Wakati Bajeti kuu ya serikali inasomwa Dodoma bungeni juzi ndio ilijulikana kwamba ada ya namba binafsi za magari nchini Tanzania imepandishwa, ni kwa wale ambao wamekua wakiandika majina badala ya namba za mfumo wa kawaida.
Mwimbaji wa bongofleva Diamond Platnumz ni miongoni mwa wenye majina badala ya namba kwenye magari yao, AyoTV imemdaka ili kupata mtazamo wake..
No comments
Post a Comment