March 30, 2016

BEN POL: KUPONDWA, KUSIFIWA ZOTE NI CHANGAMOTO KWANGU.

Star wa RNB kutoka kanda ya kati Bernald ‘Ben’ Pol, amesema yeye maoni ya wadau yawe mazuri au mabaya anayachukulia kama changamoto kweny... thumbnail 1 summary
Star wa RNB kutoka kanda ya kati Bernald ‘Ben’ Pol, amesema yeye maoni ya wadau yawe mazuri au mabaya anayachukulia kama changamoto kwenye kazi zake.

Ben amedai kuwa yeye ni mmoja kati ya wasanii

wanyenyekevu na wanaopenda kusikiliza maoni ya watu ambao wanawazunguka.

“Mimi maoni ya mtu yeyote naheshimu, yawe mabaya au mazuri yote nayachukulia kama Changamoto” Alisema.

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW:

No comments