Waziri wa mambo ya ndani wa nchi hiyo, Suleyman Soylu amesema shambulio hilo limefanywa na mtu aliyejitoa muhanga na kwamba polisi walikuwa wamelengwa zaidi.
Milipuko hiyo imetokea masaa mawili baada ya mechi ya timu za soka za Besiktas na Bursaspor.
No comments
Post a Comment