KUNICHUKUA NAKUJA NA TAX, UTALIPA, KAMA HUWEZI BASI MIE SIWEZI PANDA DALADALA"

''Baby,kama huwezi kuja kunichukua nakuja na taxi utalipa,kama hutaki basi,mi siwezi kupanda Daladala Iam a DIVA'' thumbnail 1 summary
''Baby,kama huwezi kuja kunichukua nakuja na taxi utalipa,kama hutaki basi,mi siwezi kupanda Daladala Iam a DIVA''

''Okay Baby,gari haina mafuta na sina hela ya taxi,kama huwezi kupanda daladala basi,I am a VADI''
Hivi kuwa Diva ndo hupandi Daladala??BAbako mwenyewe anafanya Shirika la Reli anagombania gari za Tandika deile,eti we mwanawe Diva,Diva my beuatiful legs!

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW: