Tunda Man amekuwa akipiga sana project zake binafsi hali ambayo baadhi ya mashabiki wa kundi la Tip Top kuhisi labda kajitoa kwenye kundi h...
11:10
Tunda Man amekuwa akipiga sana project zake binafsi hali ambayo baadhi ya mashabiki wa kundi la Tip Top kuhisi labda kajitoa kwenye kundi hilo.
Msanii wa Bongo Fleva,Tunda Man ameamua kuubadilisha muziki wake na kufungua bendi yake na kutumbuiza live kwenye majukwaa ili kuwateka zaidi mashabiki wake.
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW: