Huyo wote situnamjua?1, Anaitwa Marya kutoka OGOPA DJs ni moja ya wasanii wenye wakike maumbile mazuri mazuri... Hapa Afrika Masharuki...Basi siujua tena mambo
ya akili za usiku na kakupombeka ...Staa huyu alijikuta atikingisha na kuwaacha hoi mastaa kadhaa waliokuwepo Clubuni HAPO.....PICHA LILIANZA HIVI
ya akili za usiku na kakupombeka ...Staa huyu alijikuta atikingisha na kuwaacha hoi mastaa kadhaa waliokuwepo Clubuni HAPO.....PICHA LILIANZA HIVI
Hapa ndio kwanza kaingia...
Tungi limekuja...sasa ulabu umeanzaa..hihihihih
Ameshawaka sasa
OHI OH OH
Daah ila Toto limeumbika....Hapa Laki si ...Milion Chenchi...