October 28, 2014

TAZAMA PICHA ZA MTOTO WA KIGOGO NCHINI AKIWA UCHI ZAVUJA....

POLISI WAWATIA NDANI Taarifa zilizopatikana ndani ya jeshi la polisi zinadai kuwa, askari wa Kituo cha Kawe jijini Dar es Salaam wamefuat... thumbnail 1 summary

POLISI WAWATIA NDANI
Taarifa zilizopatikana ndani ya jeshi la polisi zinadai kuwa, askari wa Kituo cha Kawe jijini Dar es Salaam wamefuatilia nyendo zao na tayari wamewanasa baadhi ya wahusika.
Habari zaidi zinaeleza kuwa, watu wanne tayari wanashikiliwa akiwemo



Peter, Salma Saidi na wengine waliojulikana kwa jina mojamoja, Neli na Sammy.
Baada ya wasichana hao kudakwa na polisi walikiri kuvua nguo na kubaki kama walivyozaliwa kisha kupigwa picha lakini wakadai hawajui zinakopelekwa.
Aidha, ilidaiwa polisi walimkamata Peter na kumhoji na haijulikani kama aliachiwa kwa dhamana au la.
Naye Neli alipohojiwa alidai kuwa, walipofika katika jumba hilo walipewa pombe kali huku wakiahidiwa kupiga picha hizo kwa malipo ya shilingi 100,000 kila mmoja.


MAJIRANI
Baadhi ya majirani waliozungumza na Uwazi kwa sharti la kutoandikwa majina yao gazetini walikiri kufahamu kuwa katika jumba hilo huwa kunakuwa na pati za kufuru.
“Vijana hapa wanasema ni sherehe zinazohusisha wasichana maalum tu lakini wengine wanasema mwanao akialikwa humo, amekwisha, hawatufafanulii,” alisema mama mmoja katika mtaa huo.
Gazeti hili pia lilifanikiwa kumhoji mmoja wa washiriki aitwaye Salma na alikiri kupigwa picha hizo kwa lengo la kulipwa fedha.
“Nilipigwa picha lakini cha ajabu mpaka leo sijalipwa fedha yoyote,” alisema Salma.



MWENYE NYUMBA PETER
Kwa upande wake mtu anayedaiwa kuwa ndiye mwenye nyumba, Peter alipohojiwa na mwandishi wetu alikiri kutambua picha hizo lakini alishangazwa na jinsi zilivyosambaa na kufika chumba cha habari na polisi huku akimtaja rafiki yake aitwaye Sammy kwamba ndiye mhusika mkuu wa upigaji picha hizo.
“Ni kweli nimekuwa nikiandaa pati mara kwa mara. Sammy ndiye aliyepiga picha hizo na alikuja na wasichana watatu,” alifunguka Peter.a

SHARE THIS POST TO SOCIAL MEDIA BELOW: