January 06, 2014

ARSENAL na COVENTRY, CHELSEA NA STOKE raundi ya nne kombe la FA

santi carzola1 6faa6
TIMU ya Arsenal itacheza nyumbani mechi ya Raundi ya Nne ya Kombe la FA dhidi ya timu ya Daraja la Kwanza, Coventry.

Vigogo wote wa Ligi Kuu wametenganishwa
katika Raundi hiyo, huku Chelsea ikiwa mwenyeji wa Stoke, wakati mshindi wa mechi ya marudiano kati ya Manchester City na Blackburn atacheza nyumbani na Bristol City au Watford.
Stevenage baada ya kuitoa Doncaster watamenyana na washindi mara tano wa Kombe la FA, Everton. Chanzo: binzubeiry

Tuma Maoni

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

No comments