Mrembo Wema Sepetu Akiwa na Baby Wake Diamond leo Asubuhi Uwanja wa Ndege wa JK , Diamond Anaelekea Nigeria
10:10
Mrembo Wema Sepetu Akiwa na Baby Wake Diamond leo Asubuhi Uwanja wa Ndege wa JK , Diamond Anaelekea Nigeria Kufanya Video yake mpya na Pia Kufanya Collabo Mpya na Wanaigeria pamoja na Waghana...Diamond Ameambatana na Manager Wake Babu Tale....Have a Nice Trip Brodaaa
SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW: