Unaweza kumsagia karoti, viazi, wali, ugali, karanga,papai, nanasi na nyama nyekundu humpatia mtoto nguvu, vitamini, protini, nyuzinyuzi na madini muhimu katika ukuaji asa vinapotumika kwa mpangilio.
October 24, 2014
VYAKULA VINAVYOFAA KWA WATOTO WENYE UMRI WA MIEZI SITA
Unaweza kumsagia karoti, viazi, wali, ugali, karanga,papai, nanasi na nyama nyekundu humpatia mtoto nguvu, vitamini, protini, nyuzinyuzi na madini muhimu katika ukuaji asa vinapotumika kwa mpangilio.